kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Sasa unauliza harufu kwenye mkojo wa Mlevi?Huyo waziri ndio yule wa pikipiki za mkopo?
Tutajua muda ukifika watakaposhikana mashati!Huyo waziri ndio yule wa pikipiki za mkopo?
Hapana nauliza sukari kwa BasheS
Sasa unauliza harufu kwenye mkojo wa Mlevi?
kwan ni kigwangala au mpina mkuuKigwangwala anajulikana ni mzee wa fitna. Ila naye Bashe atulize mzuka kama taarifa ni za kweli abwage manyanga tu asitafute mchawi. Tumeumizwa sana na matendo yake.
Kigwangwala ndiye anampa Mpina Nondo za kumsulubu Bashe. Anyway wote ni mafisi tu ngoja watafunanekwan ni kigwangala au mpina mkuu
Kama ni hivyo HK ni intermediate tu yupo mkuu zaidi ya HkHizi ni za ndaaani sana waziri wa sukari amewambia watu wake wa karibu waziri wa zamani wa mambo ya misitu mapori na wanyama ndie mchawi mkuu anaepita huko na huko kutafuta nyaraka na kumkabidhi mbunge kumsagia kunguni hili sakata limeshika kasi na limefika magogoni tusikilize litakalojiri!
Itafahamika tu!Kama ni hivyo HK ni intermediate tu yupo mkuu zaidi ya Hk
Hata sijui hivyoo!Wote ni kutoka TABORA kumbuka hilo
Wananzengo wanaoneshana umwamba.Hizi ni za ndaaani sana waziri wa sukari amewambia watu wake wa karibu waziri wa zamani wa mambo ya misitu mapori na wanyama ndie mchawi mkuu anaepita huko na huko kutafuta nyaraka na kumkabidhi mbunge kumsagia kunguni hili sakata limeshika kasi na limefika magogoni tusikilize litakalojiri!
Mavi ya ng'ombe yanakauka juu!Kuna kipindi miaka ya nyuma hawa jamaa walitishiana hadi bastola, mimi nkajua yameisha kumbe bado tu🤣🤣🤣
Tutafute soda na pop corn wachochea kuni wafanye kazi!Wananzengo wanaoneshana umwamba.
Kunani Tabora?
Yote majizi tu. Hakuna cha Magogoni, hakuna cha waziri wa sukari wala hakuna cha waziri wa wanyama.Hizi ni za ndaaani sana waziri wa sukari amewambia watu wake wa karibu waziri wa zamani wa mambo ya misitu mapori na wanyama ndie mchawi mkuu anaepita huko na huko kutafuta nyaraka na kumkabidhi mbunge kumsagia kunguni hili sakata limeshika kasi na limefika magogoni tusikilize litakalojiri!
Ugomvi wao mpaka jimbo likagawanywa.Kuna kipindi miaka ya nyuma hawa jamaa walitishiana hadi bastola, mimi nkajua yameisha kumbe bado tu🤣🤣🤣