kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,647
- 9,604
Mamlaka mjini Wuhan nchini China wametangaza siku ya tar 19/3/2020 kua ni mwanzo wa ushindi wa vita dhidi ya virus vya corona Mjini Wuhan jumbo la Hubei ambako ndio kiini cha mlipuko huo.
-Siku ya Leo hukuna taarifa ya maambukizi mapya
-hakuna kifo kipya kilichoripotiwa
-hakuna washukiwa wapya walio karantini.
Source; France 24
-Siku ya Leo hukuna taarifa ya maambukizi mapya
-hakuna kifo kipya kilichoripotiwa
-hakuna washukiwa wapya walio karantini.
Source; France 24