Angela Markel Ujerumani alikaa miaka mingapi??Na yeye ameshaingia kwenye historia ya viongozi ving'ang'anizi wa madaraka duniani kama Pierre Nkurunzinza, Robert Mugabe, Vladmir Putin, nk.
Na bila shaka na mwisho wake pia hautakuwa mzuri. Ni suala tu la muda.
16=4termsAngela Markel Ujerumani alikaa miaka mingapi??
Mfumo wa uongozi wa Ujerumani, ni tofauti kabisa. Hao demokrasia nfiyo imetawala. Hivyo hata angekaa miaka 100, bado huwezi kulinganisha na tawala za nchi za kiimla kama China, Korea Kaskazini, Urusi, nk.Angela Markel Ujerumani alikaa miaka mingapi??
Angel Merker mbona hujamuweka?Na yeye ameshaingia kwenye historia ya viongozi ving'ang'anizi wa madaraka duniani kama Pierre Nkurunzinza, Robert Mugabe, Vladmir Putin, nk.
Na bila shaka na mwisho wake pia hautakuwa mzuri. Ni suala tu la muda.
Kwaiyo Merker sio king,ang'anisi wa madaraka aliekaa tems 4 ila aliekaa temes 3 ndiye king'ang'anizi wa madraka?Mfumo wa uongozi wa Ujerumani, ni tofauti kabisa. Hao demokrasia nfiyo imetawala. Hivyo hata angekaa miaka 100, bado huwezi kulinganisha na tawala za nchi za kiimla kama China, Korea Kaskazini, Urusi, nk.
Unafkiri ni dictator uchwara kwamba yupo hapo anaiba hela alaf wananchi wako na dhiki? Hata akae miaka 100 watu wanapiga maendeleo na hawana kabisa kufkiria umaskini, watu hata habari hawanaDictatorship
Vlodomyl zelensky [emoji4]
Demokrasia bila maendeleo Ni upuuz[emoji4]China ni moja ya nchi zilizo na demokrasia duniani...wale hawana tofauti na korea kaskazini.
Upo sahihi kabisaKama matokeo yanaonekana hakuna shida
Hizi ndio akili za kiafrika!Demokrasia bila maendeleo Ni upuuz[emoji4]
Na hizo zako ndo akili za kitumwa
Na kuna watu wanamuona wa maana sana.Marais wawili waliotangulia waliheshim two terms limit!
Huyu wa sasa kabadilli katiba .....
Pia kuna watu wanaona China inapiga hatua kwa miaka ya X wkt ukweli China imeanza kukimbiza wkt wa the former president juntaoNa kuna watu wanamuona wa maana sana.
Hu Jintao alifanya reform gani ?Pia kuna watu wanaona China inapiga hatua kwa miaka ya X wkt ukweli China imeanza kukimbiza wkt wa the former president juntao
Kama wao wachina wame muona wa maana. Je, kuna tatizo juu ya hilo ?Na kuna watu wanamuona wa maana sana.
Kafanya mabadiliko yeye au chama ndicho kilicho fanya mabadiliko ?Marais wawili waliotangulia waliheshim two terms limit!
Huyu wa sasa kabadilli katiba .....