China ready to avail $7.6 bln for remaining SGR

China ready to avail $7.6 bln for remaining SGR

Hapa tunaonyesha tunavyoyumba kwenye masuala ya uwekezaji. Hawa wachina walitaka kujenga reli ya kati kutoka Dar mpaka Mwanza kwa gharama zao ambao ingekuwa mkopo wa muda mrefu serikali ikaamua kutoa fedha za ndani ili mradi huu ufanyike na tenda ya ujenzi wa reli wakapewa Uturuki.
Leo serikali Inarudi pale pale kwa wachina. Very amazing.
kabisa
 
Tayari SGR inakamilika kwa wakati. Nadhani next year awamu nyingine itaanza. Good movement.
 
he he
nakumbuka wakisema ati china ni wanafiki ,
walizuguka, wakajipiga kifua eti tutajenga na pesa zetu sisi ni tajiri .mtakiona , mtaisoma namba ,povu, tuta fanya hii ,tutafanya ile ,tuta ......blah blah - the usual anthem.

mda umepotea ,sahii hiyo reli ingeshafika nusu ,you better negotiate china terms and give their companies the contract
the only one willing to invest in large scale infrastructure in africa

sasa hiyo reli itakua aje , section moja AREMA design standard section ingine China class design standard ??
 
he he
nakumbuka wakisema ati china ni wanafiki ,
walizuguka, wakajipiga kifua eti tutajenga na pesa zetu sisi ni tajiri .mtakiona , mtaisoma namba ,povu, tuta fanya hii ,tutafanya ile ,tuta ......blah blah - the usual anthem.

mda umepotea ,sahii hiyo reli ingeshafika nusu ,you better negotiate china terms and give their companies the contract
the only one willing to invest in large scale infrastructure in africa

sasa hiyo reli itakua aje , section moja AREMA design standard section ingine China class design standard ??
Umeanza kuingiwa na kihoro. Ninauhakika umeelewa.
Ngoja nikueleze tena. Hapa Tanzania inapata mkopo na wajenzi mpaka sasa wanaojena ni waturuki.
 
my mbumbu
he he
nakumbuka wakisema ati china ni wanafiki ,
walizuguka, wakajipiga kifua eti tutajenga na pesa zetu sisi ni tajiri .mtakiona , mtaisoma namba ,povu, tuta fanya hii ,tutafanya ile ,tuta ......blah blah - the usual anthem.

mda umepotea ,sahii hiyo reli ingeshafika nusu ,you better negotiate china terms and give their companies the contract
the only one willing to invest in large scale infrastructure in africa

sasa hiyo reli itakua aje , section moja AREMA design standard section ingine China class design standard ??[/QUOTE. Hehehe,hawa jamaa hawajui waendako😀
 
we muache atashangaa kitakachomkuta maana tulishasemaga sn juu ya haya mambo lakini hawakomi
mimi ili nibidi kufuta kile nilicho andika maana hakukuwa na maana mimi kuandika alafu mwingine kuubeba kuwa wake...! hii pajarizimu mpaka humu ina kera...

Jamiiforum ina bidi kuwe na opption ya mwenye andiko kukubari kwanza ndipo uzi wake uwe quote tofauti na hapo ni kuchukiza tu...
 
Manake kuanzia Dom hadi mwisho wa project ndio huo mtonyo wa kichina utatumika smh, hii reli itakua nzuri lakini sera y kisafirisha mizigo mikubwa kupitia barabara yafaa wabane ili warudishe loan izo,Itawalipa zaidi kwenye mizigo 7bu passengers wanaoption nyingi za usafiri!!
 
he he
nakumbuka wakisema ati china ni wanafiki ,
walizuguka, wakajipiga kifua eti tutajenga na pesa zetu sisi ni tajiri .mtakiona , mtaisoma namba ,povu, tuta fanya hii ,tutafanya ile ,tuta ......blah blah - the usual anthem.

mda umepotea ,sahii hiyo reli ingeshafika nusu ,you better negotiate china terms and give their companies the contract
the only one willing to invest in large scale infrastructure in africa

sasa hiyo reli itakua aje , section moja AREMA design standard section ingine China class design standard ??

Vija sana hawa jamaa, full mikurupuko, hawana sera au mikakati, wanaendeshana kwa matamko ya kila siku yasiyotabirika.
 
Vija sana hawa jamaa, full mikurupuko, hawana sera au mikakati, wanaendeshana kwa matamko ya kila siku yasiyotabirika.
Wewe acha kutu judge that low, huelewi lakini you quick to judge, wll. You sound jealousy.
Eti hatuna sera mikakati
 
Sijaelewa waliposema China tena wataingia kunoresha tazara wakati kwenye tovuti ya tazara mwezi wa tisa walisaini MoU na bombardier ilikuboresha tazara . Wajuzi ebu fafanueni hili jambo
 
