Chizika na JF members story

Chizika na JF members story

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
Hapa nitakuwa naandika series wahusika wakiwa ni member wa hapa jf ni kastory ka uongo na kweli ..
Na wala member ypyote atakayetajwa basi hakuna ukweli wowote na uhusika wake hapa.

Pita hapa kwa story zaidi ..


Ni asubuhi na mapema ,nimetulia bwenini na mawazo mengi shule moja jina kapuni. nikijiimbia wimbo pendwa kipindi hicho."yule" ulioimbwa na jamaa wa kuitwa AY.

Unaweza kuniuliza kwanini nilikuwa na naiimba kawimbo hako?
Yeah nilikuwa Nina sababu zangu ..

Tuliza kiherehere na uvute kiti ukae twende sawa..

"Oya wewe acha ufala twenzetu tukapate mchicha poli"
Huyu alikuwa ni jamaangu angu mule bwenini kwa jina lake "Mussa sambongo" yeye anapendelea kujiita KENZY ..
Mimi: man niache tu we nenda kama vipi yule. Dem Jana disko namuwaza mnoo..

KENZY : hivi umeanza kuwa fala Lini wewe? Me nakuliacha afu usitusumbue baadae arosto ikipanda unakuwa kama Behaviourist bhna..!
(Huyu jamaa wa kuitwa yohana ngoli" ama maarufu shuleni pale kama Behaviourist siku chache zilizopita alitrend kisa hasa ni barua yake ya mtongozo kuchanwa na demu mmoja wa shule jirani ya wasichana wa kuitwa "koku muzingizi" almaarufu kama Khantwe ..!

Behaviourist alifikia hatua ya kujitundika mtini ...!
Bila ticha wetu wa kiswahili bwana Mshana Jr kupita mitaa ile ..huyu mshikaji wetu tungemkosa..!

Well turudi kwenye story husika kuhusu jana yake hapo shule jirani ya wasichana maana Mimi na behaviourist visa vyetu vinafanana kidogo ...

Nyie eeh mnawahi wapi vuteni kiti mkae mbwa nyie...tuendelee.

Ijumaa ile baada tu ya mwalimu wetu wa starehe na maafa bibie Shadeeya
Kututangazia kuwa jumamosi tutakuwa free kwenda disko apo shule ya jirani wasichana tupu ..(jina kapuni)

Wahuni tulishangilia sana hasa jamaa mmoja wa kuitwa zacharia ndepanya .
Alamaaruf kama trouble maker ..
Huyu muhuni kwao pesa ilikuwepo sio ya mawazo kama akina Sie tuliotoka maporini kuja kusoma...

Jamaa huyu pekee kwa kuwa ndio alikuwa na perfume na mwenye ka- simens ka line moja alikopewa na babake anaefanya kazi kwenye kampuni ya migodi huko bondeni kwa madiba.
Basi ndio alikuwa mkombozi wetu.
Lakini waswahili wanasema kila.kubwa na kubwa yake..

Tulieni nyie kenge tuendelee na part two ...hapo chini..acha nipate kitu cha kujaza tumbo..
 
Nauona na mwandiko wa "kaka Bumunda" wa kule Twitter.


Let's meet at the top, cheers 🍻
Mkuu mbona unanijeruhi namna hii?
Kaka bumunda ni jiniaz kabisa kabisa ntamfikia wapi? Nimejaribu tu kuchangamsha genge kwa idea ya members na ninavyowajua ..
 
Part two..

Kulingana na ratiba iliyotolewa na mwalimu wetu wa nidhamu.
Bwana Ushimen maarufu kama "mwalimu weka tako"

Ni kuwa tutaanzia kwanza kwenda shule kucheza mechi sisi kwa sisi kwani shule hiyo tajwa nilikuwa ni ya wanawake tu.

Chini ya mwalimu wetu fundi kabisa wa soka bwana hemedi kisongo akijulikana kama Don Clericuzio ..
Aliamua kutugawanya vikosi viwlii tupate kusasambuana kwa chenga na maudhi mengine huko tuendapo ...

