Kumbe so called mtetezi wa wanyonge alikuwa mpigaji pia???Ni bora hii hasara lakini watoto wetu wanasoma bure, barabara zimejengwa, tuna umeme hadi vijijini, madaraja yamejengwa, kuliko kipindi kile cha mzee wa msoga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe so called mtetezi wa wanyonge alikuwa mpigaji pia???Ni bora hii hasara lakini watoto wetu wanasoma bure, barabara zimejengwa, tuna umeme hadi vijijini, madaraja yamejengwa, kuliko kipindi kile cha mzee wa msoga
We Kenge..umesahau EPA, ESCROW, IPTL, TWIGA, GAS ILIOUZWA WA WACHINA, WATUMISH HEWA, DAWA ZA KULEVYA, RICHMOND.
Kaa kimya..leo tunaona madaraja, flyover, meli zilizonunuliwa, ukarabati wa shule kongwe, viwanja vya ndege, ndege 11..watoto wamasoma buree..
Wakat hizo pesa za escrow zilipopigwaa hayo yote hayakuwepo.
Kaa kimyaa nyau kabisaa ww..
ubongo wako umejaza mno vitumbua,ni shida.Ni bora hii hasara lakini watoto wetu wanasoma bure, barabara zimejengwa, tuna umeme hadi vijijini, madaraja yamejengwa, kuliko kipindi kile cha mzee wa msoga
Hivi ww uko dunia ya wapi? Mbona watz ni washamba hiv..au tatizo ni kutokujua kingereza kusoma jinsi mashirika ya ndege yanavyoendeshwa duniani..aisee..mbona tuko nyuma sana kuwa na watu kama nyie..south africa tu mwaka jana..nusu walifunge shirika lao kwa sabab ya hasara lakin kwa sabab ya unyeti wa hiyo biashara serikal ikaingilia katu na kulinusuru..ethiopia the same..kenya hapo tu kwa majiran huwaoni wanavyosurfocate..lakin stil they operate itHizo ndege ulizzotaja kwenye orodha yako unajua zimesababisha hasara ya sh ngapi mpaka sasa?. Au unaropoka tu
Kidogo sasa.Kumbe so called mtetezi wa wanyonge alikuwa mpigaji pia???
Kwani kipindi Cha jk mambo hayakufanyika ?Ni bora hii hasara lakini watoto wetu wanasoma bure, barabara zimejengwa, tuna umeme hadi vijijini, madaraja yamejengwa, kuliko kipindi kile cha mzee wa msoga
Kumbe hana sumu,eti hoo mimi mfuko wa yohana!!Ukiona mtu mkali kuna Siri anaficha
Hata mimi nikiwa mkali home mara nyingi ninakuwa nimetoka kwa mchepuko ili nisiulizwe maswaliUkiona mtu mkali kuna Siri anaficha
Hivi ww uko dunia ya wapi? Mbona watz ni washamba hiv..au tatizo ni kutokujua kingereza kusoma jinsi mashirika ya ndege yanavyoendeshwa duniani..aisee..mbona tuko nyuma sana kuwa na watu kama nyie..south africa tu mwaka jana..nusu walifunge shirika lao kwa sabab ya hasara lakin kwa sabab ya unyeti wa hiyo biashara serikal ikaingilia katu na kulinusuru..ethiopia the same..kenya hapo tu kwa majiran huwaoni wanavyosurfocate..lakin stil they operate it
.mashirika ya ndege kwa nchi zote huwa kuna hasara wanazopata tena kubwa tu..acha kuwa kilaza brother tafuta hata dictionary usome report za mashirika mengine ya ndege mana kule wanaandika kingereza sio za huyo CAG uchwara na mnafik.
Elimu bure mtoto anamaliza kidato cha nne lkn hawezi kuandika hata barua ya kawaida tu ya kuwasalimia wazazi wake, mtoto hawezi kuandika 920,000 au 1,010,000 kama unabisha mtafte hapo ulipo mtaani mwambie akuandikie hizo tarakimu akipatia kunywa soda kwa mangi.Ni bora hii hasara lakini watoto wetu wanasoma bure, barabara zimejengwa, tuna umeme hadi vijijini, madaraja yamejengwa, kuliko kipindi kile cha mzee wa msoga
Tumeibiwa sna hawamu ya tano ndo maana vyombo vya habari havikuwa huru na iliminya sana demokarasia lengo lilikuwa kutuhujumu nadhani ndo awamu iliyolisababishia taifa hasara kubwa lazima serikali ichukue hatua kali sana kwa wahusikaHasara na upotevu huu unaotokana na taarifa za CAG ambapo wanasiasa waliochambua report ya CAG aliepita,Prof. Assad, waliibua utata wa matumizi ya shilling ya shilling trilioni 1.5 na hii ya hivi karibuni inatueleza hasara ya billion 150 katika uendeshaji wa ATCL.
