Chini ya jua, hakuna mwanamke mgumu. Mwanamke anayekukubalia kirahisi ni bora kuliko anayekuzungusha

Chini ya jua, hakuna mwanamke mgumu. Mwanamke anayekukubalia kirahisi ni bora kuliko anayekuzungusha

Nyota nzuri ya mahusiano mara nyingi huonekana mwanzo wa mahusiano, enyi wanaume wenzangu ukijichunguza vizuri, utagundua kuwa wale wadada uliowatongoza, hlf wakakukubalia haraka na wakakupa papuchi kirahisi, mara nyingi ndo walidumu na wewe kwa mda mrefu, kama mliachana bhasi, basi ni wewe uliwaacha, au ww ulikua pasua kichwa ndo ukaachwa.

Mwanamke akikupa papuchi kirahisi haimaanishi kuwa na wanaume wengine wanapewa kirahisi kama ulivopewa wewe, kuna vidume vinamtongoza huyo mdada hata SMS hawajibiwi, au wanajibiwa sms kwa ukali, kwenye swala la kupewa papuchi au kukutana tu mahali, hao vidume wengine wanapigwa kalenda.

Mdada akikuzungusha sana wakati wa kutongoza huyo inabidi uwe makini nae, hata akija kukubali, atakubali kwasababu hakuwa na option ingine, au atakubali kwasababu unampa hela a.k.a anaona una maisha mazuri ya kifedha

Kwamfano, ww na mdada hamjawahi ku-sex ndo kwanza mmeonana, siku chache baada ya kuchukua namba yake ya simu unamwita gheto, au mahali flani mkutane, anatoa visingizio ili asionane na ww, Mara yuko busy, Mara hakuamini, etc, jiulize..kama huyo mdada angeitwa gheto na Justin bieber, au male celebrity crush wake, angetoa hivyo visingizio anavokupa wewe?

Tafakari, chukua hatua

Nakubaliana na hoja hii 100%
 
Unanitaka sawa,unitaki nakula kona sina muda wa kupoteza,pesa inetese na wewe unitese,hapana aisee.

Hii principle ndio wanaume wote wanatakiwa kuwa nayo....katika kitu kinachotakiwa kisikupe sstress ni papuchi
 
Mi anayenizungusha huku hali hela yangu, yuko ok, ila yule anayekula hela yangu, siku akinipa ni hit and run.
 
Kuna wanawake ni asili yake kutoa papuchi ili mradi uwe msafi tu.mi nilishapewa number na aliyepewa number na huyo aliempa number alie nipa mimi wote tulikula tena kirahisi tu.na mimi nishawapa number zaidi ya watu wa tatu na wote wamekula sina idadi ya hao nilio wapa number waliwapa watu wangapi hizo number ila na wewe ukitaka nakupa tu number unaenda kujipigia.na ni demu mrembo kweli kweli hajafikisha hata miaka 20
 
Kuna wanawake ni asili yake kutoa papuchi ili mradi uwe msafi tu.mi nilishapewa number na aliyepewa number na huyo aliempa number alie nipa mimi wote tulikula tena kirahisi tu.na mimi nishawapa number zaidi ya watu wa tatu na wote wamekula sina idadi ya hao nilio wapa number waliwapa watu wangapi hizo number ila na wewe ukitaka nakupa tu number unaenda kujipigia.na ni demu mrembo kweli kweli hajafikisha hata miaka 20

Hao wanawake wapo, ila ni wachache sana, kwa kingereza wanaitwa nymphomaniacs buno25
 
Kuna wanawake ni asili yake kutoa papuchi ili mradi uwe msafi tu.mi nilishapewa number na aliyepewa number na huyo aliempa number alie nipa mimi wote tulikula tena kirahisi tu.na mimi nishawapa number zaidi ya watu wa tatu na wote wamekula sina idadi ya hao nilio wapa number waliwapa watu wangapi hizo number ila na wewe ukitaka nakupa tu number unaenda kujipigia.na ni demu mrembo kweli kweli hajafikisha hata miaka 20
Amini kuna wanaokataliwa na pia
 
Kumekucha..[emoji28]

Bwana na atufanyie wepesi sisi me ili tuwafahamu ke..!

