China vs USA: Infrastructure, Technology and Development

China vs USA: Infrastructure, Technology and Development

Construction na architecture ni vitu viwili tofauti.

Anayefanya construction ya majengo ya kisasa anatumia nyenzo (tools/equipments) zilizopo tayari pamoja na design/blueprint kutoka kwa aliyefanya architecture.

Anayefanya architecture anatumia ubunifu na ujuzi wa kiufundi (creative and technical skills) ili kuunda majengo (design/blueprint) kabla hata ya mchakato wa construction kuanza.

Kazi ya architecture katika karne hii inahitaji qualifications na ujuzi zaidi kuliko construction.

Mfano: Kwa nchi kama Marekani, wala hauhitaji university degree ili kuwa licensed contractor wa majengo, wakati ili uwe licensed architect ni lazima uwe na kisomo cha juu zaidi kuanzia degree. Nafikiri hata kwa Tanzania ni vivyo hivyo.

Soma zaidi tofauti zao hapo chini (zingatia sana hizo sehemu nilizopigia mstari mwekundu):

View attachment 2770281

Links:

Katika list ya kampuni 100 kubwa za architecture duniani mwaka 2023
●USA 16
●China 13

Usiichukulie poa China wanaweza construction na architecture as well

Link hiyo hapo

 
Construction na architecture ni vitu viwili tofauti.

Anayefanya construction ya majengo ya kisasa anatumia nyenzo (tools/equipments) zilizopo tayari pamoja na design/blueprint kutoka kwa aliyefanya architecture.

Anayefanya architecture anatumia ubunifu na ujuzi wa kiufundi (creative and technical skills) ili kuunda majengo (design/blueprint) kabla hata ya mchakato wa construction kuanza.

Kazi ya architecture katika karne hii inahitaji qualifications na ujuzi zaidi kuliko construction.

Mfano: Kwa nchi kama Marekani, wala hauhitaji university degree ili kuwa licensed contractor wa majengo, wakati ili uwe licensed architect ni lazima uwe na kisomo cha juu zaidi kuanzia degree. Nafikiri hata kwa Tanzania ni vivyo hivyo.

Soma zaidi tofauti zao hapo chini (zingatia sana hizo sehemu nilizopigia mstari mwekundu):

View attachment 2770281

Links:
Leta facts kuhusu kuwa design wa majengo yote ya China ni USA. Mbona unajiondoa ufahamu mdogo wangu? Si ndio wewe umesema majengo yote ya China designer wao ni USA. Mbona hakuna proof yoyote?
 
Great Wall of China uliochukua miaka zaidi ya 2000 kuujenga ukakamilika has nothing to do with 21st century architectural needs and technology!

Kama tunazungumzia nyanja ambazo zinagusa wananchi wa pande zote moja kwa moja (kwa mujibu wa maneno yako mwenyewe), tunapaswa kuzingatia wakati uliopo sasa na mahitaji ya sasa ya watu wa hizo nchi mbili.

Great Wall of China imebaki kama sehemu ya utalii tu. Dhumuni la ujenzi wa huo ukuta lililokuwepo miaka hiyo halipo tena hivi sasa, ndio maana nimesema it has nothing to do with 21st century architectural needs and technology.

Again, unatumia mzani usio sahihi kulinganisha hizo nchi mbili. Kwamba USA nayo ilipaswa kuwa na Great Wall of USA miaka 2000 iliyopita ili kuonesha uwezo wake wa kimiundombinu wa sasa hivi? Wrong!

Uwezo wa USA katika miundombinu za kisasa unajionesha katika baadhi ya miradi mikubwa iliyopo China na duniani kote hivi sasa. Nimesema na nimeleta facts hapa za kutosha.

Katika majengo 10 marefu zaidi duniani, Marekani imehusika kwenye usanifu wa majengo takribani 6. Majengo yote ya China yaliyopo kwenye hiyo list yanaihusisha Marekani katika architectural design.

List hii hapa; architects wa hayo majengo wametajwa humo:
Kama majengo umeshindwa kutuonesha. Tuoneshe basi japo High Speed Railway kutoka USA
Hizi hapa data za 2020

1696331100407.png
 
Leta facts kuhusu kuwa design wa majengo yote ya China ni USA. Mbona unajiondoa ufahamu mdogo wangu? Si ndio wewe umesema majengo yote ya China designer wao ni USA. Mbona hakuna proof yoyote?
Huyo anashindwa kuelewa kuwa China iko katika boom ya ujenzi wa majengo marefu mengi.

Uwepo wa kampuni kutoka nje ni sawa kwa sababu kazi ni nyingi.

Baadhi ya project developers imewabidi kuzitumia za nje. Lakini kwenye ujenzi ni kampuni za ndani tu
 
Kwani kinacho zungumziwa hapa ni yupi mbunifu wa majengo kati ya hizo nchi mbili au ipi nchi imemzidi mwenzie kwenye miundombinu ?
Anataka watu waje waseme maendeleo ya marekani na Europe ni jasho la blacks wa miaka hiyo na mpaka Sasa hivi Bado Kuna unyonyaji. Ref:Niger vs France plpppp

Watu Sasa hivi wanaangalua maokoto
 
Kufanya nini mzee. Kama wewe unapenda madawa ya kulevya unaenda USA but if you are business person unaenda China

Kiwanja kuna China towns kibao ila hamna US town China, unadhani kwanini wachina wanajaza kiwanja?
 
