Mr Kazembe
JF-Expert Member
- Mar 24, 2019
- 386
- 514
Kwani hayo majengo n.k Marekani kwanini hajajenga mkuu?Kwani hayo majengo n.k Marekani hawezi kujenga mkuu?
Marekani hizo skyscrapers alishakuwa nazo kitambo sana, china bado ilikuwa hata haijachipua.Kwani hayo majengo n.k Marekani kwanini hajajenga mkuu?
Mambo yanabadilika mzee. Usiishi kwenye past.Marekani hizo skyscrapers alishakuwa nazo kitambo sana, china bado ilikuwa hata haijachipua.
Kuna majengo kama empire state building au WTC haya yalijengwa zamani ingawa sasa hv yamepitwa na wakati.
Hakuna chochote China aweze fanya marekani asiweze mkuu.
Unaweza ongozea hapo
American cities like New York City or Chicago, most land in the cities is already being occupied by existing buildings, to find a flat land (like a parking lot) for a new skyscraper is not easy, available flat land like Hudson Yards is in the minority, in most cases developers must first purchase the old buildings .
Bila ya teknolojia ya kutengeneza baruti ya wachina kusingekuwa na bunduki wala mizinga ambayo ndiyo iliyowezesha Uingereza kuja kuitawala dunia na kuweza kutajirika. Kwa kutumia mizinga ya Royal Navy waliweza kulazimisha biashara haramu ya madawa ya kulevya kufanyika China na wakaunda Benki ya HSBC ili kutorosha pesa.Huyo ni pro russia na allies wake kama china, iran syria, north korea ndo maana anaandika sana kuhusu hizo nchi na huko akijaribu kuonyesha west na its allies si kitu kwa russia na nduguze! china isingekuwa US na europe isingekuwa hapo ilipo na ndo maana teknolojia nyingi za china ni copy & paste ya US na western europe. China alisomesha raia wake wengi US miaka hiyo na wakapata maarifa ya kuboresha uchumi wa china waliporudi uchina ndo wakayafanya waliyoyaona US, kingine kwa miaka mingi china amekuwa mzalishaji wa bidhaa na kuuza masoko ya US na Western europe sabab ya cheap labour ndo maana kampuni kama apple wapo china. All in all kiuchumi/kijeshi/kiteknolojia China kuipita US bado, ila haipingiki anafanya vizuri sana japo as usual pro russia na allies watakwambia US si giant watakwambia kwanza US ana deni kubwa mara ohh anachapisha tu midola.
Past kivipi wakati empire state qbuilding au golden gate bridge zinajengwa china alikuwa wapi?Mambo yanabadilika mzee. Usiishi kwenye past.
Hakuna High-Speed Train huko USA. Mzee utaachwa USA ndiyo basi tena ndugu yangu.Past kivipi wakati empire state qbuilding au golden gate bridge zinajengwa china alikuwa wapi?
Mambo ambayo mchina anafanya sasa hivi Marekani keshafanya kitambo sana mkuu
Uko sahihi!Marekani hizo skyscrapers alishakuwa nazo kitambo sana, china bado ilikuwa hata haijachipua.
Kuna majengo kama empire state building au WTC haya yalijengwa zamani ingawa sasa hv yamepitwa na wakati.
Hakuna chochote China aweze fanya marekani asiweze mkuu.
Unaweza ongozea hapo
American cities like New York City or Chicago, most land in the cities is already being occupied by existing buildings, to find a flat land (like a parking lot) for a new skyscraper is not easy, available flat land like Hudson Yards is in the minority, in most cases developers must first purchase the old buildings .
Nadhani ukweli anaujua ila basi tu anajitutumua. Afike haraka hapa ajibu hapo.Uko sahihi!
Asichokijua mleta uzi ni kwamba, hata hizo skyscrapers zenye urefu mkubwa zaidi nchini China zimekuwa designed na Wamarekani.
Ulinganisho wa mleta uzi unakosa mashiko kwa sababu hiyo. Aliyefanya architectural design ya majengo yaliyopo Marekani kwenye jiji kama New York ndiye huyohuyo amehusika kwenye majiji yaliyoko China.
