pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Hueleweki. Unaongea kuhusu nini? Naona hizi habari zimekuvuruga akili. Breathe in, breath out. All is well.Nawaonea sana huruma. Angalau Lupita ana A, B, C za kua slave nyinyi wapya wapya mtasaga na rhumba.
Hii defense mechanism ya Kenyans kujitia machizi ili mjifanye hamuelewi vitu ni ya aina yake.Hueleweki. Unaongea kuhusu nini? Naona hizi habari zimekuvuruga akili. Breathe in, breath out. All is well.
Who's your Master?Yea. You are entitled to your Master's opinion
Wanaipeleka wapi? Fikiri.Mimi naongelea airport inayotaka kuchukuliwa na wachina hao hao.
KK Airport. Zambia.
Wacha kijijifanya chizi. Mambo ya Zambia peleka mbali ama fungua nyuzi yake.Mimi naongelea airport inayotaka kuchukuliwa na wachina hao hao.
KK Airport. Zambia.
Sasa kama hueleweki unataka tufanyeje? Au ndio ulikuwa unatafuta mwanya wa kutumia jina 'defence mechanism'? [emoji1]Hii defense mechanism ya Kenyans kujitia machizi ili mjifanye hamuelewi vitu ni ya aina yake.
Hawa jamaa ni very predictable. Kidogo kidogo utasikia ameanza kukutajia za Miguna Miguna. Hahaa! [emoji23]Wacha kijijifanya chizi. Mambo ya Zambia peleka mbali ama fungua nyuzi yake.
I’ve discovered hawa Tz argument wakishindwa wana anza kushift goal post na different unrelated topics.
Those aren't unrelated topics brother. Y'all gona lose the collateral the difference is you gon lose a seaport while the other one is gon lose the airport.Wacha kijijifanya chizi. Mambo ya Zambia peleka mbali ama fungua nyuzi yake.
I’ve discovered hawa Tz argument wakishindwa wana anza kushift goal post na different unrelated topics.
Umechukua muda mkubwa kuja na hii komenti. Uko salama lakini?Sasa kama hueleweki unataka tufanyeje? Au ndio ulikuwa unatafuta mwanya wa kutumia jina 'defence mechanism'? [emoji1]
Ulikuwa umetulia tu unaingoja hiyo comment? Uko idle sana. Sio kila dakika huwa tupo humu kwenye mitandao, kuna mengine mengi tu, ya maana zaidi ambayoUmechukua muda mkubwa kuja na hii komenti. Uko salama lakini?
Mimi situmii WiFi wala kompyuta ya ofisi. Notifications naziona muda wowote.Ulikuwa umetulia tu unaingoja hiyo comment? Uko idle sana. Sio kila dakika huwa tupo humu kwenye mitandao, kuna mengine mengi tu, ya maana zaidi ambayo
wengine wetu huwa tunajishughulisha nayo.
Wanaipeleka wapi? Fikiri.
Bandari ni immovable asset itabakia KE lakini mapato ya miaka kadhaa yanaweza kuchukuliwa ili kulipa deni kama ni kweli MBSA port iliwekwa kama qualateral ya mkopo wa SGR.Ahaaa haaa haaa
cash flow mama ndiyo inayoondoka.
residual asset itabaki.
Habari iliandikwa na wakenya wenzenu, imeletwa kwa forum, mnaanza laumu wabongo.Mlijadili habari za bandari ya Mombasa, kwamba imeshanyakuliwa na mchina, wala hamkujali kuhusu uhalisia wa habari hizo. Huo ndio unaitwa umbea.
Auditor general alisema hatambui hiyo report on the same day the news article came out lakini bado nyi wabongo makendelea kuenjoy kujadili fake news!Habari iliandikwa na wakenya wenzenu, imeletwa kwa forum, mnaanza laumu wabongo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Auditor general alisema hatambui hiyo report on the same day the news article came out lakini bado nyi wabongo makendelea kuenjoy kujadili fake news!
Definition ya idle minds. Mlikuwa mfefika kiwango ya kusema bandari imechukuliwa!
Ulikuwa umetulia tu unaingoja hiyo comment? Uko idle sana. Sio kila dakika huwa tupo humu kwenye mitandao, kuna mengine mengi tu, ya maana zaidi ambayo
wengine wetu huwa tunajishughulisha nayo.
Kama ni kweli wataichukua waiendeshe basi itakuwa vyema sana, fikiri.Ahaaa haaa haaa
cash flow mama ndiyo inayoondoka.
residual asset itabaki.
Naona wewe huna fahamu. Auditor general has been the biggest critic of the govt, from Eurobond to devolution funds he has blown the whistle & that’s his job.Sasa wewe na ndevu zako za chini ulitegemea AG aseme ni kweli i karibu kwenda kwa wachina???