Chizika na JF members story

Chizika na JF members story

Part 5 >>>
Tunatoka sasa tukiingia darasani ambapo kutakuwa na disco apo .
Gues what ??
Ndani tunawakuta madj wakubwa that time kutoka kituo cha redio kikubwa kutoka.mjini dar es salaam ..MAISHA FM..
Wakulungwa wengine huko dar hatujawahi kufika huwa tunaskia tu story za jamaa wa bweni hall 5 wa kuitwa MO11 ..huyu kenge pia ni mpiga nyeto mzuri sana ila hamfiiii Kunguru wa Manzese .

OK.nilikuwa nshaanz kuchomeka story za wapiga nyeto hawa maarufu shuleni kwetu...
Basi bhna tuliwakuta DJ matata kutoka huko maisha FM bitoz wa kujiita Nyani Ngabu .na tulikuta kaachia kibao matata enzi hizo.kutoka kwa msanii kutoka Jamaica shaggy kikijulikana kwa jina la "strength of woman".
Wahuni kina Bujibuji ,Mjep ,BAK .
Na mkulungwa yule Lucas Mobutu akikamatia pisi ya kuitwa Khantwe nayo pia imetoka mbeya kwa kina Bujibuji ..

Ghafla dj Nyani Ngabu anachezea santuri yake na kuachia kibao cha bwana misosi " mabinti wa kitanga"

Shit..gues what mpka sasa nilikuwa alone nyege zimepanda ile pisi siioni..!
Yaani mpka komamanga KENZY yeye yupo na pisi yake ya kichaga Lenie .
Za chini ya kapeti pia hapo kumbe Dada mmoja wa kimakonde aitwaye zuhura zingizi..ama maarufu apo shule kwao Joanah alianzisha tifu la.kufa mtu kisa hasa ni jamaa yake wa kuitwa Mikwara Ya Andunje kumzunguka na kutaka pisi ya kaka mkubwa mmoja wa kidato cha 6 aitwaye petro kipongo maarufu kama funzadume ..

Patia mbwa wewe..
Pisi yenyewe kumbe ndio alikuwa hiyo hiyo nnayoitafuta ..! Yeah hiyo hiyo..!

Kwakuwa wakulungwa huwa hatukwami,
Nikamcheki mwamba wa kuitwa niachiemimi ,na msukuma.mmoja mbavu Nene wa kuitwa Cast ..
I'll twende kumaliza ugomvi nimbebe pisi wangu nikambambie mie
That time.dj alikuwa wamoto mnoo kashtua kibao cha jamaa wa kuitwa DNA "banjuka juu"..

Japo huyo Joanah alikusudia kumtoa ngeu jamaake Mikwara Ya Andunje ,na kuunganisha na pisi yangu ile.kumbe nikaja kujua inaitwa Carleen ..!

Wakulungwa wenzangu wawili hao tukamchomoa Carleen wangu ,then tukawaachia msala.huyo Joanah na bwanake.. Week ijayo nilipata habari kuwa huyo jamaa alipigwa sana na pisi yake akashonwa nyuzi 6 usoni..

Mtoto yuko mikononi mwangu sasa ..nipewe nini Mimi ..
Kumbe nae Carleen alintafuta akachoka..!
" hakuna noma.tusakate mama" sauti moja niliotoa ila.yenye mamlaka mtoto akajaaa kifuani ...!

part 6 na ndo tumalizie punda vihongwe nyie
 
Hii ni stori ndio.....




Lakini bwashee hii ni ghahawaa
Bia yetu... huyu mpira aujulie wapi na alidhani samatta bado yupo aston villa na ashahama



Yani ma lumumba haya.....
Ehh acha ninyamaze...
Hahahha dah aseeeh hivi kweli?
 
Acha nilale wakuu sioni repry zozote.
Watu wanasoma wanasepa well haina noma mbwa nyieee..
 
Part 5 >>>
Tunatoka sasa tukiingia darasani ambapo kutakuwa na disco apo .
Gues what ??
Ndani tunawakuta madj wakubwa that time kutoka kituo cha redio kikubwa kutoka.mjini dar es salaam ..MAISHA FM..
Wakulungwa wengine huko dar hatujawahi kufika huwa tunaskia tu story za jamaa wa bweni hall 5 wa kuitwa MO11 ..huyu kenge pia ni mpiga nyeto mzuri sana ila hamfiiii Kunguru wa Manzese .

OK.nilikuwa nshaanz kuchomeka story za wapiga nyeto hawa maarufu shuleni kwetu...
Basi bhna tuliwakuta DJ matata kutoka huko maisha FM bitoz wa kujiita Nyani Ngabu .na tulikuta kaachia kibao matata enzi hizo.kutoka kwa msanii kutoka Jamaica shaggy kikijulikana kwa jina la "strength of woman".
Wahuni kina Bujibuji ,Mjep ,BAK .
Na mkulungwa yule Lucas Mobutu akikamatia pisi ya kuitwa Khantwe nayo pia imetoka mbeya kwa kina Bujibuji ..