Katika list ya kampuni 100 kubwa za architecture duniani mwaka 2023
●USA 16
●China 13

Usiichukulie poa China wanaweza construction na architecture as well

Link hiyo hapo

Tatizo watu wanaichukulia china kama Burundi vile. Wanawaona wachina kana kwamba kichwani hazimo.
Europe na marekani wameungana kupigana na china. ASML ya Uholonzi wameungana na USA kuwabania machine za kutengeneza semiconductors.

Kilicho washangaza SMIC wamekuja na 7nm chip. Na Huawei kawapiga bao la uso sasa hivi wanahaa


 
Kiwanja kuna China towns kibao ila hamna US town China, unadhani kwanini wachina wanajaza kiwanja?
Hueleweki ulichoandika. Je, kiswahili unakijua vizuri? Umewahi kwenda China mji gani mzee
 
Tatizo watu wanaichukulia china kama Burundi vile. Wanawaona wachina kana kwamba kichwani hazimo.
Europe na marekani wameungana kupigana na china. ASML ya Uholonzi wameungana na USA kuwabania machine za kutengeneza semiconductors.

Kilicho washangaza SMIC wamekuja na 7nm chip. Na Hawei kawapiga bao la uso sasa hivi wanahaa


HUAWEI Mate 60 imewachanganya sana nchi za Magharibi hasa Marekani aliyejifanya kumbania chip
 
Hueleweki ulichoandika. Je, kiswahili unakijua vizuri? Umewahi kwenda China mji gani mzee

Usijifanye huelewi, kwanini wachina wanajazana US hadi kuwa na vimiji vyao ndani ya US, Chinatowns, wakati hamna mtu toka US anaenda kuishi China? Kwanini wachina wenyewe wanakimbilia makao makuu ya dunia, USA?

 
wakati hamna mtu toka US anaenda kuishi China?
Duuh! Mwafrika mwenzangu mbona unachekesha jukwaa

Americans in China (Chinese: 在華美國人; Pinyin: zài huá měiguó rén) are expatriates and immigrants from the United States as well as their locally born descendants. Estimates range from 72,000 (excluding Hong Kong and Macau) to 110,000.
 
Usijifanye huelewi, kwanini wachina wanajazana US hadi kuwa na vimiji vyao ndani ya US, Chinatowns, wakati hamna mtu toka US anaenda kuishi China? Kwanini wachina wenyewe wanakimbilia makao makuu ya dunia, USA?

Mzee wewe bado mgeni sana kwenye Internet.
Kwanza Wikipedia siyo reliable source maana kila mtu anaweza kuandika apendacho.
Pili China wapo duniani kote hata hapa Tanzania kuna China Plaza hapo Kariakoo. Kuna Restaurant kibao za wachina. Huenda mwenzangu huja tembea. Yaani watu kuweza kuwa na Miji yao kwenye nchi zenu maana yake wamewatawala.

Hapa Bongo majina mengi ni ya wazungu. Mfano Ziwa Victoria nk.
Hiyo point yako haina mashiko
 
Usijifanye huelewi, kwanini wachina wanajazana US hadi kuwa na vimiji vyao ndani ya US, Chinatowns, wakati hamna mtu toka US anaenda kuishi China? Kwanini wachina wenyewe wanakimbilia makao makuu ya dunia, USA?

Hivi unaelewa hata concept ya China Town ? Unafikiri China town ipo US pekee ?

Tafuta mtandaoni ujue kwa nini wachina katika nchi yoyote watakayo ishi hutengeneza miji wao wenye mfumo wa maisha na tamaduni zao. Hao ni watu wa tamaduni kwa zaidi ya miaka 5000 iliyo pita hawawezi kuacha kukusanyika pamoja kama jamii katika eneo moja hiyo ni all-over the world sio nyie migrant weusi mnaendekeza ubaguzi wa wenyewe kwa wenyewe mpaka huko abroad .
 
Mzee wewe bado mgeni sana kwenye Internet.
Kwanza Wikipedia siyo reliable source maana kila mtu anaweza kuandika apendacho.
Pili China wapo duniani kote hata hapa Tanzania kuna China Plaza hapo Kariakoo. Kuna Restaurant kibao za wachina. Huenda mwenzangu huja tembea. Yaani watu kuweza kuwa na Miji yao kwenye nchi zenu maana yake wamewatawala.

Hapa Bongo majina mengi ni ya wazungu. Mfano Ziwa Victoria nk.
Hiyo point yako haina mashiko

That went over your head. Still missing the point.
 
Duuh! Mwafrika mwenzangu mbona unachekesha jukwaa

Americans in China (Chinese: 在華美國人; Pinyin: zài huá měiguó rén) are expatriates and immigrants from the United States as well as their locally born descendants. Estimates range from 72,000 (excluding Hong Kong and Macau) to 110,000.

Sijaongela popote pale kuhusu majina. Nimesema kwanini wachina wakimbia kwao na kujazana in the West? Fananisha na hao 72k.


china.PNG
 
Back
Top Bottom