Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
Ndege hiyo ya Marekani ya NAVY, Boeing P–8A Poseidon, ilikuwa ikipita katika anga la kimataifa katika Bahari ya Kusini ya China.
Jeshi la China kwa kutumia vifaa vya teknolojia vyenye uwezo wa kuona mbali viliweza kunasa tukio hilo na kulirekodi kwenye video.
Ni nini ambacho ndege hiyo ya jeshi la Marekani iliangusha kwenye bahari hiyo?
Baada ya jeshi la wanamaji la China, The People's Liberation Army Navy (PLAN) kuviibua vifaa hivyo, wataalamu wa vifaa vya kijeshi wa China waligundua kuwa ni submarine detectors.
Ni vifaa ambavyo vinaweza kutambua submarine mahali ilipo na kutuma taarifa kwa jeshi la Marekani.
Mpaka sasa serikali ya China haijatoa tamko rasmi kuhusu tukio hilo wala Marekani pia.
Ikumbukwe mwaka 2023 puto (balloon) lililokuwa limetokea Hainan China lilipaa juu ya anga la Marekani na kunaswa. Lakini baadaye watafiti waligundua halikuwa na madhara yoyote katika kukusanya taarifa na kuzipeleka China.
Je, huenda Marekani walizutupa hizo submarine detectors eneo hili ili kukilinda kisiwa cha Taiwan dhidi ya submarine za China ikitokea uvamizi wa kijeshi, kama baadhi ya wachambuzi wamekuwa wakisema?
Jeshi la China kwa kutumia vifaa vya teknolojia vyenye uwezo wa kuona mbali viliweza kunasa tukio hilo na kulirekodi kwenye video.
Ni nini ambacho ndege hiyo ya jeshi la Marekani iliangusha kwenye bahari hiyo?
Baada ya jeshi la wanamaji la China, The People's Liberation Army Navy (PLAN) kuviibua vifaa hivyo, wataalamu wa vifaa vya kijeshi wa China waligundua kuwa ni submarine detectors.
Ni vifaa ambavyo vinaweza kutambua submarine mahali ilipo na kutuma taarifa kwa jeshi la Marekani.
Mpaka sasa serikali ya China haijatoa tamko rasmi kuhusu tukio hilo wala Marekani pia.
Ikumbukwe mwaka 2023 puto (balloon) lililokuwa limetokea Hainan China lilipaa juu ya anga la Marekani na kunaswa. Lakini baadaye watafiti waligundua halikuwa na madhara yoyote katika kukusanya taarifa na kuzipeleka China.
Je, huenda Marekani walizutupa hizo submarine detectors eneo hili ili kukilinda kisiwa cha Taiwan dhidi ya submarine za China ikitokea uvamizi wa kijeshi, kama baadhi ya wachambuzi wamekuwa wakisema?
CREDIT & VIDEO:
View: https://twitter.com/CGTNOfficial/status/1806214948936360299?t=flEKL5sgwwxTTk_Kms_Y3A&s=19