Sammuel999
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 3,481
- 2,347
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaHahaha Uhuruto hawatoboi kwa jinsi wanavyotapatapa kiaina wanatafuta support incase waki-rig election. Na kwa jinsi Magu alivyo karibu na RAO Uhuruto hawaishi hofu wanajua ya Gambia yaja!
Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
Unasema mlichinja KANU? Umesahau Uhuru Kenyatta ana kadi halali ya KANU na bado analipia uanachama[emoji33] [emoji33] [emoji33]Acheni rais wetu afanye kazi,sisi ndo tulimpigia kura tukitaka tutam'replace' na Raila Amolo Odinga au tumuongeze miaka mingine mitano.Eti sijui magu,ana kura ya Kenya?Kama huna kura na I.D ya Kenya,fyata bakuli jamaa!Hii si ile sarakasi ya fisiemu,KANU tulimchinja 2002 sisi.Kang'ura!
KANU ilikufa wewe acha umbea!Katiba pia haimkubali mtu kuwa mwanachama wa vyama viwili.Sasa hivi wanajiita New KANU chini ya Nick Salat,walishanyenyekea wakaingia kimya kimya kwenye muungano wa U.Kenyatta,Jubilee!Hehe!Unasema mlichinja KANU? Umesahau Uhuru Kenyatta ana kadi halali ya KANU na bado analipia uanachama[emoji33] [emoji33] [emoji33]
A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
Wewe ulioana kadi yake inachomwa? Wanasiasa huwa wametunza kadi ili akihama anaonekana mwanachama mkongwe!KANU ilikufa wewe acha umbea!Katiba pia haimkubali mtu kuwa mwanachama wa vyama viwili.Sasa hivi wanajiita New KANU chini ya Nick Salat,walishanyenyekea wakaingia kimya kimya kwenye muungano wa U.Kenyatta,Jubilee!Hehe!
Wapi evidence Uhuru alirudisha yake?KANU ilikufa wewe acha umbea!Katiba pia haimkubali mtu kuwa mwanachama wa vyama viwili.Sasa hivi wanajiita New KANU chini ya Nick Salat,walishanyenyekea wakaingia kimya kimya kwenye muungano wa U.Kenyatta,Jubilee!Hehe!
wamekuja kuhakikisha vijana wao hawashambuliwi na magaidi! Nothing moreSafi sana makamanda toka uchina kwa ziara yenu, very powerful delegation in deed, waswahili wangewavalisheni makofia yao ya chama, mabwege sana hao..
Kurudisha nini?Mwenge wa chama au?Hayo maneno sisi hatuna.Ukijoin chama kipya unajiuzulu,kama una cheo kwenye chama chako cha zamani,afu unamwandikia registrar of parties barua,basi.Hamna cha mganga wala nini!Wapi evidence Uhuru alirudisha yake?
Sent from my SM-J320F using JamiiForums mobile app
Ah wewe bana sipendi ubishi wa kitoto!Ukiwa mwanachama wa vyama viwili hata kugombea kiti chochote huwezi!Mambo ni digitali siku hizi na wakenya wanajua kufatilia mambo haya.Kama sijakosea mwalimu wako lazima alijinyonga aisee kisa we mgumu sana wa kuelewa!Wewe ulioana kadi yake inachomwa? Wanasiasa huwa wametunza kadi ili akihama anaonekana mwanachama mkongwe!
Uhuru bado anayo ile kadi na hiyo mpya kashachukua,
A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
Naona huijui vizuti katiba ya Kenya! Hivi unategemea Uhuru atagombea tena uchaguzi gani baada ya huu!Ah wewe bana sipendi ubishi wa kitoto!Ukiwa mwanachama wa vyama viwili hata kugombea kiti chochote huwezi!Mambo ni digitali siku hizi na wakenya wanajua kufatilia mambo haya.Kama sijakosea mwalimu wako lazima alijinyonga aisee kisa we mgumu sana wa kuelewa!