Mi mi JF-Expert Member Joined Jul 14, 2024 Posts 2,748 Reaction score 5,112 Nov 15, 2024 #1 Nchi ya China imekuwa nchi ya kwanza duniani kufanya uzalishaji wa magari ya umeme 10mln kwa mwaka.
Ziroseventytwo JF-Expert Member Joined Mar 27, 2011 Posts 8,581 Reaction score 15,618 Nov 15, 2024 #2 Hawa jamaa wanatusunbua kwa kweli. Sisi ndio kwanza tunataka kuanza uchimbajinwa mafuta wao wanaondoka wanaanza kutumia mafuta. Soon utasikia ulaya na maeekani wamepiga marufuku uingizaji na utengenezaji magari yanayotumia mafuta. Maaamamam twafa.
Hawa jamaa wanatusunbua kwa kweli. Sisi ndio kwanza tunataka kuanza uchimbajinwa mafuta wao wanaondoka wanaanza kutumia mafuta. Soon utasikia ulaya na maeekani wamepiga marufuku uingizaji na utengenezaji magari yanayotumia mafuta. Maaamamam twafa.
Kinkunti El Perdedo JF-Expert Member Joined Nov 28, 2020 Posts 5,200 Reaction score 12,762 Nov 15, 2024 #3 Tanzakiza na watawala wake wako bize na kukata majina ya wagombea.
Bwana Utam JF-Expert Member Joined Feb 15, 2016 Posts 19,559 Reaction score 36,514 Nov 15, 2024 #4 China wapo siriazi sana kwa hakika
imhotep JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 55,997 Reaction score 88,219 Nov 15, 2024 #5 Lakini Magari yao ya Umeme huwa yanaungua ghafla. Unaweza kuwa umelipaki unaingia ndani ya Duka unatoka ukirudi unakuta scrap metal.
Lakini Magari yao ya Umeme huwa yanaungua ghafla. Unaweza kuwa umelipaki unaingia ndani ya Duka unatoka ukirudi unakuta scrap metal.
Palmoni JF-Expert Member Joined Jun 13, 2024 Posts 1,968 Reaction score 3,760 Nov 15, 2024 #6 Kwani Yanayotumia Mafuta Huwaga Yanaungua Kwa Taarifa? imhotep said: Lakini Magari yao ya Umeme huwa yanaungua ghafla Click to expand...
Kwani Yanayotumia Mafuta Huwaga Yanaungua Kwa Taarifa? imhotep said: Lakini Magari yao ya Umeme huwa yanaungua ghafla Click to expand...
imhotep JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 55,997 Reaction score 88,219 Nov 15, 2024 #7 Palmoni said: Kwani Yanayotumia Mafuta Huwaga Yanaungua Kwa Taarifa? Click to expand... Thermal runaway Betri inapopata Joto kupita kiasi.
Palmoni said: Kwani Yanayotumia Mafuta Huwaga Yanaungua Kwa Taarifa? Click to expand... Thermal runaway Betri inapopata Joto kupita kiasi.
Palmoni JF-Expert Member Joined Jun 13, 2024 Posts 1,968 Reaction score 3,760 Nov 15, 2024 #8 imhotep said: Thermal runaway Betri inapopata Joto kupita kiasi. Click to expand... Sawa
Mi mi JF-Expert Member Joined Jul 14, 2024 Posts 2,748 Reaction score 5,112 Nov 15, 2024 Thread starter #9 imhotep said: Lakini Magari yao ya Umeme huwa yanaungua ghafla. Unaweza kuwa umelipaki unaingia ndani ya Duka unatoka ukirudi unakuta scrap metal. Click to expand... Unayo mangapi ?
imhotep said: Lakini Magari yao ya Umeme huwa yanaungua ghafla. Unaweza kuwa umelipaki unaingia ndani ya Duka unatoka ukirudi unakuta scrap metal. Click to expand... Unayo mangapi ?
imhotep JF-Expert Member Joined Oct 13, 2012 Posts 55,997 Reaction score 88,219 Nov 15, 2024 #10 Mi mi said: Unayo mangapi ? Click to expand... Sina hata moja ila nilikuwa naangalia Show ya SerpentZA aliongelea kwa upana sana. View: https://youtu.be/ZaCw8I4Q0K8?si=xdiZJVI4gLazFiOT
Mi mi said: Unayo mangapi ? Click to expand... Sina hata moja ila nilikuwa naangalia Show ya SerpentZA aliongelea kwa upana sana. View: https://youtu.be/ZaCw8I4Q0K8?si=xdiZJVI4gLazFiOT