China yajitosa Ujenzi wa SGR ya Tanzania

China yajitosa Ujenzi wa SGR ya Tanzania

Kwanini wameamua kupeleka reli Mwanza na si Kigoma ilihali tunaona wakongo wengi wakija kufunga mizigo Kkoo kuliko Waganda..huu ni upuuzi mkubwa unafanyika unakamilishaje tawi wakati reli kuu ya kati mwisho ni Kigoma?
Tumia akili doogo kufikiri! Mwanza manake tuna connection rahisi kupitia maji na barabara za uhakika na nchi ya Kenya ambao ni matajiri East Africa yoote! tena matajiri kuliko DRC wasio tabirika ajili ya vita,

Kweli DRC hawana bara bara nzuri! za uhakika majimbo tajiri DRC haya fikiki kirahisi, sana sana utafanya bishara na vijimbo vya DRC kusini navyo vimechokaaa! hawana shughuli kuu za uzalishaji mali! haya angalia sasa;

Mwanza pale kuna connection rahisi na Uganda ambao pesa wanayo, Na Sudani ya kusini, na kaskazini kabisa kunafikika , kuna Ethiopia kwa mbaali kwa upande wa kenya kunafikika na hela wanayo!

Pia REli kutokea Dar es salama to Mwanza manake hiyo tayari tumeunganisha na nchi za kusini mwa Africa na Mwanza mji wa pili kwa ukubwa unaoelekea kuwa na kila dalili wa Kwanza kwa ukubwa! kumbuka hapa ktka hatua hii tumesha unganisha na EAC yoote! hapa tu!

Siyo eti uunganishe na kale ka kijiji ka kigoma kwa wachawi huko! wamechoka hawana hela wameliwa funza weee! mpaka makalio hayana nguvu. yametepetaaa! wamekalia maneno tuuuuuu!!! Wajanja wengi hawaendi huko. Diamond hataki kupasikia! .. uongo?

Sasa kigoma, Rwanda na burundi tu maskini wale? tutakula nini huko? na lini? mara wazozane! washikane uchawi mara wapigane saa ngapi! tuilipie reli yetu tukabebee wakimbizi bure? waje wale bure? watumie vyoo bure?! wafanye dada zetu bure? waache mbegu humu buree! tulishe vitoto visivyo na baba zao buree! umeona sisi wa TZ vilaza sana eti!
 
utiaji saini mkataba wa ujenzi wa awamu ya tano ya reli ya kisasa (SGR) inayotoka Mwanza hadi Isaka yenye urefu wa kilometa 341.

Kwa sasa ujenzi wa reli hiyo kutoka Dares Salaam hadi Mwanza unatekelezwa na kampuni ya Yapi Merkezi.

Ina maana mkataba wa ujenzi na kampuni ya sasa utavunjwa? Nini sababu
 
scientific research bobezi imefanyika na kuonyesha italipa but KIGOMA NI ENEO HASWA MUHIMU ZAIDI [DRC BURUNDI RWANDA] Suala ni kuongezea tu meli ya kisasa ya uhakika mle ziwani.

Inabidi kutungwe sheria kali za kuulinda huo mradi hata baada ya Magufuli kumaliza muda wake wa uingozi
 
Back
Top Bottom