Ghafla dj Nyani Ngabu anachezea santuri yake na kuachia kibao cha bwana misosi " mabinti wa kitanga"

Shit..gues what mpka sasa nilikuwa alone nyege zimepanda ile pisi siioni..!
Yaani mpka komamanga KENZY yeye yupo na pisi yake ya kichaga Lenie .
Za chini ya kapeti pia hapo kumbe Dada mmoja wa kimakonde aitwaye zuhura zingizi..ama maarufu apo shule kwao Joanah alianzisha tifu la.kufa mtu kisa hasa ni jamaa yake wa kuitwa Mikwara Ya Andunje kumzunguka na kutaka pisi ya kaka mkubwa mmoja wa kidato cha 6 aitwaye petro kipongo maarufu kama funzadume ..

Patia mbwa wewe..
Pisi yenyewe kumbe ndio alikuwa hiyo hiyo nnayoitafuta ..! Yeah hiyo hiyo..!

Kwakuwa wakulungwa huwa hatukwami,
Nikamcheki mwamba wa kuitwa niachiemimi ,na msukuma.mmoja mbavu Nene wa kuitwa Cast ..
I'll twende kumaliza ugomvi nimbebe pisi wangu nikambambie mie
That time.dj alikuwa wamoto mnoo kashtua kibao cha jamaa wa kuitwa DNA "banjuka juu"..

Japo huyo Joanah alikusudia kumtoa ngeu jamaake Mikwara Ya Andunje ,na kuunganisha na pisi yangu ile.kumbe nikaja kujua inaitwa Carleen ..!

Wakulungwa wenzangu wawili hao tukamchomoa Carleen wangu ,then tukawaachia msala.huyo Joanah na bwanake.. Week ijayo nilipata habari kuwa huyo jamaa alipigwa sana na pisi yake akashonwa nyuzi 6 usoni..

Mtoto yuko mikononi mwangu sasa ..nipewe nini Mimi ..
Kumbe nae Carleen alintafuta akachoka..!
" hakuna noma.tusakate mama" sauti moja niliotoa ila.yenye mamlaka mtoto akajaaa kifuani ...!

part 6 na ndo tumalizie punda vihongwe nyie
Hahahahah oyaaa unatumia majan gan wakati wa kula mboga za majan[emoji1787][emoji1787]
 
Part 6>>>> ndo hii na wala misitegemee kama.ntaendelea Leo..ubaya ubaya tu *****.

Niko na mamaaa huyu mlaini kama.ulimi wa mtoto mchanga Carleen this time.nilikuwa nimembana huyo pisi hasa.
Dj akiachia kibao cha Sean paul "give it to me".. Naiona dunia yote yangu huku nikafatisha pigo za legend mmoja yule.muhuni muhuni Bujibuji ..aliyeko right side kwangu..what a day..!

Na kama mnavyojua enzi hizo mambo yalivyokuwa na shule nyingi zilikuwa zina vyoo vingi kiasi kwamba vingine havikutumika hasa hasa..shule.hiyo tuliokuja kudisko apa.
Maana mavyoo yetu sisi inabidi uingie uchi otherwise ukiingia na nguo zitatoka.zinanuka
Ukjtembea kama gari la.takataka..!

" baby am so tired ,can we go to my room?"

Mapigo ya moyo yanafanya ndi ,ndl ,ndo,ndu..
Maana tayari tulikuwa tumebaki wachache ,wakurungwa wengine wengi walichukua pisi zao.na kuamsha nazo nyuma ya vyoo na kwenye migomba ,wengine kwenye mabweni ya warembo hao ,,! Ilikuwa ni Siku yao .
Usiniulize kuwa KENZY alienda nyuma ya mgomba kufanya nini Mimi sijui bhna aseeh ..we vipi?

Haya na kimombo changu cha ugali maharage ya mende..
Tunayokulaga kwa mpishi wetu wa shule Sky Eclat .basi nikaelewa huyu mrembo anataka twende room kwake bwenini huko..

Ona sasa unataka.kuuliza tulifanya nini?
Uachage umbea kima.wewe..mbona Raindrop na Hannah ,Saint Anne hawana umbea kama wako??

Tunafika room kwake naona maajabu ..
Mbona pa kishua hivi aseeh mezani naona shilling 500 that time ilikuwa pesa ndefu na mshahara wa mtu kabisa huo.

Nilishasema sisemi tukichofanya haiwahusu makubwa wazima wambeya..!

