Angela Markel Ujerumani alikaa miaka mingapi??Na yeye ameshaingia kwenye historia ya viongozi ving'ang'anizi wa madaraka duniani kama Pierre Nkurunzinza, Robert Mugabe, Vladmir Putin, nk.
Na bila shaka na mwisho wake pia hautakuwa mzuri. Ni suala tu la muda.