China wamekataa kujiunga na Jeshi la Bahari Nyekundu linaloongozwa na Marekani

China wamekataa kujiunga na Jeshi la Bahari Nyekundu linaloongozwa na Marekani

Mbona walishirikiana kupambana na Wasomali waliokuwa wanateka meli? Hoja yako mfu.
Sababu ilikuwa kulinda maslahi yao ya kibiashara maana hata meli zao hupita sana eneo hilo
 
Ngoma ngumu huko Gaza.

Video ya mwanajeshi wa Ukraine akipigana na jeshi la Israel katika Ukanda wa Gaza inasambaa kwenye mitandao ya kijamii.


View: https://x.com/sprinter99800/status/1737809415766442102?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Wako mataifa mengi tu wanamsaidia srael kwenye vita na kuspy.

United Arab Emirates alipeleka maspy eti madaktari wamenda wasaidia watu Gaza, yeye na Jordan na Egypt.

Kuna wanajeshi wa America. UK, Canada, Spain, Italy, France, Australia, Greece, Canada, Ukraine, Germany, pia wako waTanzania, Wakenya, Waethopia yani Israel kakusanya kilavmataifa na bado hajaimaliza Hamasi na Hataimaliza anaota ndoto tu.

Pia wako Warabu wa kipalestine wakristo na waislam na Madourouzi na baadhi ya nchi kama Morocco

Kwakweli Hamasi ni Wanaume wacheni mchezo.

Nchi za kiarabu majeshi yao ni kuwalinda Israel na viongozi wao tu.

Yemen Al Hoot Peke yake ndio wanaume sio wale wa South Yemen

Afu America hawezi kuwachezea wa Yemen, ataishia kubweka tu.
 
Wako mataifa mengi tu wanamsaidia srael kwenye vita na kuspy.

United Arab Emirates alipeleka maspy eti madaktari wamenda wasaidia watu Gaza, yeye na Jordan na Egypt.

Kuna wanajeshi wa America. UK, Canada, Spain, Italy, France, Australia, Greece, Canada, Ukraine, Germany, pia wako waTanzania, Wakenya, Waethopia yani Israel kakusanya kilavmataifa na bado hajaimaliza Hamasi na Hataimaliza anaota ndoto tu.

Pia wako Warabu wa kipalestine wakristo na waislam na Madourouzi na baadhi ya nchi kama Morocco

Kwakweli Hamasi ni Wanaume wacheni mchezo.

Nchi za kiarabu majeshi yao ni kuwalinda Israel na viongozi wao tu.

Yemen Al Hoot Peke yake ndio wanaume sio wale wa South Yemen

Afu America hawezi kuwachezea wa Yemen, ataishia kubweka tu.
Umahiri wake wa kulenga shabaha na kukata vichwa vya watu anapokuwa kwenye uwanja wa vita, ukambadilisha jina lake kwa kupewa jina la Mbwa Mwitu Mwekundu (Red Wolf)

Anaitwa Emmanuel Sinnar, mmoja wa wadunguaji hatari kutoka nchini Ufaransa,

Siku ya juzi, alipiga hii picha kwenye jengo moja bovu sana ambalo alikuwa akifanyia shughuli zake huko kwenye ukanda wa Gaza.

Taarifa rasmi ambazo zimetufikia hivi punde, kamanda huyo ameuliwa asubuhi ya leo na wadunguaji wa HAMAS waliopo kila kona ya Gaza.

Bwana ametoa, Bwana ametwaa 🫵🏻
 

Attachments

  • 4cbe2011-0c55-403b-8534-3d80b0be7f1a.jpeg
    4cbe2011-0c55-403b-8534-3d80b0be7f1a.jpeg
    41.3 KB · Views: 2
Kwa iyo yeye mizigo yake atapitishia wapi? Ngoja tumuone. Kama atapitisha mizigo yake wanaidondosha Ile iwe fundisho kwake. China ni masikini Jeuri aishi kutapatapa
Mbona ya Russia imepita Jana na hawajandondosha?. Wajaribu waone.
 
Jeshi la navy la China (PLA Navy) ni moja ya jeshi bora duniani, pale South China Sea hakuna wa kumbabaisha sio Japan, South Korea wala Philippines.

Kwanza China ana kambi ya kijeshi Djibouti ambapo ni mlango wa kuingia Red Sea

Na hapo wana navy destroyers, Marines, UAVs na MPAs

China haijaamua tu kuingilia huu mgogoro.

Umesahau mbona China walisaidiana na Marekani na mataifa mengine kulinda meli za mizigo kipindi kile cha Gulf of Aden crisis dhidi ya magaidi ya Kisomali? Kwa nini sasa hivi hawataki?

Hizi mambo za geopolitical wengi bado uelewa ni mdogo
Yeye meli zake za kibiashara zitapita bahari ya peke yake !? Au Houthi watakagua kwanza kabla ya kushambulia!?
 
Yeye meli zake za kibiashara zitapita bahari ya peke yake !? Au Houthi watakagua kwanza kabla ya kushambulia!?
Meli za COSCO za shirika la China la usafirishaji wa majini zinapita

Changamoto iko kwa hao wengine akina MAERSK, MSC, CMA CGM, ZIM, EVERGREEN, OOCL, ONE n.k

Kama hizo za shirika la ZIM la Israeli ndio zinawindwa sana
 
Back
Top Bottom