Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kabisa Antonio nina manguvu mnoooo kama pawa mabulaSipatii pic manguvu uliyonayo cheupe mtamu
Wanakula ugali mkubwa. Uzito wa chips ulingane na uzito wa ugali.Mbona wasukuma wako vzr sana kinguvu za mwili ukilinganisha na wanaume wa dsm.
Hoja yako mbona haijakaa sawa.
#MaendeleoHayanaChama
Leta data za kisayansi kama alivyoleta mtoa mada sio porojo za kijiweniWanaume wa dar wanaforce kusema chips ni chakula chenye nguvu, chips ni chakula cha wanaume lain tuseme wavulana mchelchele na wengi wao wameshaleft group.
Ugali ni chakula cha maskini
Tuko milion 61 hapo unaongelea tumbo lakougali una faida moja kubwa ni kwamba ugali unameng'enywa taratibu katika tumbo la mwanadamu h
Wasiopenda ugali mnajulikana [emoji1787]Kweli kabisa
Kile siyo chakula mkuu ni vile watu hawana pesa tu
Kwani kinachotakiwa ni chakula kinachokaa tumboni muda mrefu au chakula chenye nguvu?Anayoyasema mtoa mada ni sahihi lakini ugali una faida moja kubwa ni kwamba ugali unameng'enywa taratibu katika tumbo la mwanadamu hivyo inapelekea huyo binadamu aliekula ugali kuwa na uwezo wa kufanya kazi kwa muda mrefu maana tumboni kitu kinapungua taratibu
Lakini chips zinameng'enywa haraka na baada ya muda kidogo aliekula chips atahisi njaa
Ndo maana miaka ya zamani mpaka leo huwezi pata bondia kutoka kagera,kipindi tunasoma zamani vijana wa kagera tulikuwa tunawapiga makwenzi sana kwasababu walikuwa hawana nguvu kutokana na kula ndizi
Wasiopenda ugali mnajulikana [emoji1787]