Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Watu wengi wana ushabiki uchwaraAkili zinatofautina kwa mtu na mtu, kwani China ikivamia Taiwan...maumivu ya watu wa Chicago na Dodoma zinatofautinaje?
WaTanzania tunakuwa na shida gani? Wala watu hawaoni kuwa China ndiyo anaumia zaidi kwa kupigana na jirani yake Taiwan au USA ndiyo Taiwan.