China yaita kitendo cha Meli ya Kivita ya Marekani kupita katika lango la bahari linalotenganisha China na Taiwan kuwa cha kichokozi

China yaita kitendo cha Meli ya Kivita ya Marekani kupita katika lango la bahari linalotenganisha China na Taiwan kuwa cha kichokozi

Urusi anatumia zana za 1974 bado hajaanza za 80's
Mahaba makubwa Sana kijana. Eti Urusi anatumia Siraha za 1974 bado za 80's? Mbona mnakuwa wajinga hivyo? Urusi kashatumia mpaka HYPERSONIC MISSILES kule Ukraine wewe bado upo Usingizini TU?

Tupe ushahidi unaoonesha kwamba Urusi iligundua HYPERSONIC MISSILES mwaka 1974.
Screenshot_20220319-164530.jpg
 
siwez ishi kwa story za kupikwa wakat reasoning tu inatosha , wataiwan wanataka kuwa huru , ss kwann uwalazimishe kuwameza ? ukiish kwa story utakuwa huna tofaut na imbecils
Harafu Cha kushangaza,Masikini (China) analazimisha amtawale tajiri (Taiwan)

GDP per Capita ya Raia wa Taiwan ni kubwa Sana kuliko ya Raia wa China Mainland. Kiufupi,Raia wa Taiwan anakipato kikubwa kuliko Raia wa China. Sasa Nani anataka kujiunga na Masikini?
 
That is what it takes to be or considered as superpower.
Wanatumua divide and rule kudhohofisha wapinzani wao wa Sasa au in future, Taiwan was China back in days (currently refer Hongkong crisis) kipindi Cha China revolution in 1940s particularly official year 1949
Mao zhe dong & San yat-sen walivyofanikisha kuutoa utawala uliokuwepo(kuomingtang government) Kama vibaraka wa British, US, chini ya Chiang kai-Shek etc utawala huo ulikimbilia kisiwani Taiwan na kujitangazia Uhuru Kama nchi Huku Raisi wa Marekani enzi hizo bwana Truman akawa wakwanza kuitambua Kama nchi huru nakuiingiza UN kabla hata ya China yenyewe pia kuipatia support mbka leo.

Marekani walifanya hivyo ili kupata Taifa(unaweza ita satellite state) kuwasaidia operation zao huko far East Kama ilivyo Japan or south Korea, zaidi wakiilenga China.(the possible rival and communist) kumbuka enzi hizo Vita kuu ilikuwa communism against capitalism.
Tokea kipindi hicho Chinese hawajawai kuikatia tamaa Taiwan Bado wanaihesabu Kama ardhi/eneo lao for them hii ndyo sensitive issue above them all day and night.
The same was done (divide and rule policy) to Korea, na nchi nyingine nyingi
Ndio maana Russia kaona upuuzi huu dawa ni kupambana nao tu mabeberu.
 
tumia akili yako vzr , unavamia majirani zako kwann wasitafute ushirika wa kujilinda , hv 2014 ulikuwa umezaliwa? pia 2008 ulihadithiwa ya huko Georgia ,the same kwa China kila siku anapora visiwa vya majirani zake kiubabe
Nadhani wewe ndio utakua mtoto wa juzi .soma historia vizuri kuhusu balkan state na ussr utajua hujui.
 
Unachukia lakini kwa sababu akili huna , unabaki na chuki zako huku wenzako unaowajali wanazidi kupelekewa [emoji91]
Wewe mwenye akili unaeipenda marekani je hao wamarekani wanakupelekea nini huko nyuma kwako?
 
Jeshi la China limeripoti kama kitendo Cha uchokozi dhidi ya China, baada ya destroyer Raph Johnson (meli ya kivita) ya Marekani kupita katika lango la bahari linalotenganisha China na Taiwan (Taiwan strait).

Jeshi la China limelaani/kulaumu KITENDO hicho Cha Marekani Huku likiongeza kuwa, kitendo hicho Ni Cha hatari na kinatuma alama mbaya kwa (PRO Taiwan Independence forces) vikosi ambavyo vipo kwaniaba ya Uhuru wa Taiwan alisema msemaji wa jeshi la China.

Taiwan ni suala nyeti na muhimu kabisa katika mahusiano ya China na Marekani (Sino-US relationship) hii inakuja siku moja baada ya mazungumzo ya wakuu wa nchi hizo mbili kupitia video call.

Ripoti zinasema China pia ilipeleka meli zake za kivita eneo Hilo nyeti la Lango la Taiwan kufuatilia nyenendo za Meli hiyo.
Baadae Mara ya pili China ilipeleka meli yake mpya Shadong ambayo ni (aircraft carrier).

Suala hili la Taiwan liliongelewa na Raisi wa China XI na mwenzake wa Marekani Biden, akisisitiza suala la Taiwan linatakiwa liendeshwe kwa usahihi.

CHINA inaendelea kuihesabu Taiwan Kama eneo lake na siku Hadi siku imeendelea kuimarisha shughuli zake za kijeshi karibu na kisiwa hicho cha Taiwan.

Hali hii imeendelea kuwasha alamu Taipei katikati ya suala la UKRAINE na Urusi kwamba CHINA inaweza ikafuata nyayo za Urusi na kutumia ndugu zake za kijeshi.

=========

Chinese military says U.S. destroyer's passage through Taiwan Strait 'provocative'​

BEIJING, March 19 (Reuters) - The U.S. destroyer Ralph Johnson's sail-through of the Taiwan Strait on March 17 was a "provocative" act by the United States and sent the wrong signals to pro-Taiwan independence forces, the Chinese military said on Saturday.

Such an act was "very dangerous", a Chinese military spokesperson said in a statement, adding that troops were organised to monitor the Ralph Johnson's passage.

China says Taiwan is the most sensitive and important issue in its relations with the United States. Washington has no formal diplomatic relations with Taipei, but is Taiwan's most important international backer and arms supplier.

Chinese President Xi Jinping told his U.S. counterpart Joe Biden on Friday that the Taiwan issue needs to be handled properly to avoid a negative impact on Sino-U.S. relations.

Reporting by Ryan Woo Editing by Mark Heinrich
Hawa jamaa wakimaliza wanarudi africa
 
Back
Top Bottom