ChinaTech: Timu ya madaktari wa China wafanya upasuaji wa kwanza duniani kwa mgonjwa aliye Beijing, China wakiwa Rome, Italy(km 8100) wakitumia roboti

ChinaTech: Timu ya madaktari wa China wafanya upasuaji wa kwanza duniani kwa mgonjwa aliye Beijing, China wakiwa Rome, Italy(km 8100) wakitumia roboti

Xi Jinping

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2023
Posts
3,651
Reaction score
11,548
China, marking the longest-distance remote robotic surgery on humans.

The world's first transcontinental live telesurgery

Huenda ikakushangaza na ukajiuliza wamewezaje?

Huu ndio upasuaji wa kwanza kufanywa duniani madaktari wakiwa bara lingine na mgonjwa akiwa bara lingine.

Huu ni mfumo wa kitabibu wa upasuaji kwa kutumia robot (robotic surgery) uliotengenezwa na timu ya wataalamu wa China.

Ambapo madakatri wa Kichina walikuwa Rome, Italy mubashara wakimfanyia upasuaji wa tezi dume mgonjwa aliyekuwa Beijing, China na kufanikiwa.

Roboti za upasuaji zilikuwa China (Asia)na madaktari Wachina operators walikuwa Rome, Italy (Ulaya) umbali wa km 8100.

Haya ni mapinduzi ya kwanza ya kitiba kufanywa duniani. Wataalamu mbalimbali duniani wamesema huenda miaka ya mbeleni wagonjwa hawatahitaji kusafiri umbali mrefu kwa ajili ya upasuaji wa matatizo makubwa ya kiafya.

Daktari Mchina akiwa Rome akimfanyia upasuaji mgonjwa aliye Beijing kwa kutumia robot
20240611_154912.jpg



#Made in China 2025 (MIC25)

 

Attachments

  • 20240611_163538.jpg
    20240611_163538.jpg
    335.2 KB · Views: 4
  • X_3.mp4
    4.1 MB
Noma sana Sisi huku waziri,mkuu wa mikoa wapo kwenye ulawiti so sad
Inasikitisha mno mkuu.

Wenzetu wanapiga hatua kwenda mbele huku RC anambaka mwanafunzi.

Huyo angekuwa China hapa sasa hivi tunapoongea angekuwa tayari alishanyongwa

Sijajua kesi ya Gekul iliishia wapi na yule naibu waziri aliyepata ajali na mwanafunzi akafa akimkimbia mkewe kuogopa fumanizi

Ndio maana mwanetu Mzee wa kupambania ana msemo wake kuishi Tanzania ni laana
 
Inasikitisha mno mkuu.

Wenzetu wanapiga hatua kwenda mbele huku RC anambaka mwanafunzi.

Huyo angekuwa China hapa asa hivi tunaloongea angekuwa tayari alishanyongwa

Sijajua kesi ya Gekul iliishia wapi na yule naibu waziri aliyepata ajali na mwanafunzi akafa akimkimbia mkewe kuogopa fumanizi

Ndio maana mwanetu Mzee wa kupambania ana msemo wake kuishi Tanzania ni laana
Gekul, yule mfungua shtaka, alikosa ushahidi wa kutosha kuendelea na lile shauri, kesi ikatupiliwa mbali, na kufutwa, na milango ya rufaa ilikua wazi, ila mpaka muda unaishi si wale mawakili wakuaminika, wala watu wa utetezi wa haki za binadamu, wala boni yai kasogea mahakama yyte kufungua tena shauri, gekul is free.
Ile ya dodoma ni story ya kusadikika nayo, hakukua na chochote.

Na kuhusu roboti si lililetwa lile la eunice, kuna lile la airtel. Hilo la operation hata marekani hawana, so tusubiri.
 
Gekul, yule mfungua shtaka, alikosa ushahidi wa kutosha kuendelea na lile shauri, kesi ikatupiliwa mbali, na kufutwa, na milango ya rufaa ilikua wazi, ila mpaka muda unaishi si wale mawakili wakuaminika, wala watu wa utetezi wa haki za binadamu, wala boni yai kasogea mahakama yyte kufungua tena shauri, gekul is free.
Ile ya dodoma ni story ya kusadikika nayo, hakukua na chochote.
Asante kwa ufafanuzi
 
Hilo la operation hata marekani hawana, so tusubiri.
Ni kweli Marekani hajawahi kuwa na aina hii ya robot katika suala zima la upasuaji wa trans-continental live telesurgery

Hapa China is far miles ahead of USA

Ila kwa kuwa ni innovation iliyofanyika China hautasikia mainstream media za Marekani na Ulaya zikitangaza, what a double standard!
 
