Chip ya ubongo neuralink kuanza kuwekwa 2023

Chip ya ubongo neuralink kuanza kuwekwa 2023

mcshonde

Member
Joined
Jul 15, 2022
Posts
66
Reaction score
154
Elon Musk amedai kuwa ndani ya miezi sita ijayo Neuralink itakuwa tayari kuwekwa kwenye ubongo wa binadamu. Chip hii ambayo ni kama laini ya simu imeundwa ili iweze kuungana na utendaji kazi mzima wa ubongo kuanzia kumbukumbu n.k. Kupitia tukio aliloliita “show and tell” tajiri Musk ameongeza kuwa kwa miaka ijayo, chip hiyo itasaidia kurudisha uwezo wa kuona kwa vipofu.

Mwanzilishi msaidizi wa Neuralink, DJ Seo, amedai kuwa N1 chip ina chanel zaidi ya 1000 ambazo zina uwezo wa kurekodi na kucheza na kila kitu kinachoendelea kwenye ubongo wa mwanadamu.

Wanaopinga mpango huo ni pamoja na kamati ya pamoja ya dawa (PCRM) ambao wanadai kuwa chip hiyo imeonyesha kuwa ni hatari kwani hata nyani waliofanyiwa majaribio wapo waliozimia, waliopata maambukizi, kukosa nguvu, kushindwa kutembea n.k.

Zoezi la kutafuta watu watakaojitolea (volunteers) litaanza mapema baada ya mamlaka ya chakula na dawa (FDA) kuthibitisha kifaa hicho.

jjh.png
 
While some of us are ran by the world, at the same time others are running the world
 
While some of us are ran by the world, at the same time others are running the world

Philosophy percepts events in three dimensions
1. Those who make events or things to happen
2. Those who understands how those events or things happens
3. Those who didn’t understand abaout the happening and ongoing event or things( this group filled by total stupid people arount the world) they have no idea of reasoning comparing to above two elite groups.
So make choice to where blacks and africans belong.
 
huu ukisasa unakwenda kutumaliza!
mambo ya kuwekewa memory card haya!!
 
Philosophy percepts events in three dimensions
1. Those who make events or things to happen
2. Those who understands how those events or things happens
3. Those who didn’t understand abaout the happening and ongoing event or things( this group filled by total stupid people arount the world) they have no idea of reasoning comparing to above two elite groups.
So make choice to where blacks and africans belong.
On 1 n 2 Africans are not even involved.

Africans are just escorts
 
Philosophy percepts events in three dimensions
1. Those who make events or things to happen
2. Those who understands how those events or things happens
3. Those who didn’t understand abaout the happening and ongoing event or things( this group filled by total stupid people arount the world) they have no idea of reasoning comparing to above two elite groups.
So make choice to where blacks and africans belong.


For the persistent world peace and security the world should be as it is, viz those three groups should live in harmony, any efforts to be made to disturb the equilibrium or rather the inequalities will lead to catastrophe. It is the world of haves and have nots and never can it be a reverse.
 
On 1 n 2 Africans are not even involved.

Africans are just escorts


Escorters for the better, in every journey there must be an escorter. Escorting have some advantages too, we Africans are escorting the Russia vs NATO & the US war in Ukraine, let's pray the use of nuke weapons not to happen.
 
Elon Musk amedai kuwa ndani ya miezi sita ijayo Neuralink itakuwa tayari kuwekwa kwenye ubongo wa binadamu. Chip hii ambayo ni kama laini ya simu imeundwa ili iweze kuungana na utendaji kazi mzima wa ubongo kuanzia kumbukumbu n.k. Kupitia tukio aliloliita “show and tell” tajiri Musk ameongeza kuwa kwa miaka ijayo, chip hiyo itasaidia kurudisha uwezo wa kuona kwa vipofu.

Mwanzilishi msaidizi wa Neuralink, DJ Seo, amedai kuwa N1 chip ina chanel zaidi ya 1000 ambazo zina uwezo wa kurekodi na kucheza na kila kitu kinachoendelea kwenye ubongo wa mwanadamu.

Wanaopinga mpango huo ni pamoja na kamati ya pamoja ya dawa (PCRM) ambao wanadai kuwa chip hiyo imeonyesha kuwa ni hatari kwani hata nyani waliofanyiwa majaribio wapo waliozimia, waliopata maambukizi, kukosa nguvu, kushindwa kutembea n.k.

Zoezi la kutafuta watu watakaojitolea (volunteers) litaanza mapema baada ya mamlaka ya chakula na dawa (FDA) kuthibitisha kifaa hicho.



Hizo chips wawekeane wao ili wazidi kuwa mashoga zaidi. Si wanapenda kuingilia uumbaji wa Mungu bila sababu za msingi. Wamevuka mipaka, it is where science becomes blunder.
 
Elon Musk amedai kuwa ndani ya miezi sita ijayo Neuralink itakuwa tayari kuwekwa kwenye ubongo wa binadamu. Chip hii ambayo ni kama laini ya simu imeundwa ili iweze kuungana na utendaji kazi mzima wa ubongo kuanzia kumbukumbu n.k. Kupitia tukio aliloliita “show and tell” tajiri Musk ameongeza kuwa kwa miaka ijayo, chip hiyo itasaidia kurudisha uwezo wa kuona kwa vipofu.

Mwanzilishi msaidizi wa Neuralink, DJ Seo, amedai kuwa N1 chip ina chanel zaidi ya 1000 ambazo zina uwezo wa kurekodi na kucheza na kila kitu kinachoendelea kwenye ubongo wa mwanadamu.

Wanaopinga mpango huo ni pamoja na kamati ya pamoja ya dawa (PCRM) ambao wanadai kuwa chip hiyo imeonyesha kuwa ni hatari kwani hata nyani waliofanyiwa majaribio wapo waliozimia, waliopata maambukizi, kukosa nguvu, kushindwa kutembea n.k.

Zoezi la kutafuta watu watakaojitolea (volunteers) litaanza mapema baada ya mamlaka ya chakula na dawa (FDA) kuthibitisha kifaa hicho.

Biblia aiseeee, sijui iliyajuaje haya yote?
 
Wale wa 666 washapata mada.
 
Back
Top Bottom