CHINA yawa nchi ya kwanza kufanya uzalishaji wa magari ya umeme 10mln kwa mwaka

CHINA yawa nchi ya kwanza kufanya uzalishaji wa magari ya umeme 10mln kwa mwaka

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Nchi ya China imekuwa nchi ya kwanza duniani kufanya uzalishaji wa magari ya umeme 10mln kwa mwaka.
Screenshot_20241115_173608_X.jpg
 
Hawa jamaa wanatusunbua kwa kweli. Sisi ndio kwanza tunataka kuanza uchimbajinwa mafuta wao wanaondoka wanaanza kutumia mafuta. Soon utasikia ulaya na maeekani wamepiga marufuku uingizaji na utengenezaji magari yanayotumia mafuta.


Maaamamam twafa.
 
Lakini Magari yao ya Umeme huwa yanaungua ghafla.
Unaweza kuwa umelipaki unaingia ndani ya Duka unatoka ukirudi unakuta scrap metal.
 
Back
Top Bottom