Kama mnavyojua mbele ya pisi wahuni huwa hatukubali kulala na viatu hivyo kila.MTU alipania hasa jamaa mmoja winga machachari wa kuitwa salumu kidoletumbo..
Almaarufu kama BAK ..huyu alikuwa ni mchezaji tegemeo kwa shule yetu kutoka kidato cha sita ,,pisi nyingi zilijigonga kwake hapo alikuwa zero ngedere huyu..

Mapema tukiongozwa na mwalimu wetu wa michezo Don Clericuzio pamoja na yule wa starehe na maafa Shadeeya ..
Tunaelekea shulenj huko tukiamini pisi zile tulizokuwa tunaziona tu kwenye uzio tutaenda kuziona live kizuri zaidi kuzibambia kabisa..! What a day ..

Tulienj basiiii.au niondoke?

Chini nilivaa raba zangu mtoni nilizopewa na mjomba angu aliezamia kwa meli kwenda uko kwa madiba...
Na nisiwafiche kama ungevaa raba zangu kitu ngekufanya hakuna mfano..muulizeni Mla Bata, na yule.kima KENZY ...

Niacheni hata ninywe maji basi..

Part 3
 
😂 Haha yule mwendawazimu ni genius wa nini, kutukana au?

"Tulieni nyie kenge tuendelee na part two ..."

Huo 👆🏽 uandishi ni wa namna yake though.

Let's meet at the top, cheers 🍻



Mkuu mbona unanijeruhi namna hii?
Kaka bumunda ni jiniaz kabisa kabisa ntamfikia wapi? Nimejaribu tu kuchangamsha genge kwa idea ya members na ninavyowajua ..
 
PART 3>>.
Well tumeingia shuleni pale na kabla ya yote tunakutanishwa na pisi hizo zenyewe kwanza kwa madai waliyotoa walimu kuwa eti tufahamiane...!

Wangejua kuwa wanawakabidhi fisi kama KENZY ,Zero IQ , bila kulisahau jamaa la kuitwa Kichwa Kichafu hawa japokuwa ni wanangu ila.kwa nyeto walisifika bweni zima na Leo wameletewa pisi what luck..!

Tunapokutanishwa nao mabinti hao shombe shombe na wengi wao wakishua ama kama tulivyoita enzi hizo "watoto wa geti Kali"..
Ghafla namuona mrembo kanigusa began ..! Nageuka nikijua bahati mbaya .nakutana na sauti nyororo ya kumtoa mzee snake pangoni...
" excuse me.boy, can you lend a pen?"

Japo mkulungwa kizungu change cha kuunga ila apo nilielewa kabisa .
Ubaya hiyo peni mm sina I think wakulungwa wote tuliokuja hapo hatuna pen..!
Jitu kama KENZY ,BAK ,Behaviourist ,trouble maker ,Mla Bata ,rikiboy yanapata peni wapi kwa mfano...??

Well ikabid nifanye kiungwana kuji search search kisha nabonga kimombo cha kayumba yetu ya ugali maharage..
"Uuhm I think my is lost.."
Anacheeeka mwenyewe yule.mrembo, kisha nagundua ana mwanya kiasi..na ndo pigo zangu ..
"Oyaa wewe mbuzi twende uwanjani muda wa mechi huu" shit alikuwa ni huyu fala wa kuitwa Da'Vinci ..huwa Mara zote ananiharibia sijui nimemkoseaga nini huyu nyau..

Na nilivo fala nikaondoka bila hata kuuliza jina la mrembo yule.matata na kwenda uwanjan kisha warembo hao nao kuongoza uwanjani kushuhudia namna kina . hearly wanavyosakata kabumbu


Tulieni basi ndo tumeanza vihere here sio vizuri..
Part4..
 
Part 4>>>
Tunaingia uwanjan sasa baada ya kocha wetu na mwalimu wa chemistry Don Clericuzio kutoa maelekezo na kusisitiza anataka soka safi kama anavyocheza BAK , pia alimsisitiza sana mkulungwa mmoja wa kuitwa Bujibuji aacheze fair kwa wenzie kwa ni huyu mzee hachelewi kukutegua nyonga ,alishamfanyia mazambi jamaa mmoja mpole.kutoka kule bweni la mwisho wa kuitwa Kingsmann jamaa.hawezi msahau huyu muhuni..

