China vs Japan

China vs Japan

Usikasirike mkuu, mbona comment yangu haikuwa na povu?
Taiwan GDP ni $33234
Halafu hizo nyingine unazotaja sio nchi. Japan ni nchi, hapa tunafananisha na China, sio miji ya China.
Nani amekasirika ?

Unaufahamu mfumo wa utawala wa China ? Maana hili ni somo lengine sasa unataka kunipeleka.
 
Nani amekasirika ?

Unaufahamu mfumo wa utawala wa China ? Maana hili ni somo lengine sasa unataka kunipeleka.
Vyovyote vile unataka kunionesha kuwa unaijua China. Hongera mkuu kwa kuijua China vizuri. Ila Japan ni nchi tajiri kuliko China
 
Back
Top Bottom