China yavunja na kubomoa misikiti kwa ajili ya matumizi ya kiserikali

China yavunja na kubomoa misikiti kwa ajili ya matumizi ya kiserikali

hii ilifanyika mwaka 2017, 2018 na 2019 ambapo waliona hiyo sehemu ya kaskazini ina Waislam wengi sana na misikiti mingi na watu hawafuati tena Dini yao ya Kimila.
Hivyo wanasiasa waliamua misikiti isikae karibu karibu (iliyopo karibu iunganishwe uwe mmoja - kwa kuvunja mingine)
Lakini lengo likiwa ni kuvutia watoto na Vijana warudi kwenye Dini yao ya Kimila

Well hiyo si sababu. China wana policy ngumu about foreign religions. Wanaamini zina view zinazopingana na utawala na culture ya nchi hivyo zitaleta unrest kwenye nchi. Is why wana deal nazo kwa nguvu
 
Acheni kudanganya watu[emoji28] Kung Fu is grounded in the philosophy of Taoism.
Taoism, pre-dates Islam, it even pre-dates Buddhism(one of the oldest religions in the world) which has played a significant role, given kung fu was first practised by Chinese Monks who later established the Shaolin Temple.

Yaan waislamu ni watu waongo, waongo saaana, na hii ni kwa sababu mtume wenu kawaruhusu kudanganya kama una nia ya kuutetea uislamu, ukizungumzia kung fu kuanzishwa na uislamu unachekesha, kung fu pre-dates Islam, Islam is only 1400 years old alaf unashindana na dini za zamani kama Taoism na Buddhism.

What a disgrace[emoji28]

Nasubiri reply yake mkuu ,maana haya material hawataki kuyasikia
 
Wamewafungia waislam kwenye makambi maalum.

Huko wanalishwa kitimoto kwa nguvu pamoja na kufundishwa ukomunisti.

Wameamua kudhibiti ugaidi mapema kabisa
wachina wanaona mbali kudhibiti ugaidi mapema. Wale ni mashetani na hawana shukrani ukiwapa hifadhi, angalia ufaransa wameifanya kama nchi yao wako huru kufanya maandamano ya fujo wakiamua kukinukisha
 
Kwani mafundisho tofauti ya ukristo,uislam WA Africa na WA ulaya na uarabuni,maandiko na yale yale hapa shida ni mtazamo mfano mwafrika anaenda ibadani ili apate kazi,mke au mme mzungu anaenda kanisani ili aende mbinguni.
Umekariri tu brother, asilimia kubwa ya wazungu wa leo hawamini tena kuhusu mbinguni, na wala hawana mpango wa kutaka kwenda mbinguni.

Wengi wanaona kuwa kilichomo katika biblia ni history tu kama zilivyo story zingine, yani hakina ukweli wowote, ni watu tu wameutengeneza uongo na kuupamba vizuri ili uvutie watu na kuupenda, ndo maana unakuta asilimia kubwa ya wazungu haswa vijana, hawaenda tena kanisani.

Unakuta mzungu siku ya J2 badala ya kwenda kanisani yeye anakwenda zake Park, Beach, Shopping nk, tena na familia yake. Ni wachache mno ambao bado wanawaza swala la mbinguni. Uliza mtu yoyote anaeishi katika nchi zenye wazungu wengi atakwambia.

Ni afrika tu ndo bado asilimia kubwa ya wakristo wanakwenda kanisani, ndo bado watu wanauziwa ticket za kwenda mbinguni, watu wanalipa hela ili wafanyiwe miujiza ya kupata kazi, wafanyiwe miujiza ya kwenda Marekani bila kuwa na visa wala ticket ya ndege 😄😂😂

Ukienda Saudi Arabia sidhani kama utakuta watu wamefunga mtaa mzima kwa ajili ya kufanya maulid, sidhani kama utakuta watu wanalipuana kama Somalia, Mali au Nigeria kisa dini. Wao wasaudi washaona ni ujinga mtupu kuendekeza itikadi za kuchinjana kwa sababu ya dini, huku uchumi wa nchi ukiporomoka kutoka na nchi kuwa katika hali ya tahadhari ya vita.

Hivyo upuuzi huo unafanywa na nchi zilizo nje ya Saudia haswa Africa.
Ukristo na uislam umeenezwa na wafuaasi wa Yesu na Muhammad,hakuna serikali iliyoeneza dini maana dini ni suala binafsi la mtu na sio serikali.
Si kwamba China hakuna misikiti na makanisa yapo tele.
Hata huo ubudha ni kwa wachache.
Ni kweli ukristo na uislam umeenezwa na wafuasi wa hao majemedari wawili, lakini ukute lengo lilikuwa kutafufa watu wa kuwaweka mtegoni kwa masilahi ya wajanja wengine.

Wazungu, waafrika na race zingine duniani tumeaminishwa kuhusu Yesu kuzaliwa na kufia huko uyahudini Israel, na sisi tumekubali bila kuona au kushuhudia kuwa alikuwepo kweli au.

