Chinese food zinanishinda kula, kuna wengine wenye tatizo hili?

Mkuu ungekwenda tu kwenye migawahawa ya kihindi au ya waarabu,ungekutana na vyakula vifananavyo na vya home,ingawa kwenye pilipili huwa wanafanya sifa.
Hahahaa hapo kwa red LOL...

Kuna kitaa walikuwa wanapika vyakula vya kiafrika... hiyo bei yake sasa??

Basi mi nikalazimika kujiokoa kwa mikate tu... maana hakukuwa na namna tena... Sema vyakula vya Ki-Thailand mwake sana. Viliniokoa kiaina
 
Vyakula vya kiChina hata mimi kwa kweli siviwezi. Hata pweza wanaouzwa hapa Dar wamenishinda
 
Hahahaa hapo kwa red LOL...

Kuna kitaa walikuwa wanapika vyakula vya kiafrika... hiyo bei yake sasa??

Basi mi nikalazimika kujiokoa kwa mikate tu... maana hakukuwa na namna tena... Sema vyakula vya Ki-Thailand mwake sana. Viliniokoa kiaina
Next time ukienda tena pitia pale chunking mansion,kuna chakula cha nyumbani,wali samaki,nyama na kuku anapika mkenya mmoja hivi,na kwengine wanapika wabongo, bei chee tu 20-30hkd.
 
Kongosho

Nimemiss vitiko vyake ingawa sometimes namfamananisha na mtu fulani humu ndani...
 
Reactions: BAK
Hauko peke yako SE. Mie kwenye restaurant zao kuna harufu fulani hivi siipendi hata kidogo. Na hata nikienda basi huwa ni kwa ajili ya company tu na naishia kugusa gusa tu kusema kweli. Ukiacha hiyo harufu nahofia pia kulishwa nyama ya mbwa.
Wachina ukikaa vibaya unalishwa.vitu vya ajabu....
 
Reactions: BAK
Mhhhh! Mie nakumbuka jinsi nilivyozugika. Kwanza nilijua ni KE, kisha kuna wakati akang'ang'ana humu kwamba yeye si KE ni ME nikaamini kama ni ME. Baadaye tena akasema yeye ni KE. Nadhani nimemuhisi huyo unayemfananisha naye.

Kongosho

Nimemiss vitiko vyake ingawa sometimes namfamananisha na mtu fulani humu ndani...
 
Vyakula vya wachina ni hovyo kabisa, binafsi vimenishinda.

Wao spice ni curry tu hawajui spicy zingine. Vyakula na harufu za ajabu ajabu
 
Katika kusafir kwangu Watu wanaongoza kupika chakula kitamu ni wathailand wakifuatiwa na wachina. Aisee nyie hamjajua tu jins ya kuweka oda hao Watu waache hivyo hivyo
 
Mungu anisamehe,huyo

Katika kusafir kwangu Watu wanaongoza kupika chakula kitamu ni wathailand wakifuatiwa na wachina. Aisee nyie hamjajua tu jins ya kuweka oda hao Watu waache hivyo hivyo
Du,umenikumbusha msosi wa Land Mark hotel,nimekaa pale wiki 3,sijawahi ona chakula kitamu kama kile



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikula mara ya kwanza nyoka aina ya ladder kwa wachina. Thanks alikuwa ni wa kuokwa! Ile mirojo rojo au supu ckujaribu kabisa na huyo nyoka alimchagua rafiki angu. Nilijizuia nisitapike na kweli I made it!

Jichanganye ule ile michuzi chuzi yao sasa, utashangaa unainua kwa kijiko mguu na utumbo wa chura! Hapo hata kama ni shujaa lazima utapike!

Mateso makubwa ya wageni huko kwa wachina, ni msosi...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulikula nini? Kenge? Mbwa? Nyoka?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka nikiwa china niliingia kwenye moja ya "hot soup". Niliendesha wiki nzima dadeq... Vile vyakula havifai kabisa

Even a black folk hate to see another nigga made it..
 
Inabd uwe selective sanaa...japo kuna vitu huwezi kosa mfano wali wana aina za kutosha..kwny nyama beef,chicken... Vipo common vichache... Majina yakishabadilika tu mi huwa siwezi..nakula nnachokitambua tu
 
Mimi pia, waniniita mshamba, poa tu, yaani hakipandi kabisa pamoja na sifa kwamba vyakula vyao viko "healthy" zaidi ya vyetu au kizungu..
 
Haya na sie tulioenda kondoa tukala ugali mlenda safi uliopikwa na mtoto model easy to Cary, chotara wa kirangi tuchangie mada. ..[emoji23][emoji23][emoji23]

driller⛏⚒
Afadhali wewe umenifumbua mdomo, hapa kwetu kuna mama mmoja anapika vizuri sana ugali pweza, ugali nyama, wali wa nazi kwa samaki utapenda...[emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…