China yaanza mazoezi ya kijeshi kuzunguka Taiwan ili kutoa onyo kwa Marekani

Watu wengi wana ushabiki uchwara
 
It was 'a high time' that China gave 'independence' to Taiwan or elect its president from Taiwan to show that Taiwan is really a part of China.
 
Ivi mnajua 90% ya vitu unavotumia vinatoka China? Je akiingia vitani mnafikiri hali itakuwaje? Mnaoshabikia vita ni watoto pamoja na watumishi wa serikali lakini wafanyabiashara kuanzia machinga hadi wale wakubwa hii vita inaweza kuwa na matokeo mabay sana.
 
Tena Sana Vita ikitokea dunia itapata matokeo hasi Mara Kumi zaidi kuliko yaliotokea Kati ya urusi na Ukraine
 
Haujakosea wengi wanaoshabikia Vita ni watoto pamoja na watumishi wa serikali...Mtu mwenye akili timamu hawezi kushabikia vita
 
US waliahidi kulinda Ukraine Kama hapo Taiwan, mwisho wa Siku ni kutuma siraha na kudemka makwao kwa milio ya siraha za wanaume.
Ndugu mashoga huwa hawatabiliki.
 
Kariakoo ita collapse
 
Kama ananguvu hivyo,kwanini alindwe na mkuu wa mashoga?
 
Taiwan soon itachafuka. Viongozi wake Kama wanajua yatakayowapata wasishupaze shingo yao. Wamtafute Xi mapema kabla hajabonyeza kitufe Cha vita
...ushaona kuna dalili za bwana Zelensky zinataka kutokea kwenye Taifa hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…