Chinese food zinanishinda kula, kuna wengine wenye tatizo hili?

Chinese food zinanishinda kula, kuna wengine wenye tatizo hili?

Haya na sie tulioenda kondoa tukala ugali mlenda safi uliopikwa na mtoto model easy to Cary, chotara wa kirangi tuchangie mada. ..[emoji23][emoji23][emoji23]

driller⛏⚒
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nipo Changchun huku
Nina zaid ya wiki sasa nakula wali kuku
Vyakula vigumu kuzoea, nitakuwa huku miaka 3
Nimeagiza dagaa home,na unga wa sembe

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikisafiri kwenda nchi za watu kama ni ziara ya zaidi ya wiki mbili ninabeba unga, maharage, mchele. Usijaribu haya kama unakwenda Australia na Newzeland.
Kama ni wiki moja au mbili nisipozoea chakula ninakula mkate, chai pamoja na matunda.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Nimetoka kukata kuchumbari hapa,,,


Nafata dagaa(Fillet ya Uswazi)


Haa haaaaa
 
Katika starehe ninazopenda hapa duniani ni kula na kulala, huwa ninapenda kujifunza kupika vyakula tofauti, ninapenda kujaribu kula vyakula tofauti na vile nilivyozoea. Katika marafiki niliyowapata nimeweza kumudu kula vyakula vya nchi wanazotoka.

Kitanda changu ninahakikisha ni kisafi mahali ninapoweza kupata usingizi mzuri kwani hii ni starehe unayopata bila malipo.

Katika vyakula nimejaribu kula Chinese nimeshindwa kabisa, siku ya kwanza nilikuwa na wenzangu safarini, group lote waliamua kwenda Chinese restarant, niliingia chakula chote nilichokula nilirudisha change pale, ilibidi niweke tissue mdomoni nikikimbila bafuni. Mara ya pili binamu yangu alinipeleka buffet ya wa-China, nilishindwa kumwambia hiki hakipandi, tumefika nilijikaza, tumerudi nyumbani yaliyonitokea sina haja ya kusema mengi.

Hivi ni mimi tu au kuna ambao chakula cha wa-China hakipandi?
Duuu dada kati ya vyakula vinavyonitoa udenda ni chinese na Japanese foods... Nayapenda mno mapishi yao.... Japo kiherehere changu kilinifanya nilishwe vitu vya ajabu kama mbwa na nyoka
 
Back
Top Bottom