China yahitimisha kubadilisha majengo ya misikiti kutoka mtindo wa Kiarabu na kufuata mtindo wa Kichina

China yahitimisha kubadilisha majengo ya misikiti kutoka mtindo wa Kiarabu na kufuata mtindo wa Kichina

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Mwaka 2018 China ilitangaza kuyabomoa majengo yote ya kidini yenye usanifu wa tamaduni nyingine na kuyajenga kwa kufuata majengo ya Tamaduni za Kichina.

Katika waraka huo wa mpango mkakati wa miaka 5, China ilisema itabomoa majengo mengi ya kidini ya mtindo wa Kiarabu ama mtindo mwingine usio wa Kichina na kujenga mapya ila kwa idadi ndogo kuliko yaliyobomolewa, yaani demolish more, build less.

Leo China imehitimisha kwa kubomoa na kujenga upya msikiti mkubwa zaidi na wa zamani zaidi nchini China kutoka mtindo wa Kiarabu kwenda wa Kichina.
2560.jpg


View: https://x.com/guardian/status/1794266391840797112?s=19

China hawana huruma na masuala ya Dini kwani ni kinyume na taratibu za Kichina.
 
Hata ukristo huko china unafuata tamaduni za kichina, wako freshi sana kuenzi na kudumisha utamaduni wao.
 
Tusubiri povu
Wala hamna povu litalokuja. Tuna nyumba, vyumba, madarasa hadi kumbi zinazotumika kwa ajili ya ibada kiislamu. Sisi hatuabudu jengo, popte kambi. So sioni kosa kwenye hili. Kama sio msikiti mtukufu, fresh tu utabomolewa na kujengwa mpya, ilimradi tu uzingatie matakwa ya uhitaji kwa ibada ya kiislamu kama mbele kuelekee upande flan, nafasi kubwa ya waumini, sehemu ya imamu pamoja na sehemu ya kutawadha.
 
Mwaka 2018 China ilitangaza kuyabomoa majengo yote ya kidini yenye usanifu wa tamaduni nyingine na kuyajenga kwa kufuata majengo ya Tamaduni za Kichina.

Katika waraka huo wa mpango mkakati wa miaka 5, China ilisema itabomoa majengo mengi ya kidini ya mtindo wa Kiarabu ama mtindo mwingine usio wa Kichina na kujenga mapya ila kwa idadi ndogo kuliko yaliyobomolewa, yaani demolish more, build less.

Leo China imehitimisha kwa kubomoa na kujenga upya msikiti mkubwa zaidi na wa zamani zaidi nchini China kutoka mtindo wa Kiarabu kwenda wa Kichina.
View attachment 2999411

View: https://x.com/guardian/status/1794266391840797112?s=19

China hawana huruma na masuala ya Dini kwani ni kinyume na taratibu za Kichina.

Watupieni majini kama nyie wajanja
 
Wafuasi wa fundi seremala wa Galilaya wana furahia utadhani majengo ya ukristo hayajakumbwa na utaribu huu huko China 😂😂

Haya madini mmeletewa kwa majahazi yanawatoa akili kabisaaa
 
Africa sisi hatuna mtindo wa ujenzi wa kitamaduni kwa nyumba za ibada ?
 
Mwaka 2018 China ilitangaza kuyabomoa majengo yote ya kidini yenye usanifu wa tamaduni nyingine na kuyajenga kwa kufuata majengo ya Tamaduni za Kichina.

Katika waraka huo wa mpango mkakati wa miaka 5, China ilisema itabomoa majengo mengi ya kidini ya mtindo wa Kiarabu ama mtindo mwingine usio wa Kichina na kujenga mapya ila kwa idadi ndogo kuliko yaliyobomolewa, yaani demolish more, build less.

Leo China imehitimisha kwa kubomoa na kujenga upya msikiti mkubwa zaidi na wa zamani zaidi nchini China kutoka mtindo wa Kiarabu kwenda wa Kichina.
View attachment 2999411

View: https://x.com/guardian/status/1794266391840797112?s=19

China hawana huruma na masuala ya Dini kwani ni kinyume na taratibu za Kichina.

Naona siku hizi Wachina wanabadilika, zamani ukiwa Muislam unakamatwa na unapimwa akili kabla ya kutesa au kuuliwa moja kwa moja kwani walikuwa wanaamini Uislam ni dini ya mashetani.
 
Ila walimu wanastahili nyongeza za mishahara bila upingamizi.

Kilichoandikwa ni kuwa China imebadilisha aina ya ujenzi wa msikiti na sio wamebadilisha matumizi ya msikiti, na hakuna ulazima wa msikiti uwe na usanifu wa kiarabu, kinachoangazia zaidi ni uelekeo wa waswaliji wakati wa kufanya ibada ambapo wanatakiwa kuelekea kibla ya Makkah.

Ila sometimes wasio waislamu wanapenda sana jamii yao iwe na conflicts kuliko waislamu, sasa kulikuwa na haja gani ya kutusi imani ya wengine kwenye andiko lisilo hitaji negative comments, ni ushamba na ukosefu wa adabu.

Ila uislamu umehimiza amani ko tuwasamehe waliotukana.
 
Back
Top Bottom