kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,500
- 5,164
Wanajua ni chanzo Cha migogoroWachina wakatili sana kwa dini zote organized.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanajua ni chanzo Cha migogoroWachina wakatili sana kwa dini zote organized.
Ngoja bibi FaizaFoxy ajeSisi bado tunapigiana makelele usiku mzima watu hawalali mtaani, wanaopanga kwenda kazini asubuhi hawapati muda wa kulala sababu ya kelele za makanisa alaf ukiingia kanisani unakuta watu watatu tu. Waumini washakuwa masikini wakutupwa kwa kutajirisha wajanja wachache wanaomiliki kanisa.
Ukija kwa upande wa kobaz saa 10 asubuhi washaamshwa watu na maspika yao wahusika na wale ambao sio wahusika.
China wangefuata huu upuuzi wa kizungu na kiarabu mpaka leo nchi yao ingekuwa masikini. Maana wangekuwa wanalala makanisani kutoana mapepo yasioonekana, badala ya kutumia muda huo kulala viwandani kutengeneza utajiri wa raia mmoja mmoja na kukuza uchumi wa nchi.
Mtu kama masanja alieishia darasa la saba anapiga hela ndefu kutoka kwa waumini masikini, huku maprofesa wenye vyeti vyao wakishindia mihogo na maji ya kunywa.
Sasa cha ajabu nini mbona tanzania misikiti na makanisa huwa inavunjwa kupisha barabara ujenziHongera China kwa hiki mnachokifanya, hakika nchi yenu itabaki na amani kwa kudumisha tamaduni na dini zenu.
Endeleeni na hizohizo dini zenu za Confucianism and Buddhism, waachieni waarabu na tamaduni zao.
Chinese authorities have decommissioned, closed down, demolished, and converted mosques for secular use as part of the government's efforts to restrict the practice of Islam. The authorities have removed Islamic architectural features, such as domes and minarets, from many other mosques.
Maya Wang, the acting China director at Human Rights Watch, said the "closure, destruction and repurposing of mosques is part of a systematic effort to curb the practice of Islam in China."
Mfano mmoja kati ya misikiti mingi ilibomolewa/kubadilishwa na serikali ya China kwa matumizi ya kiserikali.
Before👇
View attachment 2872615
After👇
View attachment 2872616
Huku misikiti mengine ikibadilishwa na kuwa Public toilets.
View attachment 2872619
Link👇;
Systematic Uighur Oppression: China Demolishes Mosque, Builds Public Toilet In Its Place
I can't write everything, for more information go to these websites;
Clashes at ancient China mosque over planned demolition
China closing hundreds of mosques in northern regions, rights group says
China: Mosques Shuttered, Razed, Altered in Muslim Areas.
Hapo wanapisha niniS
Sasa cha ajabu nini mbona tanzania misikiti na makanisa huwa inavunjwa kupisha barabara ujenzi
Nikwasababu ni tamaduni zao na wanamuabudu mungu wao ambaye asili ya Afrika haitsmbui miungu hawoMbona zilipotoka wao sio masikin
Sasa ndugu yangu mtu kahangaika zake mchana kutwa hakuna cha maana alichopata, anaamua ajifariji kwa kumpa ushindi Algeria dhidi ya Angola bado muhindi anapita na buku lake. Halafu unajipumzisha ulale bado kuna mpumbavu tu from no where anakuchukua anakupeleka kwenye kilimo.Sawa Sawa huku kuna mgogoro wa Dini za kimila ukionekana una practice wanakuita mchawi
Acheni wabaki na dini zao za kale taoism na Buddhism ...Christian na islam acheni zitutawale AfricansLingevunjwa kanisa ungetoa pongezi? Tuache chuki za kijinga wabongo.
Sasa wachina watapata wapi wale bikira 72? Si unawapata tu ukiwa muislamuHongera sana china mmeona mbali
Hiyo ndo kurani we shoga?Saheeh Al Bukhaari - Vol 7, Hadith 5686
Narrated Anas (ra):
"The Climate of Al Madinah did not Suit some people, so the Prophet (pbuh) ordered them to proceed along with his Shepherd, i.e. his Camels, and Drink their Milk and Urine (as a medicine)"
Mnawabania Waislam utafikiri nyinyi ndiyo mtaogawa hao mabikira. Huko ni bila idadi na hakuna kufa na hakuna kufanya kwa kuzaana, huko starehe tu, unaowataka kwa raha zako tu.Sasa wachina watapata wapi wale bikira 72? Si unawapata tu ukiwa muislamu
Aaaaaiiiseeee! Sasa ukiwabikiri si wanakuwa sio mabikira tena au? Au kuna kama kiwanda huko kinafyatua wengine? Naomba ufafanuzi plz am about to........Mnawabania Waislam utafikiri nyinyi ndiyo mtaogawa hao mabikira. Huko ni bila idadi na hakuna kufa na hakuna kufanya kwa kuzaana, huko starehe tu, unaowataka kwa raha zako tu.
Kwa ajili ya Waislam tu.
Huko hakuna cha ufafanuzi ni fantasy zako tu. Utakavyo wewe ndiyo hivyohivyo.Aaaaaiiiseeee! Sasa ukiwabikiri si wanakuwa sio mabikira tena au? Au kuna kama kiwanda huko kinafyatua wengine? Naomba ufafanuzi plz am about to........
Daaah! Ushanichanganya kabsa. Osama anajisevia tu mda huuHuko hakuna cha ufafanuzi ni fantasy zako tu. Utakavyo wewe ndiyo hivyohivyo.
Tatizo nini? Kuwa Muislam usije kwenda kuimba mapambio na wazee wa tec motoni huko.
Unafikiri anaebariki haramu atakwenda peponi?
Sasa practice za Mila na Tamaduni hizo wakafanye wapi unataka zife? Alafu mubakie na Mila za wazungu ambazo wengine wanazitumia kubet na wanawapiga kwenye Sadaka za kujiteketezaSasa ndugu yangu mtu kahangaika zake mchana kutwa hakuna cha maana alichopata, anaamua ajifariji kwa kumpa ushindi Algeria dhidi ya Angola bado muhindi anapita na buku lake. Halafu unajipumzisha ulale bado kuna mpumbavu tu from no where anakuchukua anakupeleka kwenye kilimo.
Kama sio uchawi ni nini hicho?
😅 😅 😅 😅 😅Hiyo ndo kurani we shoga?
😅we una akili kweli?? Imani, misingi na taratibu zenu zote zinatoka kweny quran? Hakuna misingi ya uislamu mnayotoaga kweny hadith zenu huko??Hiyo ndo kurani we shoga?