Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Construction na architecture ni vitu viwili tofauti.
Anayefanya construction ya majengo ya kisasa anatumia nyenzo (tools/equipments) zilizopo tayari pamoja na design/blueprint kutoka kwa aliyefanya architecture.
Anayefanya architecture anatumia ubunifu na ujuzi wa kiufundi (creative and technical skills) ili kuunda majengo (design/blueprint) kabla hata ya mchakato wa construction kuanza.
Kazi ya architecture katika karne hii inahitaji qualifications na ujuzi zaidi kuliko construction.
Mfano: Kwa nchi kama Marekani, wala hauhitaji university degree ili kuwa licensed contractor wa majengo, wakati ili uwe licensed architect ni lazima uwe na kisomo cha juu zaidi kuanzia degree. Nafikiri hata kwa Tanzania ni vivyo hivyo.
Soma zaidi tofauti zao hapo chini (zingatia sana hizo sehemu nilizopigia mstari mwekundu):
View attachment 2770281
Links:
![]()
Construction vs Architecture: Which One Is The Correct One?
When it comes to building design and construction, the terms "construction" and "architecture" are often used interchangeably. However, they are not the samethecontentauthority.com
![]()
The Difference Between a General Contractor and an Architect
The difference between an architect and a contractor is that architects produce designs for larger-scale projects while the contractors keep and implement them.www.accessdoorsandpanels.com
Katika list ya kampuni 100 kubwa za architecture duniani mwaka 2023
●USA 16
●China 13
Usiichukulie poa China wanaweza construction na architecture as well
Link hiyo hapo
> Largest architecture firms in the World [2023 update] | ARCHIVIBE
What are the largest architecture firms in the World in 2023? Discover the top architecture firms in terms of fee income and employees.