China yaita kitendo cha Meli ya Kivita ya Marekani kupita katika lango la bahari linalotenganisha China na Taiwan kuwa cha kichokozi

China yaita kitendo cha Meli ya Kivita ya Marekani kupita katika lango la bahari linalotenganisha China na Taiwan kuwa cha kichokozi

bernard10

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2021
Posts
410
Reaction score
732
Jeshi la China limeripoti kama kitendo Cha uchokozi dhidi ya China, baada ya destroyer Raph Johnson (meli ya kivita) ya Marekani kupita katika lango la bahari linalotenganisha China na Taiwan (Taiwan strait).

Jeshi la China limelaani/kulaumu KITENDO hicho Cha Marekani Huku likiongeza kuwa, kitendo hicho Ni Cha hatari na kinatuma alama mbaya kwa (PRO Taiwan Independence forces) vikosi ambavyo vipo kwaniaba ya Uhuru wa Taiwan alisema msemaji wa jeshi la China.

Taiwan ni suala nyeti na muhimu kabisa katika mahusiano ya China na Marekani (Sino-US relationship) hii inakuja siku moja baada ya mazungumzo ya wakuu wa nchi hizo mbili kupitia video call.

Ripoti zinasema China pia ilipeleka meli zake za kivita eneo Hilo nyeti la Lango la Taiwan kufuatilia nyenendo za Meli hiyo.
Baadae Mara ya pili China ilipeleka meli yake mpya Shadong ambayo ni (aircraft carrier).

Suala hili la Taiwan liliongelewa na Raisi wa China XI na mwenzake wa Marekani Biden, akisisitiza suala la Taiwan linatakiwa liendeshwe kwa usahihi.

CHINA inaendelea kuihesabu Taiwan Kama eneo lake na siku Hadi siku imeendelea kuimarisha shughuli zake za kijeshi karibu na kisiwa hicho cha Taiwan.

Hali hii imeendelea kuwasha alamu Taipei katikati ya suala la UKRAINE na Urusi kwamba CHINA inaweza ikafuata nyayo za Urusi na kutumia ndugu zake za kijeshi.

=========

Chinese military says U.S. destroyer's passage through Taiwan Strait 'provocative'​

BEIJING, March 19 (Reuters) - The U.S. destroyer Ralph Johnson's sail-through of the Taiwan Strait on March 17 was a "provocative" act by the United States and sent the wrong signals to pro-Taiwan independence forces, the Chinese military said on Saturday.

Such an act was "very dangerous", a Chinese military spokesperson said in a statement, adding that troops were organised to monitor the Ralph Johnson's passage.

China says Taiwan is the most sensitive and important issue in its relations with the United States. Washington has no formal diplomatic relations with Taipei, but is Taiwan's most important international backer and arms supplier.

Chinese President Xi Jinping told his U.S. counterpart Joe Biden on Friday that the Taiwan issue needs to be handled properly to avoid a negative impact on Sino-U.S. relations.

Reporting by Ryan Woo Editing by Mark Heinrich
 
Unajua wamarekani ni was...nge sana. Si wakapite huko kwao kwani hakuna bahari? Wakianzishiwa moto wanaanza kulialia hovyo China [emoji630] tandika mbwa haoo.
Taiwan Ni satellite state ya US Taiwan ipo tu lakin maamuzi ya uendeshaji wa nchi yanatoka Pentagon uchumi/shughuli za kijeshi zipo chini ya US hivyo US nikawaida kwake kufanya hivyo alivyofanya ila kwasasa China anataka iwe mwisho in short anampango wakuirejesha mikononi mwake sehemu ya kisiwa Cha Taiwan
 
Marekani wachokozi sana, wanajaribu kuleta taharuki tu kwenye hilo eneo.

Walianza kumtia kiburi Ukraine na Sasa wamegeukia kwa Taiwani.
wanachofanay wanataka china aanze kuiita taiwan ili wajue uwezo wa silaha zake upoje, kama walivyofanay kwa kuitumia ukraine na sasa wanapima uwezo wa silaha za Urusi. Ukraine na Taiwan zinatumiwa na marekani kama toilet paper tu.
 
Kila mmoja anataka kuonekana mbabe
Wewe ndiye mbabe wa moyo wangu.

Nitakupa burudani kama zile za peponi, ukienda msalani nikubebe mgongoni.

Wewe kwangu umetukuka kuliko pesa, Lulu, fedha, almasi, dhahabu na marijani.

Acha TU JF ijue kwamba Mimi kwako ni Ngoswe, siziogopi Wala kuziheshimu karatasi za sensa

Hata posho zao ntazitupa mtoni ili mradi TU nikupate wewe.
 
kwahiyo anazidispose off...ila kuna mantiki gani watu wake wanakufa vile kwa kutumia silaha za zamani wakati angeliweza kutumia silaha za kisasa akaokoa maisha ya wanajeshi wake na muda?
Vita si sawa na vile vikatuni vya kwenye play station wanavyochezeaga Watoto bali vita ni mbinu za juu na kumuwahi adui kwa wakati sahihi...[emoji2960]
 
wanachofanay wanataka china aanze kuiita taiwan ili wajue uwezo wa silaha zake upoje, kama walivyofanay kwa kuitumia ukraine na sasa wanapima uwezo wa silaha za Urusi. Ukraine na Taiwan zinatumiwa na marekani kama toilet paper tu.
U need to know the history ya hii issue unless you would not understand.
 
Dunia ya wababe hii. USA ana maslahi ya moja kwa moja na Taiwan, China kuivamia kijeshi Taiwan ni kuikaribisha direct USA katika vita vya kuilinda Taiwan.

Uzuri wa China na USA wanaheshimiana na kupractice mikataba waliyoingia kwasababu in case of any conflict watashambuliana kwenye miji yao kutokana na ukaribu.
 
Back
Top Bottom