Kwa maana nae alinena toka ktk ubavu wetu alimtwaa mwanamke,nae awe msaidizi wetu.
Badala yake wamekuwa wakitufungulisha nyuzi hasubui pevu namna hii..[emoji12]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nyota nzuri ya mahusiano mara nyingi huonekana mwanzo wa mahusiano, enyi wanaume wenzangu ukijichunguza vizuri, utagundua kuwa wale wadada uliowatongoza, halafu wakakukubalia haraka na wakakupa papuchi kirahisi, mara nyingi ndo walidumu na wewe kwa mda mrefu, kama mliachana bhasi, basi ni wewe uliwaacha, au wewe ulikua pasua kichwa ndo ukaachwa.

Mwanamke akikupa papuchi kirahisi haimaanishi kuwa na wanaume wengine wanapewa kirahisi kama ulivopewa wewe, kuna vidume vinamtongoza huyo mdada hata SMS hawajibiwi, au wanajibiwa SMS kwa ukali, kwenye swala la kupewa papuchi au kukutana tu mahali, hao vidume wengine wanapigwa kalenda.

Mdada akikuzungusha sana wakati wa kutongoza huyo inabidi uwe makini nae, hata akija kukubali, atakubali kwasababu hakuwa na option ingine, au atakubali kwasababu unampa hela a.k.a anaona una maisha mazuri ya kifedha

Kwamfano, ww na mdada hamjawahi ku-sex ndo kwanza mmeonana, siku chache baada ya kuchukua namba yake ya simu unamwita gheto, au mahali flani mkutane, anatoa visingizio ili asionane na ww, Mara yuko busy, Mara hakuamini, etc, jiulize..kama huyo mdada angeitwa gheto na Justin bieber, au male celebrity crush wake, angetoa hivyo visingizio anavokupa wewe?

Tafakari, chukua hatua
Nini kifanyike kuokoa jahazi ?
 
Nyota nzuri ya mahusiano mara nyingi huonekana mwanzo wa mahusiano, enyi wanaume wenzangu ukijichunguza vizuri, utagundua kuwa wale wadada uliowatongoza, halafu wakakukubalia haraka na wakakupa papuchi kirahisi, mara nyingi ndo walidumu na wewe kwa mda mrefu, kama mliachana bhasi, basi ni wewe uliwaacha, au wewe ulikua pasua kichwa ndo ukaachwa.

Mwanamke akikupa papuchi kirahisi haimaanishi kuwa na wanaume wengine wanapewa kirahisi kama ulivopewa wewe, kuna vidume vinamtongoza huyo mdada hata SMS hawajibiwi, au wanajibiwa SMS kwa ukali, kwenye swala la kupewa papuchi au kukutana tu mahali, hao vidume wengine wanapigwa kalenda.

Mdada akikuzungusha sana wakati wa kutongoza huyo inabidi uwe makini nae, hata akija kukubali, atakubali kwasababu hakuwa na option ingine, au atakubali kwasababu unampa hela a.k.a anaona una maisha mazuri ya kifedha

Kwamfano, ww na mdada hamjawahi ku-sex ndo kwanza mmeonana, siku chache baada ya kuchukua namba yake ya simu unamwita gheto, au mahali flani mkutane, anatoa visingizio ili asionane na ww, Mara yuko busy, Mara hakuamini, etc, jiulize..kama huyo mdada angeitwa gheto na Justin bieber, au male celebrity crush wake, angetoa hivyo visingizio anavokupa wewe?

Tafakari, chukua hatua
Aisee
 
Back
Top Bottom