China: Virusi vingine (Hanta Virus) vyaua mmoja, wengine 32 wapimwa kuona kama wana maambukizi


Aliyefariki yuko China lakini taarifa umezitoa USA, hawa wazungu waache unafiki, Corona imewashinda
 
Hawa watu nao wamezidi kula vitu vya ajabu ajabu sana. Of all things kweli mtu eti anaandaa na kunywa supu ya bat (popo)
 
Wachina wasenge sana wanafaa kutengwa na dunia, njaa ndo iliwafanya wale chochote kinachotembea mbele ya nyuso zao
 
These China guys should now stop eating averthing that moves.... Mda si mrefu mtasikia virus vya chura
 
Wachina wasenge sana wanafaa kutengwa na dunia, njaa ndo iliwafanya wale chochote kinachotembea mbele ya nyuso zao
Ukimtenga Mchina Kwadunia Yasasa Sawa Sawa Na Unajitenga Mwenyewe Mwisho wasiku Utamrudia Halafu Yeye Ndio Ataamua Kukutenga Uanze Kulia Lia Kama Umeonewa

Sent using My COVID-19
 
Panya watu jokes

Ila pole sana MKUU
Niliwahi kuishi kwenye nyumba moja hivi ilikuwa na panya hao duh.

Usiku kulikuwa hailaliki ile nyumba kwa bughudha za panya na kung'atwa juu.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using My COVID-19
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…