China ready to avail $7.6 bln for remaining SGR

China ready to avail $7.6 bln for remaining SGR

Bila aibu ukizingatia mlivyokua mnaimba huku, kwanza lazima Mchina atazaa na nyie maana mlimzingua sana kwa kumringia, lazima awatie mimba

bado hana ujeuri huo. tunaweka issue mezani tunapiga negotiation bila 10pc wala nini. then win win situation.
katika kipindi chote cha JPM hakutakuwa na mikataba ya hovyo. amesema bora aitwe unpopular President kuliko kufumbia macho mambo ya hovyo yanayotendeka.
 
bado hana ujeuri huo. tunaweka issue mezani tunapiga negotiation bila 10pc wala nini. then win win situation.
katika kipindi chote cha JPM hakutakuwa na mikataba ya hovyo. amesema bora aitwe unpopular President kuliko kufumbia macho mambo ya hovyo yanayotendeka.

Hayo ni matamko mnayapenda sana, lakini uhalisia...
 
Huu mkopo mbona wa awamu ya nne uchwara akaufuta kwa kudai umegubikwa na ufisadi. Sasa umerudi tena!?
😡

Tanzania gets $7.6 bln loan from China's Exim Bank for railway

Baada ya kuufuta mkopo huu wakaenda Turkey kuwa kuomba mkopo.

Turkey, China caught up in rail tender confusion

On ascending to power last year, President Magufuli terminated the contract though the consortium had already built five kilometres of the line.

Subsequently, a former managing director of Reli Assets Holding Company was charged in court over the irregular award of the tender.


The original design ran from Dar es Salaam to Kigoma, branching off to Uvinza for the Musongati nickel mine in Burundi and extending to Kaliua.

The plan was to use Burundi as a logistical hub for supplying goods into the Democratic Republic of Congo and Rwanda.
Uchwara anajifanya yupo Ok upstairs kumbe nae ni fisadi tu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
CHINA YAAHIDI KUFADHILI UJENZI WA RELI KWA KIWANGO CHA KIMATAIFA (SGR)

BALOZI wa China hapa nchini, Wang Ke, amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango na kuahidi kuwa nchi yake iko tayari kushawishi taasisi za fedha ikiwemo Benki ya EXIM ya nchini humo kushiriki ujenzi wa reli ya kati kwa kiwango cha kimataifa baada ya kufanyika kwa upembuzi yakinifu wa mradi huo.

Alisema kuwa kutokana na ukubwa wa mradi huo, unaokadiriwa utagharimu Dola za Marekani bilioni 7.6 hadi kukamilika kwake, utahitaji kufanyiwa upembuzi yakinifu ili kukidhi masharti ya kupata mkopo kupitia Benki ya Exim na taasisi nyingine zitakazotaka kujenga mradi huo muhimu.

“Mradi huu ni muhimu na wa kihistoria kwa nchi hizi mbili, China ingependa kuona mradi huo unaboreshwa ili uweze kutoa huduma ya kusafirisha mizigo na abiria na kwamba kuimarika kwake kutaokoa miundombinu ya barabara kwa kuwa shehena kubwa ya mizigo itasafirishwa kupitia reli hiyo.

Aidha, Balozi Ke alisema kuwa nchi yake inasubiri pia kukamilika kwa taratibu za ndani kati yake na Tanzania ili mradi wa reli ya TAZARA uanze ili kuboresha usafiri na usafirishaji wa mizigo na abiria kati ya Tanzania na Zambia pamoja na nchi za maziwa makuu.

Balozi Ke alitumia fursa hiyo kupongeza kazi nzuri inayofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano kwa kukusanya kodi, kusimamia matumizi adili ya fedha za umma, kupunguza matumizi yasiyo ya lazima na kupambana na rushwa.

Akizungumza mara baada ya mazungumzo na mgeni wake, Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango alisema kuwa Serikali imeridhia uamuzi wa China wa kufanya upembuzi yakinifu wa mradi huo wa Reli ya Kati kwa kiwango cha Kimataifa (SGR) ili China kupitia taasisi zake iweze kujenga sehemu ya mradi huo.

“Tayari mradi umeanza kujengwa kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma, kwahiyo kujitokeza kwa China kutaka kufadhili ujenzi wa mradi huo kutasaidia kukamilisha mradi huo muhimu kwa haraka na kwa wakati” Alisema Dkt. Mpango.

