Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
- Thread starter
-
- #141
Naona umeachana na Wikipedia umehamia YouTube. Siko hapa kuongeza views kwa YouTubers tafadhali. From now onwards, nitajibu hoja tu.Unaleta utoto kweli kijana wangu. Tuoneshe Infrastructures za USA. Hapa unapiga porojo tu.
Wewe weka infrastructure za USA.
Baada ya hapo watch this
View: https://youtu.be/EMEHj4BnDGw?si=YCM_Xq6iOzvRaT3l
Hii ya mwaka 2017Ukweli umeuleta wewe mwenyewe halafu unaukataa? Unazingua!
Hiyo video ya YouTube mzee. Ruksa kuweka hizo video za infrastructure za USA tulinganishe.Naona umeachana na Wikipedia umehamia Youtube. Siko hapa kuongeza views kwa Youtubers tafadhali. From now onwards, nitajibu hoja tu.
Asante!
Weka vitu kana hivi simple tuNaona umeachana na Wikipedia umehamia Youtube. Siko hapa kuongeza views kwa Youtubers tafadhali. From now onwards, nitajibu hoja tu.
Asante!
Mzee hapahatuhitaji Historia. Tunataka uweke infrastructuresNahitimisha kihistoria:
Wakati Wajapani wanazindua treni ya mwendo kasi (HSR) kwa mara ya kwanza duniani mwaka 1964, Marekani ilikuwa tayari imeshaanza kutumia ndege katika sekta ya usafiri wa haraka miaka takribani 6 kabla (1958).
Wakati Wajapani wanaufurahia mradi wa HSR na kabla hata ya mradi huo kuzinduliwa nchini Marekani, tayari ulishakosa vigezo kama nyenzo ya haraka ya usafiri kibiashara nchini Marekani.
In short, mradi wa kuongeza HSR network nchini Marekani kwa sasa hauna manufaa kwa Marekani.
Hii hapa chini ni article nzuri sana inayoeleza hiki ninachokisema kihistoria zaidi kuhusiana na suala la HSR nchini Marekani. Article ni kutoka katika taasisi ya utafiti (think tank) ya Cato Institute:
Nyongeza ya kile ambacho nimeshakisema awali:
Pamoja na kwamba nilisema kuwa High Speed Railway network inahitaji population density kubwa na muunganiko wa karibu zaidi wa miji mikubwa ili kuleta economic benefits, tafiti zinaonesha kuwa bado hata hilo halitoshi kuendesha mradi wa HSR wenye manufaa makubwa kwa uchumi wa nchi.
China pamoja na kuwa ina vigezo ambavyo nimevitaja, bado inapata hasara ya mabilioni ya yuan kila mwaka kutokana na gharama za uendeshaji wa mradi wake wa reli ya kasi (HSR).
A Whopping $900B Debt - China's Once-Profitable High-Speed Railways Now Heading Towards A Trillion Dollar Disaster
China’s long-distance high-speed rail (HSR) is hailed as the fundamental tenet of its initiatives to recover the country’s coronavirus-affected economy. The government’s goal is to expand further what is already the world’s most extensive high-speed rail network. Recapturing Alaska! Russia...www.eurasiantimes.com China Railway's debt nears $900bn under expansion push
Support to boost economy drives state high-speed train operator deeper into redasia.nikkei.com
Shukrani kwa wote!
Sio kweli!
Sheria za China zinaruhusu foreign firms kuhusika kwenye kutoa wataalamu wa mipango miji.
Moja ya projects za urban planning ni hii hapa ambayo imehusisha makampuni matatu kutoka nje (Marekani na Uingereza) katika masuala ya architecture na consultancy. Project inaitwa Meixi Lake City ama Meixi Lake Master Plan kwa mujibu wa Kohn Pedersen Fox:
View attachment 2771056
Soma zaidi hapa:
Nikuulize swali, China wanazo architecture companies au hawana?Ukweli umeuleta wewe mwenyewe halafu unaukataa? Unazingua!
Kwa hiyo China mpaka apewe tender za ujenzi Marekani it means wana teknolojia na vigezo vinavyoshawishi mpaka nchi za Magharibi kuzipa kazi za ujenzi wa miundombinuRudi kwenye post yangu #118.
