Waende kwa Putin wakanunue yale madude yaliyofukua mahandaki Ukraine bila ya kuonekana na rada.China nao wanalaani sana kwanini wasiiteke hiyo destroyer
Huo ni upuuziTaiwan Ni satellite state ya US Taiwan ipo tu lakin maamuzi ya uendeshaji wa nchi yanatoka Pentagon uchumi/shughuli za kijeshi zipo chini ya US hivyo US nikawaida kwake kufanya hivyo alivyofanya ila kwasasa China anataka iwe mwisho in short anampango wakuirejesha mikononi mwake sehemu ya kisiwa Cha Taiwan
That is what it takes to be or considered as superpower.Hivi mbona sijasikia China ama Russia au Iran kuchukua maeneo karibu na marekani labda Central america, Mexico, Jamaica Caribbean n.k ? Kwaninj yeye marekani ndio wakuchukua na kujifanya mlinzi wa maeneo ambayo hayamhusu? Mimi naichukia sana marekani yani ikiwezekana putin aisambaratishe tuu kuwepo na adabu.
Russia hana excuse , anaishi vibaya na majirani zake kwann wasifikirie kujiunga na NATO ?Diplomasia hua inaanza kwanza kwa mfano Urusi hajaanza leo kulaumu/kuitupia lawama NaTo it is when there is no point of return then military action take part
Hahahaha,Hizi ndio habari napenda
hahaaaaUnajua wamarekani ni was...nge sana. Si wakapite huko kwao kwani hakuna bahari? Wakianzishiwa moto wanaanza kulialia hovyo China [emoji630] tandika mbwa haoo.
mnajua kutunga story za uongo yaan wataiwan wawe wapumbav kias hicho kuchagua kujitenga ili marekani awaendeshe , sijui unahisi waha wenzio waleTaiwan Ni satellite state ya US Taiwan ipo tu lakin maamuzi ya uendeshaji wa nchi yanatoka Pentagon uchumi/shughuli za kijeshi zipo chini ya US hivyo US nikawaida kwake kufanya hivyo alivyofanya ila kwasasa China anataka iwe mwisho in short anampango wakuirejesha mikononi mwake sehemu ya kisiwa Cha Taiwan
na balance of power ni ngumu lzm mmoja atahitaj kuwa juu ya wengine na world wars ndo itanukia bila kusahau new technology inaweza ifanya dunia kuwa majivu , faida ya kuwa na super power mmoja ni kuwa na utulivu hata kama kuna mmoja atakuwa anaonewa, World War 1 na Ww2 zote zilitokana na hiyo balance of power iliyofanywa miaka 1800s mwishoni hadi 1900s mwanzoni , hatimaye mataifa yakawa yanajihis kila mmoja anamuweza mwingine na kilichofuatia kila mtu amekisomaThe world need balance of power bila hivyo hapatakalika hapa duniani.
kwann China aumie kwa nchi iliyo huru , Taiwan ina haki zote za kujitawala so bahari yake anaweza kutumia yytewanachofanay wanataka china aanze kuiita taiwan ili wajue uwezo wa silaha zake upoje, kama walivyofanay kwa kuitumia ukraine na sasa wanapima uwezo wa silaha za Urusi. Ukraine na Taiwan zinatumiwa na marekani kama toilet paper tu.
hahaaa bongo vchaa wngUrusi anatumia zana za 1974 bado hajaanza za 80's
japan hakuweza kushambulia USA tofauti na MIAMIDunia ya wababe hii. USA ana maslahi ya moja kwa moja na Taiwan, China kuivamia kijeshi Taiwan ni kuikaribisha direct USA katika vita vya kuilinda Taiwan.
Uzuri wa China na USA wanaheshimiana na kupractice mikataba waliyoingia kwasababu in case of any conflict watashambuliana kwenye miji yao kutokana na ukaribu.
tumia akili yako vzr , unavamia majirani zako kwann wasitafute ushirika wa kujilinda , hv 2014 ulikuwa umezaliwa? pia 2008 ulihadithiwa ya huko Georgia ,the same kwa China kila siku anapora visiwa vya majirani zake kiubabeHivi mbona sijasikia China ama Russia au Iran kuchukua maeneo karibu na marekani labda Central america, Mexico, Jamaica Caribbean n.k ? Kwaninj yeye marekani ndio wakuchukua na kujifanya mlinzi wa maeneo ambayo hayamhusu? Mimi naichukia sana marekani yani ikiwezekana putin aisambaratishe tuu kuwepo na adabu.
wanahesabu kama eneo lao kivip wakat wakaz wa Taiwani wanataka wawe pekee yao ? hv unahisi umoja unaletwa kwa nguvu ?That is what it takes to be or considered as superpower.
Wanatumua divide and rule kudhohofisha wapinzani wao wa Sasa au in future, Taiwan was China back in days (currently refer Hongkong crisis) kipindi Cha China revolution in 1940s particularly official year 1949
Mao zhe dong & San yat-sen walivyofanikisha kuutoa utawala uliokuwepo(kuomingtang government) Kama vibaraka wa British, US, chini ya Chiang kai-Shek etc utawala huo ulikimbilia kisiwani Taiwan na kujitangazia Uhuru Kama nchi Huku Raisi wa Marekani enzi hizo bwana Truman akawa wakwanza kuitambua Kama nchi huru nakuiingiza UN kabla hata ya China yenyewe pia kuipatia support mbka leo.
Marekani walifanya hivyo ili kupata Taifa(unaweza ita satellite state) kuwasaidia operation zao huko far East Kama ilivyo Japan or south Korea, zaidi wakiilenga China.(the possible rival and communist) kumbuka enzi hizo Vita kuu ilikuwa communism against capitalism.
Tokea kipindi hicho Chinese hawajawai kuikatia tamaa Taiwan Bado wanaihesabu Kama ardhi/eneo lao for them hii ndyo sensitive issue above them all day and night.
The same was done (divide and rule policy) to Korea, na nchi nyingine nyingi
Sasa huyo Mchina si awashe huo moto wake wa mabua kama wa Russia.Unajua wamarekani ni was...nge sana. Si wakapite huko kwao kwani hakuna bahari? Wakianzishiwa moto wanaanza kulialia hovyo China [emoji630] tandika mbwa haoo.
Huo mpango ni lini? Unamuona China mjinga anavyopiga yowe bila vitendo,Taiwan ni kaburi la ustawi wa China.Taiwan Ni satellite state ya US Taiwan ipo tu lakin maamuzi ya uendeshaji wa nchi yanatoka Pentagon uchumi/shughuli za kijeshi zipo chini ya US hivyo US nikawaida kwake kufanya hivyo alivyofanya ila kwasasa China anataka iwe mwisho in short anampango wakuirejesha mikononi mwake sehemu ya kisiwa Cha Taiwan