Well tukiwa uwanjan naskia shangwe za wadada .. Basi apo likichwa lake Kenzy bado kidogo lipasuke huku BAK akijifanya mchezaji maarufu miaka hiyo zinadine zidane.

Ambapo kila.nikicheki nje nagundua yule.mrembo saa ile alieniomba peni bado ananicheki ...!
Mmh kanielewa nini?
Dakika ya 66 anatoka buji buji na kuingia The Boss ila.kumbe tulipata fununu huyu muhuni bujibuji alitoka ili aiwahi ile pisi yake yenye zigo la haja nyuma kwa jina la atupele.mwakyusa ...maarufu kama Makiseo inasemekana wametoka mkoa mmoja huko mbeya...

Mechi inaisha huku kidato cha tano tulipigwa 1 kwa 0.
Goli lilitiwa kimiani na jamaa wa kuitwa
Bia yetu ...

Well hii ndo time tulikuwa tukiisubiri sanaaa kwani after here tunalekea disko kwenye ukumbi wa darasa guess what?

Kuna wahuni pale walishaanza kusimamisha zakaria zako.
As mnavyojua ugwadu wa boarding na maharage yale.yenye mende...

Haya naitafuta ile pisi ila siioni najiuliza ikwapi tena?? Maana kila nikicheki naona watu wawili wawili ...
Jamaa wa kuitwa Lucas Mobutu kutoka mbeya kamshikilia Khantwe .huyu komamanga nae kamdaka Lenie ..na muhuni wa kuitwa BAK yupo chochoro chini ya mti na mrembo wa kuitwa whitehorse ...
Na hapa.tukisubiri ma dj wafunge madude yao wahuni kina GENTAMYCINE turuke debe..

Nabaki naguna guna tu kaenda wapi?

Ndo mtulie nyie mbwa ama mkalale...!

PART 5>...
 
PART 3>>.
Well tumeingia shuleni pale na kabla ya yote tunakutanishwa na pisi hizo zenyewe kwanza kwa madai waliyotoa walimu kuwa eti tufahamiane...!

Wangejua kuwa wanawakabidhi fisi kama KENZY ,Zero IQ , bila kulisahau jamaa la kuitwa Kichwa Kichafu hawa japokuwa ni wanangu ila.kwa nyeto walisifika bweni zima na Leo wameletewa pisi what luck..!

Tunapokutanishwa nao mabinti hao shombe shombe na wengi wao wakishua ama kama tulivyoita enzi hizo "watoto wa geti Kali"..
Ghafla namuona mrembo kanigusa began ..! Nageuka nikijua bahati mbaya .nakutana na sauti nyororo ya kumtoa mzee snake pangoni...
" excuse me.boy, can you lend a pen?"

Japo mkulungwa kizungu change cha kuunga ila apo nilielewa kabisa .
Ubaya hiyo peni mm sina I think wakulungwa wote tuliokuja hapo hatuna pen..!
Jitu kama KENZY ,BAK ,Behaviourist ,trouble maker ,Mla Bata ,rikiboy yanapata peni wapi kwa mfano...??

Well ikabid nifanye kiungwana kuji search search kisha nabonga kimombo cha kayumba yetu ya ugali maharage..
"Uuhm I think my is lost.."
Anacheeeka mwenyewe yule.mrembo, kisha nagundua ana mwanya kiasi..na ndo pigo zangu ..
"Oyaa wewe mbuzi twende uwanjani muda wa mechi huu" shit alikuwa ni huyu fala wa kuitwa Da'Vinci ..huwa Mara zote ananiharibia sijui nimemkoseaga nini huyu nyau..

Na nilivo fala nikaondoka bila hata kuuliza jina la mrembo yule.matata na kwenda uwanjan kisha warembo hao nao kuongoza uwanjani kushuhudia namna kina . hearly wanavyosakata kabumbu


Tulieni basi ndo tumeanza vihere here sio vizuri..
Part4..
We jamaaa kama fala fala hivi[emoji2][emoji2]ila unae motisha kinomanoma yan hahaha big up
 
Back
Top Bottom