China wakanusha vikali kuhusu kupora uwanja wa Ndege Entebbe nchini Uganda

Ko kuna waandishi/media walioleta hizi taarifa wanatafuta kiki sio..!? Wanamchokoza mu7
 
Kwenye constipation umeniuwa mbavu mkuu
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ Uganda hata Corona ilivyoingia kwao walisema popobawa kutoka Rwanda ndio wameleta hio Corona huko Uganda, siku 1 Waziri wao mwingine wa mazingira akasema Uganda ni chafu kwa sababu Rwandair hua inabeba uchafu wa takataka kutoka Rwanda na kuurushia uganda.Imagine akili Kama hizo mkuu πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Umemaliza kila kitu mkuu.
 
Kwa kipindi kirefu nchi nyingi barani Afrika zimekuwa zikiikumbatia uchina kama rafiki aside na masharti I napokea swala la maendeleo.

Linalotokea Uganda, Kenya, Zambia na Angola nadhani itakuwa funzo kubwa

 
Kwa kipindi kirefu nchi nyingi barani Afrika zimekuwa zikiikumbatia uchina kama rafiki aside na masharti I napokea swala la maendeleo.

Linalotokea Uganda, Kenya, Zambia na Angola nadhani itakuwa funzo kubwa

View attachment 2027872
Madikiteta hawa wamewabebesha Wananchi mizigo mizito kwa maslahi yao binafsi.
 
Museveni ana mikwara sana, halafu anakuja kwetu kutujengea shule, sijui ametuonaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…