conservative3
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 1,129
- 790
Nan katoa dill. Masharti ya dili.tuwwke wazi mkuuWakenya wajanja sana.
Hili deal wangetakiwa wabongo waliwahi.
Ila sisi rais anawaza tu kukaa madarakani.
Na kukimbizana na chadema hakuna mikakayi yoyote. Ni hopeless
Hatuwezi kamwe kuwakataza Wachina wasiingie kwetu.Ni marafiki zetu tunawapenda sana.Nao wanakupenda sasa nenda kwao sasa watakufungulia uingie.Kila kitu anakanusha....hata idadi ya waathirika inatolewa feki
Unataka source gan ukiachana nahio france 24 ?!Umeandika nini hiki sasa?
Source hakuna picha hakuna tukisema ni upuuzi utakataa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio pongezi tu ila pongezi kubwa sanaaaangalia video hii. watu wamepiga kazi mpaka mikanda/mipira inayoshikilia mask imewachubua usoni. halafu waanatokea watu wengine kusaak umaarufu kupitia corona
kwakweli wachina
wanahitaji pongezi
Nawaombea Wa US Wapoe Haraka Ila Naombea Sana Iwe Mwisho Wamwanzo Wakuanguka US Kiuchumi[emoji4]Jumbo LA Calfornia limewekwa Lockdown baada ya hali kua tete