Cha kushangaza zaidi na pengine mleta uzi hafahamu ni kwamba, hata jengo refu zaidi duniani (Burj Khalifa) lililopo Dubai limebuniwa na Mmarekani.
Mmojawapo wa designers wa majengo marefu yaliyopo China ni kampuni ya ujenzi inayoitwa Kohn Pedersen Fox ya New York nchini Marekani. Hawa wamehusika kwenye majengo mengi ya kibiashara yaliyopo China likiwemo Shanghai World Financial Center.
Link:
Mzee China kuna mamilion ya skyscrapers. Unaona tu skyscrapers tu wili tu unakuja kubweka. Kwanini huko USA wasijenga?Mleta uzi, ulinganisho wako wa kimiundombinu kati ya China na Marekani una makosa mengi ya kisomi.
Ulinganisho unapaswa kuzingatia zaidi yule aliyehusika kwenye ubunifu ama usanifu wa miundombinu, siyo yule ambaye ni mtumiaji wa mwisho wa miundombinu husika au yule ambaye miundombinu hiyo ipo nchini kwake.
Miundombinu unazoziona nchini China hususani majengo marefu (skyscrapers), asilimia kubwa ni miradi iliyobuniwa na kampuni na mashirika ya kigeni tena hasa kutoka Marekani ambaye mara nyingi ndiye mshirika mkuu wa kibiashara wa China.
Umetaja jengo refu zaidi nchini China la Shanghai (Shanghai Tower). Aliyehusika katika usanifu wa jengo hilo ni kampuni ya usanifu wa majengo ya Gensler iliyopo San Francisco nchini Marekani.
Website yao hii hapa. Wameweka mpaka PDF document inayoeleza jinsi design process ya jengo zima ilivyofanyika:
Shanghai Tower | Projects | Gensler
The 632-meter Shanghai Tower, designed by Gensler, ranks as China’s tallest building and showcases cutting-edge sustainable strategies.www.gensler.com
Achilia mbali Gensler, nenda kafanye utafiti kuhusiana na hizi kampuni zingine mbili za hiyo USA unayojaribu kuilinganisha na China:
1) Kohn Pedersen Fox
2) Skidmore, Owings & Merrill
Hao wawili pekee wamehusika katika usanifu wa majengo matano yaliyoko kwenye orodha ya majengo 10 marefu zaidi duniani.
Reference Wikipedia!!!! Mzee are yo serious?Uko sahihi!
Asichokijua mleta uzi ni kwamba, hata hizo skyscrapers zenye urefu mkubwa zaidi nchini China zimekuwa designed na Wamarekani.
Ulinganisho wa mleta uzi unakosa mashiko kwa sababu hiyo. Aliyefanya architectural design ya majengo yaliyopo Marekani kwenye jiji kama New York ndiye huyohuyo amehusika kwenye majiji yaliyoko China.
Cha kushangaza zaidi na pengine mleta uzi hafahamu ni kwamba, hata jengo refu zaidi duniani (Burj Khalifa) lililopo Dubai limebuniwa na Mmarekani.
Mmojawapo wa designers wa majengo marefu yaliyopo China ni kampuni ya ujenzi inayoitwa Kohn Pedersen Fox ya New York nchini Marekani. Hawa wamehusika kwenye majengo mengi ya kibiashara yaliyopo China likiwemo Shanghai World Financial Center.
Link:
Nilidhani umetuletea uzi ili tuujadili kisomi, kumbe umeleta uzi kwaajili ya ushabiki tu, ndugu?!Mzee China kuna mamilion ya skyscrapers. Unaona tu skyscrapers tu wili tu unakuja kubweka. Kwanini huko USA wasijenga?
Unaikataa Wikipedia ambayo wewe mwenyewe umeitumia kwenye baadhi ya taarifa zako?Reference Wikipedia!!!! Mzee are yo serious?
Kwenye field ya construction hii ni kawaida.Mleta uzi, ulinganisho wako wa kimiundombinu kati ya China na Marekani una makosa mengi ya kisomi.
Ulinganisho unapaswa kuzingatia zaidi yule aliyehusika kwenye ubunifu ama usanifu wa miundombinu, siyo yule ambaye ni mtumiaji wa mwisho wa miundombinu husika au yule ambaye miundombinu hiyo ipo nchini kwake.