Lakini wayahudi wenyewe tunaoambiwa ndio lilikuwa kabila au dini ya asili ya Yesu wanakataa kuwa kwao hakujawahi kuzaliwa huyo Yesu katika nchi hiyo. Wanatutaka kuwa makini na uongo huo, lakini ndo hivyo waafrika tumeshanasa mtegoni, hatuna ujanja wa kujitegua.

Ni kama leo mtu aende kuwambia watu kuwa umepata mgeni nyumbani kwako, wakati wewe huyo mgeni haujamuona na wala haumjui, yani unalala na kuamka peke yako.

Kwa upande wa Mwamedi tunaambiwa kwao kwenyewe alipozaliwa hawakukubaliana nae kama ni mtume, alafu mtu anataka mimi mpogoro au mmwela nikubali tu kichwa kichwa kuhusu utume wake.
 
Hapa tanzania kuna waabudu sanamu na miungu na mizimu wengi mno,kwa hiyo hawaendi misikitini wala makanisani,ina maana wote ni matajiri?
Mungu yupo kwa wote, na anapokea maombi kwa njia zote.
 
Umekariri tu brother, asilimia kubwa ya wazungu wa leo hawamini tena kuhusu mbinguni, na wala hawana mpango wa kutaka kwenda mbinguni.

Wengi wanaona kuwa kilichomo katika biblia ni history tu kama zilivyo story zingine, yani hakina ukweli wowote, ni watu tu wameutengeneza uongo na kuupamba vizuri ili uvutie watu na kuupenda, ndo maana unakuta asilimia kubwa ya wazungu haswa vijana, hawaenda tena kanisani.

Unakuta mzungu siku ya J2 badala ya kwenda kanisani yeye anakwenda zake Park, Beach, Shopping nk, tena na familia yake. Ni wachache mno ambao bado wanawaza swala la mbinguni. Uliza mtu yoyote anaeishi katika nchi zenye wazungu wengi atakwambia.

Ni afrika tu ndo bado asilimia kubwa ya wakristo wanakwenda kanisani, ndo bado watu wanauziwa ticket za kwenda mbinguni, watu wanalipa hela ili wafanyiwe miujiza ya kupata kazi, wafanyiwe miujiza ya kwenda Marekani bila kuwa na visa wala ticket ya ndege 😄😂😂

Ukienda Saudi Arabia sidhani kama utakuta watu wamefunga mtaa mzima kwa ajili ya kufanya maulid, sidhani kama utakuta watu wanalipuana kama Somalia, Mali au Nigeria kisa dini. Wao wasaudi washaona ni ujinga mtupu kuendekeza itikadi za kuchinjana kwa sababu ya dini, huku uchumi wa nchi ukiporomoka kutoka na nchi kuwa katika hali ya tahadhari ya vita.

Hivyo upuuzi huo unafanywa na nchi zilizo nje ya Saudia haswa Africa.

Ni kweli ukristo na uislam umeenezwa na wafuasi wa hao majemedari wawili, lakini ukute lengo lilikuwa kutafufa watu wa kuwaweka mtegoni kwa masilahi ya wajanja wengine.

Wazungu, waafrika na race zingine duniani tumeaminishwa kuhusu Yesu kuzaliwa na kufia huko uyahudini Israel, na sisi tumekubali bila kuona au kushuhudia kuwa alikuwepo kweli au.

Lakini wayahudi wenyewe tunaoambiwa ndio lilikuwa kabila au dini ya asili ya Yesu wanakataa kuwa kwao hakujawahi kuzaliwa huyo Yesu katika nchi hiyo. Wanatutaka kuwa makini na uongo huo, lakini ndo hivyo waafrika tumeshanasa mtegoni, hatuna ujanja wa kujitegua.

Ni kama leo mtu aende kuwambia watu kuwa umepata mgeni nyumbani kwako, wakati wewe huyo mgeni haujamuona na wala haumjui, yani unalala na kuamka peke yako.

Kwa upande wa Mwamedi tunaambiwa kwao kwenyewe alipozaliwa hawakukubaliana nae kama ni mtume, alafu mtu anataka mimi mpogoro au mmwela nikubali tu kichwa kichwa kuhusu utume wake.
Kama huyo asingekuwepo Biblia isingekuwepo,Biblia agano jipya lina miaka 2000 Dunia.
Kama Yesu hakuwepo mbona watu wa machimbuzi ya zama za kale wamegundua yaliyopo kwenye biblia,mbona Sasa ukienda kwa mganga ukapiga ramli jina la Yesu ili upate codes number inasoma null.
Nani kakuambia wazungu wameacha Ibada hawahitaji kwenda kanisani kwa sababu wengi ufanyia ibada online mbona ma concert ya kidini huko huko kwa wazungu wanajaa.
Mwafrika angeshika dini asingekuwa masikini ni asilimia 20 TU ya waafrica ndio wameshika dini.
Wazungu hawasali kwa ajili ya shida au kuomba kazi,ndoa wanasali kwenda mbinguni,mwafrika akishapata KAZI au ndoa na kanisa ugeuka kituo Cha police wengi wanakata mguu Hadi akipata shida tena
 
Nipe madini mkuu
"War is a deceit"-maana ya deceit ni "Udanganyifu".

