Chini ya uongozi wa Barbara Gonzalez, Simba SC haiwezi kupata kombe lolote nchi hii

Chini ya uongozi wa Barbara Gonzalez, Simba SC haiwezi kupata kombe lolote nchi hii

Najua wengi mtanipinga ukweli ni kwamba mpira wa bongo una Sarakasi nyingi sana nje ya uwanja.

Babra hajui chochote kuhusu soka, kibaya zaidi hata wale wanaojua siri za mpira wa nchi hii amewaweka kando.

Kama babra ataendelea kushupaza shingo na kutaka kila kitu afanye yeye msimu huu yanga wanabeba tena makombe yote huku wanasimba wakilia na kusaga meno.

Hii ni aibu mechi sita dhidi ya mtani umefunga goli moja pekeee, bado mnaamini tu ni matokeo ya uwanjani? Wenzenu wapo tayari waruke ukuta ilimradi wapate matokeo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

View attachment 2324994
Hunikuti nikishabikia huu ulozi hata siku moja. Waite Wanga wenzio mjadili matunguli.
 
Najua wengi mtanipinga ukweli ni kwamba mpira wa bongo una Sarakasi nyingi sana nje ya uwanja.

Babra hajui chochote kuhusu soka, kibaya zaidi hata wale wanaojua siri za mpira wa nchi hii amewaweka kando.

Kama babra ataendelea kushupaza shingo na kutaka kila kitu afanye yeye msimu huu yanga wanabeba tena makombe yote huku wanasimba wakilia na kusaga meno.

Hii ni aibu mechi sita dhidi ya mtani umefunga goli moja pekeee, bado mnaamini tu ni matokeo ya uwanjani? Wenzenu wapo tayari waruke ukuta ilimradi wapate matokeo.🤣🤣🤣🤣

View attachment 2324994
Ondoa pumba zako za kishirikina hapa. Kabla yake simba ilikuwa wapi. Yaani kufungwa tu mechi moja na yanga msimu huu povu kibao. Mbona yanga ilifungwa na Vipers na hatukuona wakitoa povu kama lako. Hutaki kuwa shabiki mstaarabu sepa bwana.
 
Mpira wa kisasa unachezwa uwanjani na sio kwenye vijiwe vya tunguri. Anzisha team yako kisha ibebe vikombe vyote Tanzania, cuf na club world cup.
CUF???? ya lipumba au?
 
Mobutu alipeleka wachawi 70 kombe LA dunia....uliza kilichowapata.

Dogo mpira ni sayansi sio uchawi!.
 
Sasa kama streka ndo mzungu na BOCCO si bora wangemwacha kagere kuliko hivi vituko
 
Najua wengi mtanipinga ukweli ni kwamba mpira wa bongo una Sarakasi nyingi sana nje ya uwanja.

Babra hajui chochote kuhusu soka, kibaya zaidi hata wale wanaojua siri za mpira wa nchi hii amewaweka kando.

Kama babra ataendelea kushupaza shingo na kutaka kila kitu afanye yeye msimu huu yanga wanabeba tena makombe yote huku wanasimba wakilia na kusaga meno.

Hii ni aibu mechi sita dhidi ya mtani umefunga goli moja pekeee, bado mnaamini tu ni matokeo ya uwanjani? Wenzenu wapo tayari waruke ukuta ilimradi wapate matokeo.🤣🤣🤣🤣

View attachment 2324994
Simba mnatia aibu sana kumbukeni asiyekubali kushindwa si mshindani! Nyie Makolo mkishinda derby ni uwezo wa uwanjani Yanga ikiwapasua au kubeba makombe sababu ni nje ya uwanja, hizo ni akili mbovu na muendelee kuamini hivyo hivyo tuchukue makombe na kuwapasua ten years!!
 
Wivu tu na chuki kwa huyo mama unawasumbua.Mambo ya kushinda au kutokushinda,kuchukua bikombe au kutokuchukua ni hali ya mchezo kwasababu simba sio timu pekee nchini.Ata hivyo huyo mama haongozi mwenyewe hapo simba usitake kuniambia gskuna vikao wanavyofanya.Mambo ya nje ya uwanja hizo mbwembwe niza hapa hapa kwa mkapa hazitufikishi popote.
 
Simba wanawafundisha Yanga kuwa mpira bila uchawi unawezekana. Kuna siku wataelewa tu.
 
Back
Top Bottom