Alisema pia kuwa China imeonesha nia ya kusaidia kuujenga na kuupanga mji wa Dodoma kutokana na nchi hiyo kuwa na uzoefu wa kupanga miji ambapo nchi hiyo imeonesha nia ya kujenga miundombinu ya elimu, barabara, uwanja wa ndege wa kimataifa-Msalato, kujenga mfumo wa maji safi na maji taka pamoja na majengo ya kisasa.

Kuhusu biashara, Dkt. Mpango alisema wamekubaliana kuwa China itaisaidia Tanzania kukuza kiwango cha biashara ambapo takwimu zilizoko zinaonesha kuwa urari wa biashara kati ya nchi hizo unaonesha kuwa Tanzania imekuwa ikinunua bidhaa nyingi kutoka nchini humo kuliko inavyo uza bidhaa na huduma zake.

“Mwaka 2016 Tanzania iliuza China bidhaa na huduma zenye thamani ya Dola za marekani milioni 460 wakati China iliuza hapa nchini bidhaa zenye thamani ya Dola za Marekani bilioni 1.2, kiwango ambacho ni kikubwa karibu

(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Fedha na Mipango)

MY TAKE
Ni kama Mchina analeta Tanzania proceeding accrued in Kenya's SGR! [emoji23] [emoji115]
I thought you were building with your own "cash", what happened?! ichoboy01
These neighbours from the south tho'... Truly Entertaining
 
Siwaelewi watanzania. Bungeni wanalalamika sana sana. Kwa nini nchi itumie fedha zake za ndani kujenga SGR. Tangu DAR to DOM. Kimbembe. Toka Makutupora hadi TBR. JPM ameanza kukusanya pesa zake, anapatikana nchi ya kutoa bil 7.5 USD. Pesa za kuweza kujenga SGR kigoma mwanza. Kigali / Bujumbura. TUSHANGILIE
 
I thought you were building with your own "cash", what happened?! ichoboy01
These neighbours from the south tho'... Truly Entertaining
The first 600 km the money came from our pocket! Nowhere did we say we will build all the 2500 km by our cash! Unless u have a proof for ur statement I call ur post a disbelief that the same Chinos r availing us a soft loan to us while they charged u the whole hand n leg!
 
The first 600 km the money came from our pocket! Nowhere did we say we will build all the 2500 km by our cash! Unless u have a proof for ur statement I call ur post a disbelief that the same Chinos r availing us a soft loan to us while they charged u the whole hand n leg!
Dude so when Exim bank gives kenya a loan you say tumeliwa, but when tge same bank gives you the loan you call it a soft loan?!
Plus where is the first 600 km you are talking about... And please tell me how much it's total cost should be coz that's way too much money. $7.6 billion is already 16% of your GDP plus you're telling me there's more...
 
Dude how on earth is $7.6 billion a soft loan?! Plus where is the first 600 km you are talking about... And please tell me how much it's total cost should be coz that's way too much money. That's already 16% of your GDP plus you're telling me there's more...
Fool what r u trying to argue? Soft loan can be meaning terms n conditions r flexible also interest rates r lower. Huu wivu wenu unashangaza! Sasa unabisha kwamba km 600 tayari Fedha ipo? Au pia kuna km 2500 in total need to be built?
 
this is a crazy bitch,he is pulling 600 from his arse😀
Dude so when Exim bank gives kenya a loan you say tumeliwa, but when tge same bank gives you the loan you call it a soft loan?!
Plus where is the first 600 km you are talking about... And please tell me how much it's total cost should be coz that's way too much money. $7.6 billion is already 16% of your GDP plus you're telling me there's more...
 
Tutajenga kwa pesa zetu za ndani........... kwani how manufacturers loans are these people getting?
Exim bank
Standard Chartered
Kenyan banks
Swiss banks

....more 1.4billion dollars from standard chartered bank

The Standard Chartered Bank's Group on Wednesday agreed to give Tanzania a concessional loan of 1.46 billion U.S. dollars for the construction of the Morogoro-Dodoma section of the Standard Gauge Railway (SGR), said a statement by Tanzania's Ministry of Finance and Planning.

