China vs USA: Infrastructure, Technology and Development

China vs USA: Infrastructure, Technology and Development

Ukweli umeuleta wewe mwenyewe halafu unaukataa? Unazingua!
Hii ya mwaka 2017

1696366160028.png
 
Naona umeachana na Wikipedia umehamia Youtube. Siko hapa kuongeza views kwa Youtubers tafadhali. From now onwards, nitajibu hoja tu.

Asante!
Hiyo video ya YouTube mzee. Ruksa kuweka hizo video za infrastructure za USA tulinganishe.
 
Nahitimisha kihistoria:
Wakati Wajapani wanazindua treni ya mwendo kasi (HSR) kwa mara ya kwanza duniani mwaka 1964, Marekani ilikuwa tayari imeshaanza kutumia ndege katika sekta ya usafiri wa haraka miaka takribani 6 kabla (1958).

Wakati Wajapani wanaufurahia mradi wa HSR na kabla hata ya mradi huo kuzinduliwa nchini Marekani, tayari ulishakosa vigezo kama nyenzo ya haraka ya usafiri kibiashara nchini Marekani.

In short, mradi wa kuongeza HSR network nchini Marekani kwa sasa hauna manufaa kwa Marekani.

Hii hapa chini ni article nzuri sana inayoeleza hiki ninachokisema kihistoria zaidi kuhusiana na suala la HSR nchini Marekani. Article ni kutoka katika taasisi ya utafiti (think tank) ya Cato Institute:

Nyongeza ya kile ambacho nimeshakisema awali:
Pamoja na kwamba nilisema kuwa High Speed Railway network inahitaji population density kubwa na muunganiko wa karibu zaidi wa miji mikubwa ili kuleta economic benefits, tafiti zinaonesha kuwa bado hata hilo halitoshi kuendesha mradi wa HSR wenye manufaa makubwa kwa uchumi wa nchi.

China pamoja na kuwa ina vigezo ambavyo nimevitaja, bado inapata hasara ya mabilioni ya yuan kila mwaka kutokana na gharama za uendeshaji wa mradi wake wa reli ya kasi (HSR).


Shukrani kwa wote!
 
Nahitimisha kihistoria:
Wakati Wajapani wanazindua treni ya mwendo kasi (HSR) kwa mara ya kwanza duniani mwaka 1964, Marekani ilikuwa tayari imeshaanza kutumia ndege katika sekta ya usafiri wa haraka miaka takribani 6 kabla (1958).

Wakati Wajapani wanaufurahia mradi wa HSR na kabla hata ya mradi huo kuzinduliwa nchini Marekani, tayari ulishakosa vigezo kama nyenzo ya haraka ya usafiri kibiashara nchini Marekani.

In short, mradi wa kuongeza HSR network nchini Marekani kwa sasa hauna manufaa kwa Marekani.

Hii hapa chini ni article nzuri sana inayoeleza hiki ninachokisema kihistoria zaidi kuhusiana na suala la HSR nchini Marekani. Article ni kutoka katika taasisi ya utafiti (think tank) ya Cato Institute:

Nyongeza ya kile ambacho nimeshakisema awali:
Pamoja na kwamba nilisema kuwa High Speed Railway network inahitaji population density kubwa na muunganiko wa karibu zaidi wa miji mikubwa ili kuleta economic benefits, tafiti zinaonesha kuwa bado hata hilo halitoshi kuendesha mradi wa HSR wenye manufaa makubwa kwa uchumi wa nchi.

China pamoja na kuwa ina vigezo ambavyo nimevitaja, bado inapata hasara ya mabilioni ya yuan kila mwaka kutokana na gharama za uendeshaji wa mradi wake wa reli ya kasi (HSR).


Shukrani kwa wote!
Mzee hapahatuhitaji Historia. Tunataka uweke infrastructures
 
Sio kweli!

Sheria za China zinaruhusu foreign firms kuhusika kwenye kutoa wataalamu wa mipango miji.