Chifu jibu ni moja tu NDIYO au HAPANARudi kwenye post yangu #60.
Nahitimisha kihistoria:
Wakati Wajapani wanazindua treni ya mwendo kasi (HSR) kwa mara ya kwanza duniani mwaka 1964, Marekani ilikuwa tayari imeshaanza kutumia ndege katika sekta ya usafiri wa haraka miaka takribani 6 kabla (1958).
Wakati Wajapani wanaufurahia mradi wa HSR na kabla hata ya mradi huo kuzinduliwa nchini Marekani, tayari ulishakosa vigezo kama nyenzo ya haraka ya usafiri kibiashara nchini Marekani.
In short, mradi wa kuongeza HSR network nchini Marekani kwa sasa hauna manufaa kwa Marekani.
Hii hapa chini ni article nzuri sana inayoeleza hiki ninachokisema kihistoria zaidi kuhusiana na suala la HSR nchini Marekani. Article ni kutoka katika taasisi ya utafiti (think tank) ya Cato Institute:
Nyongeza ya kile ambacho nimeshakisema awali:
Pamoja na kwamba nilisema kuwa High Speed Railway network inahitaji population density kubwa na muunganiko wa karibu zaidi wa miji mikubwa ili kuleta economic benefits, tafiti zinaonesha kuwa bado hata hilo halitoshi kuendesha mradi wa HSR wenye manufaa makubwa kwa uchumi wa nchi.
China pamoja na kuwa ina vigezo ambavyo nimevitaja, bado inapata hasara ya mabilioni ya yuan kila mwaka kutokana na gharama za uendeshaji wa mradi wake wa reli ya kasi (HSR).
A Whopping $900B Debt - China's Once-Profitable High-Speed Railways Now Heading Towards A Trillion Dollar Disaster
China’s long-distance high-speed rail (HSR) is hailed as the fundamental tenet of its initiatives to recover the country’s coronavirus-affected economy. The government’s goal is to expand further what is already the world’s most extensive high-speed rail network. Recapturing Alaska! Russia...www.eurasiantimes.com China Railway's debt nears $900bn under expansion push
Support to boost economy drives state high-speed train operator deeper into redasia.nikkei.com
Shukrani kwa wote!
Ila jamaa akili huna kwaio unataka marekan wabomoe majengo yao kisa kujenga majengo mapya kila yanapobuniwa, uende Vatican pale eti ubomoe majengo yao mazur yamiaka zaid yamiambili ili wajenge kama burj halifa! Hata huko China miaka 100 ujayo hayo majengo yatakua outdated nahawata bomoa kisa bongo tumejenga new fashion... All in all miji ya ulaya bado inavutia mnoooMzee China kuna mamilion ya skyscrapers. Unaona tu skyscrapers tu wili tu unakuja kubweka. Kwanini huko USA wasijenga?
UmekurupukaIla jamaa akili huna kwaio unataka marekan wabomoe majengo yao kisa kujenga majengo mapya kila yanapobuniwa, uende Vatican pale eti ubomoe majengo yao mazur yamiaka zaid yamiambili ili wajenge kama burj halifa! Hata huko China miaka 100 ujayo hayo majengo yatakua outdated nahawata bomoa kisa bongo tumejenga new fashion... All in all miji ya ulaya bado inavutia mnooo
Lengo namba 1 la mashirika ya umma China ni kutoa huduma sio kutengeneza faida hiyo ni communist country sio capitalist country. Mambo ya kutengeneza faida ni malengo ya baadae.China pamoja na kuwa ina vigezo ambavyo nimevitaja, bado inapata hasara ya mabilioni ya yuan kila mwaka kutokana na gharama za uendeshaji wa mradi wake wa reli ya kasi (HSR).
Kwani hapa mleta mada ameleta topic inayo taka nini ?Nisome tena unielewe, mdau!
Nimekataa hicho kipimo cha idadi ya miundombinu. Kipimo hicho hakizingatii utofauti uliopo kati ya hizo nchi mbili. Isitoshe, ulinganisho unakosa nguvu kwa sababu mmoja wapo hapo (USA) ni mhusika katika usanifu wa miundombinu kadhaa mashuhuri za pande zote mbili.