Hasara na upotevu huu uliotokea chini ya utawala wa Magufuli, ni mbali na mamilion na mabilioni mengine yaliyopotea katika sekta za utalii, n.k kama inyoonyeshwa katika report ya CAG ya mwaka huu.
Bado hasara zinazotokana na serikali kufunguliwa makesi katika mahakama za usuluhishi za kimataifa bila kusahau hasara zilizotokana na siasa za hovyo za watu kujiuzulu kwa hoja ya kuunga mkono juhudi na kuliingiza Taifa gharama kubwa za mamilion kugharamia chaguzi ndogo.
Kwa kifupi, katika awamu ya Magufuli, Taifa limepata hasara kubwa Katika baadhi ya maeneo na pia kuna fedha nyingi zimetumika na kuacha utata mtupu kama hayo matumizi ya shilingi trilioni moja yaliyohojiwa na wabunge wa upinzani baada ya kuichambu report ya CAG aliepita(Prof.Assad).
Itakuwa ni jambo jema Bunge kuunda kamati teule kuchunguza utata wa matumizi haya ya shilingi trilioni 1.5 ili umma ujue ukweli ni upi na si hizi kelele za MATAGA kutaka kutuaminisha kuwa ufisadi ulidhibitiwa enzi za Hayati Magufuli tofauti na awamu zilizopita.
Kama hamtaki kuchunguza tuhuma hizi, acheni kumlinganisha Magufuli na watangulizi wake, hasa Kikwete, ambae wakati wake Bunge liliweze kuunda kamati teule na kuchunguza tuhuma zinazoihusu serikali, na pia vyombo vya habari viliweza kuanika kashifa mbalimbali za serikali bila kusahau Whistleblowers (kina Tumbili) waliweza kuanika madudu yaliyokuwa yanaendelea serikalini tofauti kabisa na ilivyokuwa wakati wa Magufuli .
Acha uongo.We Kenge..umesahau EPA, ESCROW, IPTL, TWIGA, GAS ILIOUZWA WA WACHINA, WATUMISH HEWA, DAWA ZA KULEVYA, RICHMOND.
Kaa kimya..leo tunaona madaraja, flyover, meli zilizonunuliwa, ukarabati wa shule kongwe, viwanja vya ndege, ndege 11..watoto wamasoma buree..
Wakat hizo pesa za escrow zilipopigwaa hayo yote hayakuwepo.
Kaa kimyaa nyau kabisaa ww..
Hiyo mirad inaoperate au haioperate? Meli zinasafirisha watu hazisafirishi? Viwanja vya ndege havijakarabitiwa? Shule watoto hawasomi bure?? Vituo vya afya havipo? Acha ushamba mzee..heri utuibie wakat huo huo tunaona tunapata huduma za kijamii hata kama sio bora lakin ni heri kuliko kuzikosa kabisa..awamu zilizopita hela zilikuwa zinapigwa na bado watu wanalia huduma mbovu za serikal..ww ni mmoja kati ya watz wajinga ambao mwalimu asisitiza tuuondoe huo ujinga ila ww bado uko nao mwingi mno.
I am very dissappointed by your views. I gues if you are a graduate probably you are from Yohana University. You are completely incompatible with the current trend especially in the economic percel.
Mkuu tatizo siyo hasara. Tatizo ni kwamba wakati wa Utawala wa Jiwe hatujawahi kusikia hasara bali faida. Je nikweli kulikuwa hakana hasara?? Walikuwa wanaficha kwa faida ya nani?? Je ndege ndiyo iliyokuwa kipaumbele cha Watz??Hivi ww uko dunia ya wapi? Mbona watz ni washamba hiv..au tatizo ni kutokujua kingereza kusoma jinsi mashirika ya ndege yanavyoendeshwa duniani..aisee..mbona tuko nyuma sana kuwa na watu kama nyie..south africa tu mwaka jana..nusu walifunge shirika lao kwa sabab ya hasara lakin kwa sabab ya unyeti wa hiyo biashara serikal ikaingilia katu na kulinusuru..ethiopia the same..kenya hapo tu kwa majiran huwaoni wanavyosurfocate..lakin stil they operate it
.mashirika ya ndege kwa nchi zote huwa kuna hasara wanazopata tena kubwa tu..acha kuwa kilaza brother tafuta hata dictionary usome report za mashirika mengine ya ndege mana kule wanaandika kingereza sio za huyo CAG uchwara na mnafik.
Hivi zile za saccos alizokomba mwenyekiti zilikuwa million ngapi mkuu?.Hasara na upotevu huu unaotokana na taarifa za CAG ambapo wanasiasa waliochambua report ya CAG aliepita,Prof. Assad, waliibua utata wa matumizi ya shilling ya shilling trilioni 1.5 na hii ya hivi karibuni inatueleza hasara ya billion 150 katika uendeshaji wa ATCL.
