China yavunja na kubomoa misikiti kwa ajili ya matumizi ya kiserikali

China yavunja na kubomoa misikiti kwa ajili ya matumizi ya kiserikali

Hata angola hawakutaka kitu hicho, kule america ya kusini sijui kama kuna misikiti kule, mexco, colombia, uruguay, peru, argentina, brazil, costa rica, equardo, venezuela, cuba, dominica, haiti na kwingineko huko kama kuna misikiti ni ya kuhesabika. Huo utamaduni wa kiarabu tuwaachie waarabu allah wao, wengine hatumjui na hatuhitaji
Mimi maoni yangu hapa umetoa point nzuri sana, ila sjajua kama unafahamu umetoa point gani.

Waarabu hawakwenda ukanda ule, na ule ukanda wa spanish +wareno colonies wwngi ni wakatoloki


Ki lugha rahisi inategemea nani alikukoloni


Hata hapa tanganyika kuna mzee alitusimulia, ndugu zake wamechanganyika yani wengine ni waijumaa na wengine ni wajumapili.

Walivomuuliza mzee wao baada ya umri flani ivi mzee wao akawapa jibu rahisi tu kipindi mpo wadogo ile kwenda shule ilikua lazima ubatizwe hivo kama hali isingebadilika nanyinyi mngebadili tu kama kaka zetu maana nilitaka wote msome


Hivo si busara sana watu wa imani tofauti mkitupiana vijembe
 
Sisi bado tunapigiana makelele usiku mzima watu hawalali mtaani, wanaopanga kwenda kazini asubuhi hawapati muda wa kulala sababu ya kelele za makanisa alaf ukiingia kanisani unakuta watu watatu tu. Waumini washakuwa masikini wakutupwa kwa kutajirisha wajanja wachache wanaomiliki kanisa.

Ukija kwa upande wa kobaz saa 10 asubuhi washaamshwa watu na maspika yao wahusika na wale ambao sio wahusika.

China wangefuata huu upuuzi wa kizungu na kiarabu mpaka leo nchi yao ingekuwa masikini. Maana wangekuwa wanalala makanisani kutoana mapepo yasioonekana, badala ya kutumia muda huo kulala viwandani kutengeneza utajiri wa raia mmoja mmoja na kukuza uchumi wa nchi.

Mtu kama masanja alieishia darasa la saba anapiga hela ndefu kutoka kwa waumini masikini, huku maprofesa wenye vyeti vyao wakishindia mihogo na maji ya kunywa.
Hapa tanzania kuna waabudu sanamu na miungu na mizimu wengi mno,kwa hiyo hawaendi misikitini wala makanisani,ina maana wote ni matajiri?
 
Mkuu umesoma vizuri nlichoandika kweli?
Nimesema kama wewe ndio umeanzisha hauwezi kuwa masikini. Hapa namaanisha huko zilipoanzishwa au kwa kiswahili ulichozoea huko "zilipotoka".
Waswahili wanasema''Aisifuye mvua imemnyeshea,na alisifuye jua lime mwangazia..."
mi naona maswala ya imani tuwaachie waumini wake ili mradi tuzingatie sheria.

Imani ya mtu mmoja isiingilie uhuru wa mwenzie kisheria.
Nje ya hapo,wapinga dini binafsi nawaita washirikina,na niwaulize mbona mnapokuja kutuloga usiku
hampigi hodi tuwafungulie,badala ya kuingia kinguvu na kuanza kukaba watu hovyo?
 
Dini za mila za kichina ni mbaya kupita maelezo,
Kama huamini niyasemayo tembelea kiwanda chochote cha mchina uangalie hali ya wafanyakazi
Na utembelee kiwanda chochote cha wazungu uangalie hali za wafanyakazi ndo utajua kuna Mungu na miungu.
 
kwa sababu zimebeba tamaduni zao,,,sio wewe ulieletewa inabidi uache zak
Dini ilikuwa ni lazima zianzie middle east ili kuenea Duniani pote kwa sababu zama hizo sehemu nyingi za dunian zilikuwa tupu.
Waafrika hatuna dini maalumu kwa ajili yetu.Kila mmoja alikuwa na utaratibu wake
 
Dini ilikuwa ni lazima zianzie middle east ili kuenea Duniani pote kwa sababu zama hizo sehemu nyingi za dunian zilikuwa tupu.
Waafrika hatuna dini maalumu kwa ajili yetu.Kila mmoja alikuwa na utaratibu wake
kila sehemu na imani zake,,,hizo dini zimetapakaa sababu ya ushawishi wa watawala wake ,bila nguvu ya watawala hizo dini zingebaki hukohuko tu,,,ndo maana mchina hataki habari za dini za kigeni maana anaona ni namna nyingine ya kutawaliwa
 
Dini ilikuwa ni lazima zianzie middle east ili kuenea Duniani pote kwa sababu zama hizo sehemu nyingi za dunian zilikuwa tupu.
Waafrika hatuna dini maalumu kwa ajili yetu.Kila mmoja alikuwa na utaratibu wake
Asante kwa kutuelezea dini zilitokea wapi, je unaweza kuchambua dini zinaenda wapi? Yani baada ya miaka 1000 ijayo hali itakuwaje?

Kwa mtazamo wangu uislam utatawala Dunia, ukriso utakufa.
 
Asante kwa kutuelezea dini zilitokea wapi, je unaweza kuchambua dini zinaenda wapi? Yani baada ya miaka 1000 ijayo hali itakuwaje?

Kwa mtazamo wangu uislam utatawala Dunia, ukriso utakufa.
uislam unaenda kuharibiwa kama ulivyoharibiwa ukristo maana kwa sasa mmefocus kwenye quantity na sio quality na humohumo ndo vinega wakucheza na dini ndo wanamopitia
 
uislam unaenda kuharibiwa kama ulivyoharibiwa ukristo maana kwa sasa mmefocus kwenye quantity na sio quality na humohumo ndo vinega wakucheza na dini ndo wanamopitia
Hiyo kitu haiwezekan kwenye uislam, uzuri Quran ishakamilisha Kila kitu na Muhammad ndiye mtume wa mwisho, akijitokeza mtu kama Mwamposa kwenye uislam asubuhi tu mtamkuta amening'inizwa
 
Back
Top Bottom