Moja ya projects za urban planning ni hii hapa ambayo imehusisha makampuni matatu kutoka nje (Marekani na Uingereza) katika masuala ya architecture na consultancy. Project inaitwa Meixi Lake City ama Meixi Lake Master Plan kwa mujibu wa Kohn Pedersen Fox:

View attachment 2771056

Soma zaidi hapa:

Sijaona paliposema foreign companies wamehusika
 
Nahitimisha kihistoria:
Wakati Wajapani wanazindua treni ya mwendo kasi (HSR) kwa mara ya kwanza duniani mwaka 1964, Marekani ilikuwa tayari imeshaanza kutumia ndege katika sekta ya usafiri wa haraka miaka takribani 6 kabla (1958).

Wakati Wajapani wanaufurahia mradi wa HSR na kabla hata ya mradi huo kuzinduliwa nchini Marekani, tayari ulishakosa vigezo kama nyenzo ya haraka ya usafiri kibiashara nchini Marekani.

In short, mradi wa kuongeza HSR network nchini Marekani kwa sasa hauna manufaa kwa Marekani.

Hii hapa chini ni article nzuri sana inayoeleza hiki ninachokisema kihistoria zaidi kuhusiana na suala la HSR nchini Marekani. Article ni kutoka katika taasisi ya utafiti (think tank) ya Cato Institute:

Nyongeza ya kile ambacho nimeshakisema awali:
Pamoja na kwamba nilisema kuwa High Speed Railway network inahitaji population density kubwa na muunganiko wa karibu zaidi wa miji mikubwa ili kuleta economic benefits, tafiti zinaonesha kuwa bado hata hilo halitoshi kuendesha mradi wa HSR wenye manufaa makubwa kwa uchumi wa nchi.

China pamoja na kuwa ina vigezo ambavyo nimevitaja, bado inapata hasara ya mabilioni ya yuan kila mwaka kutokana na gharama za uendeshaji wa mradi wake wa reli ya kasi (HSR).


Shukrani kwa wote!
Screenshot_20231004-063222_Chrome.jpg


Screenshot_20231004-064716_Chrome.jpg


Screenshot_20231004-070027_Chrome.jpg
 
Mzee China kuna mamilion ya skyscrapers. Unaona tu skyscrapers tu wili tu unakuja kubweka. Kwanini huko USA wasijenga?
Ila jamaa akili huna kwaio unataka marekan wabomoe majengo yao kisa kujenga majengo mapya kila yanapobuniwa, uende Vatican pale eti ubomoe majengo yao mazur yamiaka zaid yamiambili ili wajenge kama burj halifa! Hata huko China miaka 100 ujayo hayo majengo yatakua outdated nahawata bomoa kisa bongo tumejenga new fashion... All in all miji ya ulaya bado inavutia mnooo
 
Ila jamaa akili huna kwaio unataka marekan wabomoe majengo yao kisa kujenga majengo mapya kila yanapobuniwa, uende Vatican pale eti ubomoe majengo yao mazur yamiaka zaid yamiambili ili wajenge kama burj halifa! Hata huko China miaka 100 ujayo hayo majengo yatakua outdated nahawata bomoa kisa bongo tumejenga new fashion... All in all miji ya ulaya bado inavutia mnooo
Umekurupuka
 
China pamoja na kuwa ina vigezo ambavyo nimevitaja, bado inapata hasara ya mabilioni ya yuan kila mwaka kutokana na gharama za uendeshaji wa mradi wake wa reli ya kasi (HSR).
Lengo namba 1 la mashirika ya umma China ni kutoa huduma sio kutengeneza faida hiyo ni communist country sio capitalist country. Mambo ya kutengeneza faida ni malengo ya baadae.

Sio ajabu China kupeleka project za billions of yuan kwenye eneo lenye population ndogo mfano ni hizo HSR, Highways, Bridges
 
Nisome tena unielewe, mdau!

Nimekataa hicho kipimo cha idadi ya miundombinu. Kipimo hicho hakizingatii utofauti uliopo kati ya hizo nchi mbili. Isitoshe, ulinganisho unakosa nguvu kwa sababu mmoja wapo hapo (USA) ni mhusika katika usanifu wa miundombinu kadhaa mashuhuri za pande zote mbili.
Kwani hapa mleta mada ameleta topic inayo taka nini ?
 
Back
Top Bottom