Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Wasukuma gani wewe mbona umekalili ,huko Geita ,Mwanza mbona watu wamelegea tu kukosa Milo kwa kula ugali mchicha ...Mbona wasukuma wako vzr sana kinguvu za mwili ukilinganisha na wanaume wa dsm.
Hoja yako mbona haijakaa sawa.
#MaendeleoHayanaChama
Yaan kwa sababu yeye anapenda chips anataka atuaminishe woteMbona wasukuma wako vzr sana kinguvu za mwili ukilinganisha na wanaume wa DSM...
Calories aren't bad for you. Your body needs calories for energy. But eating too many calories — and not burning enough of them off through activity — can lead to weight gain.Hoja ijibiwe kwa hoja zenye point za kisayansi kama alivoainisha mtoa mada
Sijawah Shiba ugali , tumbo langu linameng'enya ugali fasta kuliko wali ..kula ugali sa saba afu nisubiri Hadi sa mbili usiku ndo nile Ni Kama kuniuaImezoeleka kudhani kuwa ugali ni chakula chenye nguvu sana. Lakini ukweli ni kuwa ugali ni moja ya chakula dhaifu sana duniani...
Huko Ni ku crame , ugali Ni chakula Cha ovyoWanaume wa dar wanaforce kusema chips ni chakula chenye nguvu, chips ni chakula cha wanaume lain tuseme wavulana mchelchele na wengi wao wameshaleft group.
Sipatii pic manguvu uliyonayo cheupe mtamuNdio maaana tunzipenda bwanah
Ukweli ni upi mkuu? tupe elimu.
Kile siyo chakula mkuu ni vile watu hawana pesa tuHuko Ni ku crame , ugali Ni chakula Cha ovyo