Hasara na upotevu huu uliotokea chini ya utawala wa Magufuli, ni mbali na mamilion na mabilioni mengine yaliyopotea katika sekta za utalii, n.k kama inyoonyeshwa katika report ya CAG ya mwaka huu.
Bado hasara zinazotokana na serikali kufunguliwa makesi katika mahakama za usuluhishi za kimataifa bila kusahau hasara zilizotokana na siasa za hovyo za watu kujiuzulu kwa hoja ya kuunga mkono juhudi na kuliingiza Taifa gharama kubwa za mamilion kugharamia chaguzi ndogo.
Kwa kifupi, katika awamu ya Magufuli, Taifa limepata hasara kubwa Katika baadhi ya maeneo na pia kuna fedha nyingi zimetumika na kuacha utata mtupu kama hayo matumizi ya shilingi trilioni moja yaliyohojiwa na wabunge wa upinzani baada ya kuichambu report ya CAG aliepita(Prof.Assad).
Itakuwa ni jambo jema Bunge kuunda kamati teule kuchunguza utata wa matumizi haya ya shilingi trilioni 1.5 ili umma ujue ukweli ni upi na si hizi kelele za MATAGA kutaka kutuaminisha kuwa ufisadi ulidhibitiwa enzi za Hayati Magufuli tofauti na awamu zilizopita.
Kama hamtaki kuchunguza tuhuma hizi, acheni kumlinganisha Magufuli na watangulizi wake, hasa Kikwete, ambae wakati wake Bunge liliweze kuunda kamati teule na kuchunguza tuhuma zinazoihusu serikali, na pia vyombo vya habari viliweza kuanika kashifa mbalimbali za serikali bila kusahau Whistleblowers (kina Tumbili) waliweza kuanika madudu yaliyokuwa yanaendelea serikalini tofauti kabisa na ilivyokuwa wakati wa Magufuli .
usisahau kwamba kuna 29 bil imepigwa nje ya bajeti ya uchaguziHasara na upotevu huu unaotokana na taarifa za CAG ambapo wanasiasa waliochambua report ya CAG aliepita,Prof. Assad, waliibua utata wa matumizi ya shilling ya shilling trilioni 1.5 na hii ya hivi karibuni inatueleza hasara ya billion 150 katika uendeshaji wa ATCL.
Hasara na upotevu huu uliotokea chini ya utawala wa Magufuli, ni mbali na mamilion na mabilioni mengine yaliyopotea katika sekta za utalii, n.k kama inyoonyeshwa katika report ya CAG ya mwaka huu.
Bado hasara zinazotokana na serikali kufunguliwa makesi katika mahakama za usuluhishi za kimataifa bila kusahau hasara zilizotokana na siasa za hovyo za watu kujiuzulu kwa hoja ya kuunga mkono juhudi na kuliingiza Taifa gharama kubwa za mamilion kugharamia chaguzi ndogo.
Kwa kifupi, katika awamu ya Magufuli, Taifa limepata hasara kubwa Katika baadhi ya maeneo na pia kuna fedha nyingi zimetumika na kuacha utata mtupu kama hayo matumizi ya shilingi trilioni moja yaliyohojiwa na wabunge wa upinzani baada ya kuichambu report ya CAG aliepita(Prof.Assad).
Itakuwa ni jambo jema Bunge kuunda kamati teule kuchunguza utata wa matumizi haya ya shilingi trilioni 1.5 ili umma ujue ukweli ni upi na si hizi kelele za MATAGA kutaka kutuaminisha kuwa ufisadi ulidhibitiwa enzi za Hayati Magufuli tofauti na awamu zilizopita.
Kama hamtaki kuchunguza tuhuma hizi, acheni kumlinganisha Magufuli na watangulizi wake, hasa Kikwete, ambae wakati wake Bunge liliweze kuunda kamati teule na kuchunguza tuhuma zinazoihusu serikali, na pia vyombo vya habari viliweza kuanika kashifa mbalimbali za serikali bila kusahau Whistleblowers (kina Tumbili) waliweza kuanika madudu yaliyokuwa yanaendelea serikalini tofauti kabisa na ilivyokuwa wakati wa Magufuli .
Ni bora hii hasara lakini watoto wetu wanasoma bure, barabara zimejengwa, tuna umeme hadi vijijini, madaraja yamejengwa, kuliko kipindi kile cha mzee wa msoga
Acha matani trillion 18 miaka 5 ? Mbona tuliambiwa tunajenga miradi kwa pesa zetu za ndani cash kumbe mikopo.Wazee wenu wanahangaika kupata viinua mgongo vyao kutoka mifuko ya pensheni, hospitali hazina madawa, vijana wenu waliomaliza vyuo hawana ajira, deni la taifa limefikia Trillion 18 kwa kipindi cha miaka 5 tu!