Hapa tunaonyesha tunavyoyumba kwenye masuala ya uwekezaji. Hawa wachina walitaka kujenga reli ya kati kutoka Dar mpaka Mwanza kwa gharama zao ambao ingekuwa mkopo wa muda mrefu serikali ikaamua kutoa fedha za ndani ili mradi huu ufanyike na tenda ya ujenzi wa reli wakapewa Uturuki.
Leo serikali Inarudi pale pale kwa wachina. Very amazing.
Kabla ya kuponda, kwanza fanya utafiti kwa nini serikali ilishtuka
 
Haha, huu Uzi unafurahisha kuona wakenya wanavyo hangaika kuzuia mafuriko. Tofauti kati ya Tanzania na Kenya, wachina wanakuja kutuomba kutukopesha. Ni kama mabenki yanavyo shindana kuwakopesha wafanyabiashara wakubwa. Uhuru Kenyatta alikwenda China kubembeleza mkopo na akarudi na the worse deal imaginable (treni sio za umeme, huku ni mitungi ya changaa). Mradi wote wa Kenya hakuna tender, wakati sisi tunajenga vipande vyote kwa wakati mmoja. Wachina wameshashtuka, bila Tanzania hakuna One Belt One Road. Ndio maana wanashabulia TAZARA na wanashambulia Central Corridor.
 
Vija sana hawa jamaa, full mikurupuko, hawana sera au mikakati, wanaendeshana kwa matamko ya kila siku yasiyotabirika.
Hii ni dalili ya woga na wivu, taja nchi yoyote ile Africa ambayo imetoa $3B cash kufadhili mradi wake wowote ule,
 
he he
nakumbuka wakisema ati china ni wanafiki ,
walizuguka, wakajipiga kifua eti tutajenga na pesa zetu sisi ni tajiri .mtakiona , mtaisoma namba ,povu, tuta fanya hii ,tutafanya ile ,tuta ......blah blah - the usual anthem.

mda umepotea ,sahii hiyo reli ingeshafika nusu ,you better negotiate china terms and give their companies the contract
the only one willing to invest in large scale infrastructure in africa

sasa hiyo reli itakua aje , section moja AREMA design standard section ingine China class design standard ??
How many sections have Kenya received financing so far from China to brag about?
 
Stupid liar! Fully finding financed by the government!?
If this is true then why the same government should go around the World begging various countries to finance this project!?

Soma kwa makini kinachojadiliwa hapa badala ya kukurupuka na kuonyesha ujuha wako hadharani.

Na hii Serikali ya wasema uongo ndiyo unataka tuiamini!? Tuna pesa chungu nzima hapo hapo wameshindwa kukomboa pangaboi kutoka Canada. Bajeti ni 29 trillions wanaishia kutoa 35% ya bajeti yote.

Hii Serikali si inafungia magazeti yanayoanadika uongo!?
Mbona haya kama yameandika uongo hayajafungiwa?


Peleka upuuzi wako kwa wapuuzi wenzio mtaa wa lumumba.
Ila mkuu BAK si kila jambo kulipinga tu au kulijengea hoja kwa ajili ya tofauti za kisiasa
 
How many sections have Kenya received financing so far from China to brag about?

4 sections of the northern corridor from Mombasa to Kampala are fully secured with financing ,

http://www.businessdailyafrica.com/...an-railway-/539550-3939008-dvofkcz/index.html

even lappset sgr will recieve financing from china
kenya's infrastructure deals with china levels to the top political leadership ,included in the one belt one road china initiative


PNG_One-belt-one-road_China_ex1.ashx
africa.jpg




to the top levels of leadership


uh.png
xi_jiping_and_kenya-sm.jpg
XI-JINPING-SA.jpg





this is all backed up by real action on the ground
nairobi-malaba progressing on schedule

85Xpd4e.jpg
T2WU7W9.jpg
tvzmjlV.jpg
kN0VKKN.jpg
67VknAN.jpg
trkPtZk.jpg
X99wv8P.jpg
tsAFixt.jpg
YrPL4XF.jpg
K9An3uP.jpg
LGbvKmP.jpg
jKrXiGf.jpg
dL7YUEs.jpg
vifYljI.jpg
 
4 sections of the northern corridor from Mombasa to Kampala are fully secured with financing ,

Uganda hails China’s Sh860 billion loan for E.Africa railway

even lappset sgr will recieve financing from china
kenya's infrastructure deals with china levels to the top political leadership ,included in the one belt one road china initiative


PNG_One-belt-one-road_China_ex1.ashx
africa.jpg




to the top levels of leadership


uh.png
xi_jiping_and_kenya-sm.jpg
XI-JINPING-SA.jpg





this is all backed up by real action on the ground
nairobi-malaba progressing on schedule

85Xpd4e.jpg
T2WU7W9.jpg
tvzmjlV.jpg
kN0VKKN.jpg
67VknAN.jpg
trkPtZk.jpg
X99wv8P.jpg
tsAFixt.jpg
YrPL4XF.jpg
K9An3uP.jpg
LGbvKmP.jpg
jKrXiGf.jpg
dL7YUEs.jpg
vifYljI.jpg
Wow! I truly lack words to tell GoK thank you. This will be a game changer in Kenya and the greater East African region in terms of Logistics.
 
Back
Top Bottom