Ndiyo tabia zenu kujipa moyo hivoWaliua na kutesa waislamu ndio kwanza hao priests wao wamebadili dini[emoji23][emoji23][emoji23]...China inaenda kuwa nchi ya kiislamu walitesa sana..
Kila mtu apambane na hali yakeHata huko saudia yakijengwa majengo ya dini za wachina yatavunjwa maana Allah siyo mchina.
Ubaya shetani hajui yupi ana Mungu wa kweli au Mungu feki, wote anawalamba na watakutana motoniWamevunja manjengo ya waabudu miungu wameacha manjengo yao ya waabudu sanamu...
Wameruka mkojo na wamebaki wanakanyaga mavi...
Unatumia REJEA ya KITABU kilichoandikwa na mtu mmoja, Halafu anajishuhudia peke yake kuwa yeye ni mkuu kuliko manabii wote ( Halafu wewe unaamini mazima). Hujui kuwa mtu anayejishuhudia peke yake , ushuhuda wake SIYO WA KWELI?Mkiristo akifa akiwa Mkiristo basi hasara kubwa na maisha yake huko ni mabaya mno
Dar es salaam kwa sasa ni mji wa kila mtu mkuu wangu. Nilizaliwa na kukulia Magomeni karibu na msikiti fulani. Ilikuwa kila saa 10 alfajiri lazima tuamshwe na kelele za maspika kutoka misikitini. Hizi zilikuwa zinaamsha kila mtu aliekuwa anaishi maeneo hayo, uwe muislam, mkristo, hindu au mpagani utaamka tu.Kama unaishi jiji la waislamu darussalaam hama tu mzee,
😅 😅hawezi kuongea humu ila angefanya mzungu shingo zingetoka kama pinokio
Nimecheka mpaka mate yamenipaliaSisi bado tunapigiana makelele usiku mzima watu hawalali mtaani, wanaopanga kwenda kazini asubuhi hawapati muda wa kulala sababu ya kelele za makanisa alaf ukiingia kanisani unakuta watu watatu tu. Waumini washakuwa masikini wakutupwa kwa kutajirisha wajanja wachache wanaomiliki kanisa.
Ukija kwa upande wa kobaz saa 10 asubuhi washaamshwa watu na maspika yao wahusika na wale ambao sio wahusika.
China wangefuata huu upuuzi wa kizungu na kiarabu mpaka leo nchi yao ingekuwa masikini. Maana wangekuwa wanalala makanisani kutoana mapepo yasioonekana, badala ya kutumia muda huo kulala viwandani kutengeneza utajiri wa raia mmoja mmoja na kukuza uchumi wa nchi.
Mtu kama masanja alieishia darasa la saba anapiga hela ndefu kutoka kwa waumini masikini, huku maprofesa wenye vyeti vyao wakishindia mihogo na maji ya kunywa.
China masuala ya dini hayana nguvu pia siasa za nje hazina nguvu kubwa ndani ya China tofauti na siasa za ndani😅 😅
Alafu utawasikia China yuko nyuma ya Hamas, Yemen, sijui nini.
China, Russia na India linapokuja kwenye Dini ya mnyazi mungu hawanaga tabia ya kuchekea kima.
Kama umesikia mahali maandamano ya kulaani mauaji ya Watu wa Gaza, China
Waafrika tuko nyuma sana kwa sababu ya ujinga huu 😂😂😂Nimecheka mpaka mate yamenipalia
Mkuu hebu waafrica tuache kuendelea kuwa brainwashed. Watu wamekuletea vitabu vya biblia na msaafu lakini haujui viliandikwa wapi, na nani na lini.Dini zimeanza middle east
Dini zimeanzia middle East then ulaya na uarabuni baadae mbona uarabuni na ulaya sio masikini.
Hao waislam munaowaita ni watu wa hovyo ndio wanaoongoza kuwasaidia mbwa koko nyie.Wachina wameepuka mengi sana,na wanajielewa kwa hilo tuwapongeze,uislam ni dini ya hovyo bora mtu budu hata nyani kuliko kuwa muislam.
Hapo Azam kwa Bakhresa kuna waajiriwa wangapi wa kikristo??Hao waislam munaowaita ni watu wa hovyo ndio wanaoongoza kuwasaidia mbwa koko nyie.
Hii Tanzania inalishwa na waislam na matajiri wakuu ni waislam.
Huyo Said Salim Bakhresa kawafungulia njia nyingi za maendeleo mbwa nyie mbona hatukuona tajiri wa kikristo??
Serikali yenu ilikaribishwa OIC ipewe mikopo pasi na riba na pasi na masharti hamkuenda ila mkang'ang'ana nchi za kikristo zinazowapa riba kuba na zinazowasainisha mikataba ya kulawitiana.
Wengi sana kuanzia madereva mpaka upande wa media na ukitaka nakutajia.Hapo Azam kwa Bakhresa kuna waajiriwa wangapi wa kikristo??
Sio Azam ninayo ijua mm, idadi ya wakristo haizidi 5% na waliokuwepo wengi wao ni wa nafasi za chini sana.Wengi sana kuanzia madereva mpaka upande wa media na ukitaka nakutajia.
Tena upande wa Azam media wakristo wamefurika kuliko waislam.
Pole yako.Sio Azam ninayo ijua mm, idadi ya wakristo haizidi 5% na waliokuwepo ni wa nafasi za chini sana.
Enhe wataje??
Tukianza na mkurugenzi tu wa Azam media ni mkristo Tido Dustan Muhando.Sio Azam ninayo ijua mm, idadi ya wakristo haizidi 5% na waliokuwepo wengi wao ni wa nafasi za chini sana.
Enhe wataje??
Safi sana, bado hapa tu Tanzania sasaHongera China kwa hiki mnachokifanya, hakika nchi yenu itabaki na amani kwa kudumisha tamaduni na dini zenu.
Endeleeni na hizohizo dini zenu za Confucianism and Buddhism, waachieni waarabu na tamaduni zao.
Chinese authorities have decommissioned, closed down, demolished, and converted mosques for secular use as part of the government's efforts to restrict the practice of Islam. The authorities have removed Islamic architectural features, such as domes and minarets, from many other mosques.
Maya Wang, the acting China director at Human Rights Watch, said the "closure, destruction and repurposing of mosques is part of a systematic effort to curb the practice of Islam in China."
Mfano mmoja kati ya misikiti mingi ilibomolewa/kubadilishwa na serikali ya China kwa matumizi ya kiserikali.
Before👇
View attachment 2872615
After👇
View attachment 2872616
Huku misikiti mengine ikibadilishwa na kuwa Public toilets.
View attachment 2872619
Link👇;
Systematic Uighur Oppression: China Demolishes Mosque, Builds Public Toilet In Its Place
I can't write everything, for more information go to these websites;
Clashes at ancient China mosque over planned demolition
China closing hundreds of mosques in northern regions, rights group says
China: Mosques Shuttered, Razed, Altered in Muslim Areas.