Miundombinu unazoziona nchini China hususani majengo marefu (skyscrapers), asilimia kubwa ni miradi iliyobuniwa na kampuni na mashirika ya kigeni tena hasa kutoka Marekani ambaye mara nyingi ndiye mshirika mkuu wa kibiashara wa China.
Umetaja jengo refu zaidi nchini China la Shanghai (Shanghai Tower). Aliyehusika katika usanifu wa jengo hilo ni kampuni ya usanifu wa majengo ya Gensler iliyopo San Francisco nchini Marekani.
Website yao hii hapa. Wameweka mpaka PDF document inayoeleza jinsi design process ya jengo zima ilivyofanyika:
Shanghai Tower | Projects | Gensler
The 632-meter Shanghai Tower, designed by Gensler, ranks as China’s tallest building and showcases cutting-edge sustainable strategies.www.gensler.com
Achilia mbali Gensler, nenda kafanye utafiti kuhusiana na hizi kampuni zingine mbili za hiyo USA unayojaribu kuilinganisha na China:
1) Kohn Pedersen Fox
2) Skidmore, Owings & Merrill
Hao wawili pekee wamehusika katika usanifu wa majengo matano yaliyoko kwenye orodha ya majengo 10 marefu zaidi duniani.
Past kivipi wakati empire state qbuilding au golden gate bridge zinajengwa china alikuwa wapi?
Mambo ambayo mchina anafanya sasa hivi Marekani keshafanya kitambo sana mkuu
Ulinganisho unapaswa kuzingatia zaidi yule aliyehusika kwenye ubunifu ama usanifu wa miundombinu, siyo yule ambaye ni mtumiaji wa mwisho wa miundombinu husika au yule ambaye miundombinu hiyo ipo nchini kwake.
China ipo na majiji zaidi ya 200.Unaikataa Wikipedia ambayo wewe mwenyewe umeitumia kwenye baadhi ya taarifa zako?
Website ya Kohn Pedersen Fox hii hapa, projects zao zote duniani za skyscrapers ziko humo:
Projects zao zingine za majengo ya kawaida ya kibiashara barani Asia hizi hapa:
Tujadili kisomi!
Kwani kinacho zungumziwa hapa ni yupi mbunifu wa majengo kati ya hizo nchi mbili au ipi nchi imemzidi mwenzie kwenye miundombinu ?Unaikataa Wikipedia ambayo wewe mwenyewe umeitumia kwenye baadhi ya taarifa zako?
Website ya Kohn Pedersen Fox hii hapa, projects zao zote duniani za skyscrapers ziko humo:
Projects zao zingine za majengo ya kawaida ya kibiashara barani Asia hizi hapa:
Tujadili kisomi!
Also mchina amejenga Great Wall zaidi ya miaka 2000 iliyopita. Leo uje useme USA.Nilidhani umetuletea uzi ili tuujadili kisomi, kumbe umeleta uzi kwaajili ya ushabiki tu, ndugu?!
Kati ya majengo 10 marefu zaidi nchini China, majengo 9 yamebuniwa na Wamarekani. Nimetaja kampuni kadhaa za Kimarekani ambazo zimehusika kwenye usanifu wa baadhi ya majengo marefu zaidi duniani. Fanya utafiti!
Nani ameichukulia China kama Malawi? Hoja zako ziko kishabiki zaidi kuliko kisomi!China ipo na majiji zaidi ya 200.
Usiichukulie China kama Malawi mzee. Huna exposure ya kuijua dunia mzee. China kwa sasa is a talk of earth.
Pitia uone big construction co. in the world
Top 10 construction companies in 2023
The construction industry is an integral part of the global economy, and these 10 companies have been at the forefront of construction projects for years.constructiondigital.com
China inaongoza.
Demographics kati ya hizo nchi mbili ni tofauti sana hivyo kipimo cha idadi ya miundombinu hakiko sahihi. Kila nchi hapo inajenga miundombinu kwa kuzingatia masuala mbalimbali ikiwemo idadi ya watu.Kwani kinacho zungumziwa hapa ni yupi mbunifu wa majengo kati ya hizo nchi mbili au ipi nchi imemzidi mwenzie kwenye miundombinu ?