Tanzania secures 1.46 bln USD loan for SGR construction - Xinhua | English.news.cn
http://www.thecitizen.co.tz/News/1840340-4666966-1lj0bqz/index.html
Nairobi-based bank to lend Tanzania $400m for SGR railway, gas
 
Tutajenga kwa pesa zetu za ndani........... kwani how manufacturers loans are these people getting?
Exim bank
Standard Chartered
Kenyan banks
Swiss banks

....more 1.4billion dollars from standard chartered bank

The Standard Chartered Bank's Group on Wednesday agreed to give Tanzania a concessional loan of 1.46 billion U.S. dollars for the construction of the Morogoro-Dodoma section of the Standard Gauge Railway (SGR), said a statement by Tanzania's Ministry of Finance and Planning.

Tanzania secures 1.46 bln USD loan for SGR construction - Xinhua | English.news.cn
Tanzania to receive Sh452bn Credit Suisse boost for SGR, power
Nairobi-based bank to lend Tanzania $400m for SGR railway, gas
Kenyans banks!! Unaugua uchizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kivipi mind u hiyo Fedha itaenda sections tofauti our SGR needs to get to Mwanza n Kigali n Bujumbura! So far Dar to Dodoma is U/C n this financing excludes that!
Trust me Chinese EXIM bank haitoi lolote hadi chinese company ipewe kazi ya ujenzi. Full stop.
 
http://www.china.org.cn/world/Off_the_Wire/2018-08/30/content_60964192.htm
DAR ES SALAAM, Aug. 29 (Xinhua) -- The Standard Chartered Bank's Group on Wednesday agreed to give Tanzania a concessional loan of 1.46 billion U.S. dollars for the construction of the Morogoro-Dodoma section of the Standard Gauge Railway (SGR), said a statement by Tanzania's Ministry of Finance and Planning
 
Nairobi bank doesn't mean owned by LDC Kenya.

ABOUT US
Screenshot_2018-08-30-03-01-26.png
Screenshot_2018-08-30-03-01-34.png
Screenshot_2018-08-30-03-01-48.png
Screenshot_2018-08-30-03-02-08.png
Screenshot_2018-08-30-03-02-20.png
Screenshot_2018-08-30-03-02-29.png



Regional Member:
  • Republic of Burundi
  • Union of the Comoros
  • Democratic Republic of Congo
  • Republic of Djibouti
  • Arab Republic of Egypt
  • State of Eritrea
  • Federal Democratic Republic of
  • Ethiopia
  • Republic of Kenya
  • Republic of Malawi
  • Republic of Mauritius
  • Republic of Mozambique
  • Republic of Rwanda
  • Republic of Seychelles
  • Federal Republic of Somalia
  • Republic of the Sudan
  • Republic of South Sudan
  • Kingdom of Swaziland
  • United Republic of Tanzania
  • Republic of Uganda
  • Republic of Zambia
  • Republic of Zimbabwe
Non-Regional Members
  • National Bank of Belarus- Paritetbank
  • People’s Bank of China


Institutional Members
  • African Development Bank
  • Africa Reinsurance Corporation
  • Banco Nacional de Investimento
  • Mauritian Eagle Insurance Company Limited
  • National Pension Fund – Mauritius
  • National Social Security Fund -Uganda
  • OPEC Fund for International Development (OFID)
  • PTA Reinsurance Company, Rwanda Social Security Board
  • Rwanda Social Security
  • Sacos Group Ltd
  • Seychelles Pension Fund (SPF)

Mauritius Principal Office
TDB Mauritius,
Blue Tower, 2nd Floor
Rue de l’Institut, Ebene,
Reduit, Mauritius
Tel:+230 4676016
Bujumbura Principal Office
TDB Bujumbura,
Chaussée Prince Louis,
Rwagasore,
P. O. Box 1750,
Bujumbura, Burundi
Tel :+257 22 224966/ 224975
Fax:+257 22 22498
Nairobi Regional Office
TDB Nairobi,
197 Lenana Place,
Lenana Road
1st floor and top floor
P.O Box 48596 – 00100,
Nairobi, Kenya
Tel :+254 732 192 000
Fax:+254 20 2711510
Harare Regional Office
TDB Harare,
70 Enterprise road
Newlands
Harare,
Tel:+263 4 788331-3/
788336-9/ 788345
Addis Ababa Regional Office
Ground Floor UNDP Regional Service
Centre, Bole Road, Olympia Roundabout,
Addis Ababa, Ethiopia
GET IN TOUCH
Emai
Screenshot_2018-08-30-03-01-48.png
Screenshot_2018-08-30-03-01-26.png
l: info@tdbgroup.org

Contact us - TDB
 
Back
Top Bottom