Ni kweli Marekani hajawahi kuwa na aina hii ya robot katika suala zima la upasuaji wa trans-continental live telesurgery

Hapa China is far miles ahead of USA

Ila kwa kuwa ni innovation iliyofanyika China hautasikia mainstream media za Marekani na Ulaya zikitangaza, what a double standard!
Marekani wanaweza haya mambo kwa kutudanganya kupitia movies za Hollywood za Sci-Fi ila tukija kiuhalisi hawana maajabu
 
Gekul, yule mfungua shtaka, alikosa ushahidi wa kutosha kuendelea na lile shauri, kesi ikatupiliwa mbali, na kufutwa, na milango ya rufaa ilikua wazi, ila mpaka muda unaishi si wale mawakili wakuaminika, wala watu wa utetezi wa haki za binadamu, wala boni yai kasogea mahakama yyte kufungua tena shauri, gekul is free.
Ile ya dodoma ni story ya kusadikika nayo, hakukua na chochote.

Na kuhusu roboti si lililetwa lile la eunice, kuna lile la airtel. Hilo la operation hata marekani hawana, so tusubiri.
Kwa hiyo Gekul akaishia tu kuondolewa kuwa naibu waziri

Hivi na huyu naibu waziri aliyepata ajali akikimbia fumanizi alibaki na cheo chake?
 
Ni kweli Marekani hajawahi kuwa na aina hii ya robot katika suala zima la upasuaji wa trans-continental live telesurgery

Hapa China is far miles ahead of USA

Ila kwa kuwa ni innovation iliyofanyika China hautasikia mainstream media za Marekani na Ulaya zikitangaza, what a double standard!
Huku umetoka nje ya thread yako, huwa nasema mtu akianzisha thread ili iwe pendwa na kupata maoni zaidi astick kwenye mada.
Huyo roboti hongera kwa china ila it's not too late to say we can't, muda utaongea. Tukiwekeza kwenye technology na tukawa reputable hamna kinachoshindikana. Ila kwa huyo wa operation, Hata Italy, Russia, North Korea, Saudi Arabia, hawana.
Iwe changamoto katika ukuaji wetu wa uchumi, ila isihusanishwe na vitu vingine vya kipuuzi, hata china wapo viongozi wengi tu wamekalia kuti kavu, kufukuzwa madarakani au kufungwa kabisa. Kama ilivyo kwa Tanzania.
 
Kwa hiyo Gekul akaishia tu kuondolewa kuwa naibu waziri

Hivi na huyu naibu waziri aliyepata ajali akikimbia fumanizi alibaki na cheo chake?
Ndio gekul aliishia kuondolewa kwenye nafasi yake ile na kuchafuliwa jina.

Kuhusu ufafanuzi juu ya kifo cha nusura na Ajali ya naibu waziri festo dugange, vilikua ni vitu viwili tofauti.
NUSURA, Yule mwanafunzi wa udom alifariki Akiwa hospitali ya faraja baada ya mlo wa usiku aliokua na mpenzi wake na mpwa wao kwaajili ya maandalizi ya Engagement.
Baada ya. Mlo alipata hali ya kutapika na akakimbizwa hiyo hospital niliyotaja hapo juu. Iliyopo kilimanjaro huko. Alifariki usiku ule ule alipokua pale hospital.
 
Ni kweli Marekani hajawahi kuwa na aina hii ya robot katika suala zima la upasuaji wa trans-continental live telesurgery

Hapa China is far miles ahead of USA

Ila kwa kuwa ni innovation iliyofanyika China hautasikia mainstream media za Marekani na Ulaya zikitangaza, what a double standard!
Kufanya kweli kuhakiki ukweli Sasa mgonjwa wa operation awe Italia madaktari wa kichina wawe Beijing China ku prove
 
Huku kwetu mwenge unazindua matundu ya vyoo ya wanafunzi, simba sport club wanazindua WhatsApp chanel
Inasikitisha sana

Tunaenda hatua 2 na kurudi 10 na kujipongeza, bila kuzingatia hatua 8 tulizopoteza
 
Back
Top Bottom