"It is permissible to lie in a state of war, as a tool of war."
Muhammad in Bukhari hadith 3029: Allah's Messenger called: "War is deceit".
Muhammad in Hadith Sahih, in Tirmidhi 1939:
"Lying in time of war".
The message from Quran 3.28: Permission to lie to disbelievers as a defense, when Islam is in a state of weakness.
Hio ndo inaitwa "Taqiyya".
 
"War is a deceit"-maana ya deceit ni "Udanganyifu".

"It is permissible to lie in a state of war, as a tool of war."
Muhammad in Bukhari hadith 3029: Allah's Messenger called: "War is deceit".
Muhammad in Hadith Sahih, in Tirmidhi 1939:
"Lying in time of war".
The message from Quran 3.28: Permission to lie to disbelievers as a defense, when Islam is in a state of weakness.
Hio ndo inaitwa "Taqiyya".
Asante kwa ufafafanuzi huu
 
Waswahili wanasema''Aisifuye mvua imemnyeshea,na alisifuye jua lime mwangazia..."
mi naona maswala ya imani tuwaachie waumini wake ili mradi tuzingatie sheria.

Imani ya mtu mmoja isiingilie uhuru wa mwenzie kisheria.
Nje ya hapo,wapinga dini binafsi nawaita washirikina,na niwaulize mbona mnapokuja kutuloga usiku
hampigi hodi tuwafungulie,badala ya kuingia kinguvu na kuanza kukaba watu hovyo?
Tatizo walioleta hizo imani nyingine ndo waliingilia za wenzao kisheria.

Waliwakuta babu zetu wana dini na wana abudu vizuri tu. Wao wakaanza kuzikandia, kuzidharau na kuziita za kishirikina ili babu zetu wakumbatie za kwao.

Hivyo mimi sishangae wewe kutuita sisi tusioamini imani yako au dini yako kuwa ni washirikina maana ndo ulivyofunzwa uite zilizokuwa imani za babu zako.
 
Wengi sana kuanzia madereva mpaka upande wa media na ukitaka nakutajia.
Tena upande wa Azam media wakristo wamefurika kuliko waislam.
Unazungumzia hapo Azam ambako chooni akiingia Mkristo akimaliza haja zake haingii muislam mpaka aitwe mtu wa usafi adeki upya?

Aisee ninyi jamaa nyie mna ustaarabu wa kipekee dunia hii!
 
kikubwa sio maandiko,,,ishu ni lifestyle..............tena wale wa misimamo mikali ndo wanaenda kupotea kabisa wanabaki wale wa leo msikitini baadae kwenye viti virefu baa
Kukishakuwa tu na utawala wa kidola hao ni rahisi kuwadhibiti
 
Kukishakuwa tu na utawala wa kidola hao ni rahisi kuwadhibiti
utawala hukohuko kwa waarabu sio hizi nchi secular,,,,,,,,,,,,,,mzungu anakua muislam ila unadhani ataruhusu nchi yake itawaliwe kwa sheria za kiislam,,,,,,,,,hata hao wakina Saudia wenyewe wameanza kulegeza kamba wanaiga umagharibi
 
utawala hukohuko kwa waarabu sio hizi nchi secular,,,,,,,,,,,,,,mzungu anakua muislam ila unadhani ataruhusu nchi yake itawaliwe kwa sheria za kiislam,,,,,,,,,hata hao wakina Saudia wenyewe wameanza kulegeza kamba wanaiga umagharibi
Umagharibi unaenda kuanguka,modernity has failed us.
Ni society inayopinga societal structures kuanzia family level.
There are no gender roles, Men want to be women and women want to be men.
And it will keep getting worse.

Watu wameshaanza kuamka na post modernity, after fall of western civilization kipindi hiko Middle east inathrive, watu watagundua kuwa Islam is the best and only way to rule mankind.
 
Em tuwe seriouz Sasa, weka kifungu Cha Quran kikisema Mkojo wa ngamia ni dawa
Saheeh Al Bukhaari - Vol 7, Hadith 5686
Narrated Anas (ra):
"The Climate of Al Madinah did not Suit some people, so the Prophet (pbuh) ordered them to proceed along with his Shepherd, i.e. his Camels, and Drink their Milk and Urine (as a medicine)"
 
Ingekua kuna religious bianess hao waliopewa vitengo vikubwa walipewajwe???
Hao watangazaji wakristo wamepewajwee???
Huwa sipendi mara nyingi kuzungumza haya mambo kwa mrengo wa kiimani lakini hao wapo/walikuwa hapo kwa sababu ya kujulikana weledi wao ktk tasnia ya utangazaji.

Tido&Hilary hao ni magwiji ktk tasnia hakuna yeyote mwenye chombo chake asingetaka kufanya nao kazi kwa sababu ni watu wanajua na ni wakongwe ktk kazi zao hicho ndicho kilichowabeba.
 
Back
Top Bottom