Makambo zali
Senior Member
- Sep 23, 2017
- 180
- 433
kabisaHapa tunaonyesha tunavyoyumba kwenye masuala ya uwekezaji. Hawa wachina walitaka kujenga reli ya kati kutoka Dar mpaka Mwanza kwa gharama zao ambao ingekuwa mkopo wa muda mrefu serikali ikaamua kutoa fedha za ndani ili mradi huu ufanyike na tenda ya ujenzi wa reli wakapewa Uturuki.
Leo serikali Inarudi pale pale kwa wachina. Very amazing.
Umeanza kuingiwa na kihoro. Ninauhakika umeelewa.he he
nakumbuka wakisema ati china ni wanafiki ,
walizuguka, wakajipiga kifua eti tutajenga na pesa zetu sisi ni tajiri .mtakiona , mtaisoma namba ,povu, tuta fanya hii ,tutafanya ile ,tuta ......blah blah - the usual anthem.
mda umepotea ,sahii hiyo reli ingeshafika nusu ,you better negotiate china terms and give their companies the contract
the only one willing to invest in large scale infrastructure in africa
sasa hiyo reli itakua aje , section moja AREMA design standard section ingine China class design standard ??
he he
nakumbuka wakisema ati china ni wanafiki ,
walizuguka, wakajipiga kifua eti tutajenga na pesa zetu sisi ni tajiri .mtakiona , mtaisoma namba ,povu, tuta fanya hii ,tutafanya ile ,tuta ......blah blah - the usual anthem.
mda umepotea ,sahii hiyo reli ingeshafika nusu ,you better negotiate china terms and give their companies the contract
the only one willing to invest in large scale infrastructure in africa
sasa hiyo reli itakua aje , section moja AREMA design standard section ingine China class design standard ??[/QUOTE. Hehehe,hawa jamaa hawajui waendako😀
we muache atashangaa kitakachomkuta maana tulishasemaga sn juu ya haya mambo lakini hawakomiyani wanakela balaaa... akiwa karibu mnase kofi...
mimi ili nibidi kufuta kile nilicho andika maana hakukuwa na maana mimi kuandika alafu mwingine kuubeba kuwa wake...! hii pajarizimu mpaka humu ina kera...we muache atashangaa kitakachomkuta maana tulishasemaga sn juu ya haya mambo lakini hawakomi
kuna kitu kumerge pia nyuzi... huku kuna boa mbaya...we muache atashangaa kitakachomkuta maana tulishasemaga sn juu ya haya mambo lakini hawakomi
he he
nakumbuka wakisema ati china ni wanafiki ,
walizuguka, wakajipiga kifua eti tutajenga na pesa zetu sisi ni tajiri .mtakiona , mtaisoma namba ,povu, tuta fanya hii ,tutafanya ile ,tuta ......blah blah - the usual anthem.
mda umepotea ,sahii hiyo reli ingeshafika nusu ,you better negotiate china terms and give their companies the contract
the only one willing to invest in large scale infrastructure in africa
sasa hiyo reli itakua aje , section moja AREMA design standard section ingine China class design standard ??
Wewe acha kutu judge that low, huelewi lakini you quick to judge, wll. You sound jealousy.Vija sana hawa jamaa, full mikurupuko, hawana sera au mikakati, wanaendeshana kwa matamko ya kila siku yasiyotabirika.
"Nadhani" so you not sure?Tayari SGR inakamilika kwa wakati. Nadhani next year awamu nyingine itaanza. Good movement.
Kabla ya kuponda, kwanza fanya utafiti kwa nini serikali ilishtukaHapa tunaonyesha tunavyoyumba kwenye masuala ya uwekezaji. Hawa wachina walitaka kujenga reli ya kati kutoka Dar mpaka Mwanza kwa gharama zao ambao ingekuwa mkopo wa muda mrefu serikali ikaamua kutoa fedha za ndani ili mradi huu ufanyike na tenda ya ujenzi wa reli wakapewa Uturuki.
Leo serikali Inarudi pale pale kwa wachina. Very amazing.
Hii ni dalili ya woga na wivu, taja nchi yoyote ile Africa ambayo imetoa $3B cash kufadhili mradi wake wowote ule,Vija sana hawa jamaa, full mikurupuko, hawana sera au mikakati, wanaendeshana kwa matamko ya kila siku yasiyotabirika.
How many sections have Kenya received financing so far from China to brag about?he he
nakumbuka wakisema ati china ni wanafiki ,
walizuguka, wakajipiga kifua eti tutajenga na pesa zetu sisi ni tajiri .mtakiona , mtaisoma namba ,povu, tuta fanya hii ,tutafanya ile ,tuta ......blah blah - the usual anthem.
mda umepotea ,sahii hiyo reli ingeshafika nusu ,you better negotiate china terms and give their companies the contract
the only one willing to invest in large scale infrastructure in africa
sasa hiyo reli itakua aje , section moja AREMA design standard section ingine China class design standard ??
Ila mkuu BAK si kila jambo kulipinga tu au kulijengea hoja kwa ajili ya tofauti za kisiasaStupid liar! Fully finding financed by the government!?
If this is true then why the same government should go around the World begging various countries to finance this project!?
Soma kwa makini kinachojadiliwa hapa badala ya kukurupuka na kuonyesha ujuha wako hadharani.
Na hii Serikali ya wasema uongo ndiyo unataka tuiamini!? Tuna pesa chungu nzima hapo hapo wameshindwa kukomboa pangaboi kutoka Canada. Bajeti ni 29 trillions wanaishia kutoa 35% ya bajeti yote.
Hii Serikali si inafungia magazeti yanayoanadika uongo!?
Mbona haya kama yameandika uongo hayajafungiwa?
Peleka upuuzi wako kwa wapuuzi wenzio mtaa wa lumumba.
How many sections have Kenya received financing so far from China to brag about?
Wow! I truly lack words to tell GoK thank you. This will be a game changer in Kenya and the greater East African region in terms of Logistics.4 sections of the northern corridor from Mombasa to Kampala are fully secured with financing ,
Uganda hails China’s Sh860 billion loan for E.Africa railway
even lappset sgr will recieve financing from china
kenya's infrastructure deals with china levels to the top political leadership ,included in the one belt one road china initiative
to the top levels of leadership
this is all backed up by real action on the ground
nairobi-malaba progressing on schedule