Sasa naskia dj anaongea kuwa muda umeisha anamalizia na ngoma ya mkali wa freestyle kutoka huko mtoni Dr dre kibao kinakwenda kwa jina la "still"

" next time when can we meet? "
Nikajua tu huyu anamaana lini tena tunyanduane ,ntampata wapi sasa?
Na baba angu mwenyew hakuwa na simu sembuse mimi?
Ila Carleen ana Siemens "bonga mpka uchoke"
Ananipa namba yake nami najihesabu ushindi nilivo fala maana si mnawajua niliwatonya kuhusu troublemaker ?
Basi nawaza kichwan kuwa ntakuwa nagongea simu ya uyo fala maana shule nzima kwetu alikuwa nayo yeye tu .
Hata mwalimu mkuu Tate Mkuu hakuwa nayo ...

Kila tamu ina chungu yake ....
 
Part 4>>>
Tunaingia uwanjan sasa baada ya kocha wetu na mwalimu wa chemistry Don Clericuzio kutoa maelekezo na kusisitiza anataka soka safi kama anavyocheza BAK , pia alimsisitiza sana mkulungwa mmoja wa kuitwa Bujibuji aacheze fair kwa wenzie kwa ni huyu mzee hachelewi kukutegua nyonga ,alishamfanyia mazambi jamaa mmoja mpole.kutoka kule bweni la mwisho wa kuitwa Kingsmann jamaa.hawezi msahau huyu muhuni..

Well tukiwa uwanjan naskia shangwe za wadada .. Basi apo likichwa lake Kenzy bado kidogo lipasuke huku BAK akijifanya mchezaji maarufu miaka hiyo zinadine zidane.

Ambapo kila.nikicheki nje nagundua yule.mrembo saa ile alieniomba peni bado ananicheki ...!
Mmh kanielewa nini?
Dakika ya 66 anatoka buji buji na kuingia The Boss ila.kumbe tulipata fununu huyu muhuni bujibuji alitoka ili aiwahi ile pisi yake yenye zigo la haja nyuma kwa jina la atupele.mwakyusa ...maarufu kama Makiseo inasemekana wametoka mkoa mmoja huko mbeya...

Mechi inaisha huku kidato cha tano tulipigwa 1 kwa 0.
Goli lilitiwa kimiani na jamaa wa kuitwa
Bia yetu ...

Well hii ndo time tulikuwa tukiisubiri sanaaa kwani after here tunalekea disko kwenye ukumbi wa darasa guess what?

Kuna wahuni pale walishaanza kusimamisha zakaria zako.
As mnavyojua ugwadu wa boarding na maharage yale.yenye mende...

Haya naitafuta ile pisi ila siioni najiuliza ikwapi tena?? Maana kila nikicheki naona watu wawili wawili ...
Jamaa wa kuitwa Lucas Mobutu kutoka mbeya kamshikilia Khantwe .huyu komamanga nae kamdaka Lenie ..na muhuni wa kuitwa BAK yupo chochoro chini ya mti na mrembo wa kuitwa whitehorse ...
Na hapa.tukisubiri ma dj wafunge madude yao wahuni kina GENTAMYCINE turuke debe..

Nabaki naguna guna tu kaenda wapi?

Ndo mtulie nyie mbwa ama mkalale...!

PART 5>...
Mkuu hii stori yako haijanitendea haki mi si mkorofi kiasi hicho..😂
Ati komamanga.. walahi hili jina nabadilisha😅
 
Part 5 >>>
Tunatoka sasa tukiingia darasani ambapo kutakuwa na disco apo .
Gues what ??
Ndani tunawakuta madj wakubwa that time kutoka kituo cha redio kikubwa kutoka.mjini dar es salaam ..MAISHA FM..
Wakulungwa wengine huko dar hatujawahi kufika huwa tunaskia tu story za jamaa wa bweni hall 5 wa kuitwa MO11 ..huyu kenge pia ni mpiga nyeto mzuri sana ila hamfiiii Kunguru wa Manzese .

OK.nilikuwa nshaanz kuchomeka story za wapiga nyeto hawa maarufu shuleni kwetu...
Basi bhna tuliwakuta DJ matata kutoka huko maisha FM bitoz wa kujiita Nyani Ngabu .na tulikuta kaachia kibao matata enzi hizo.kutoka kwa msanii kutoka Jamaica shaggy kikijulikana kwa jina la "strength of woman".
Wahuni kina Bujibuji ,Mjep ,BAK .
Na mkulungwa yule Lucas Mobutu akikamatia pisi ya kuitwa Khantwe nayo pia imetoka mbeya kwa kina Bujibuji ..

Ghafla dj Nyani Ngabu anachezea santuri yake na kuachia kibao cha bwana misosi " mabinti wa kitanga"

Shit..gues what mpka sasa nilikuwa alone nyege zimepanda ile pisi siioni..!
Yaani mpka komamanga KENZY yeye yupo na pisi yake ya kichaga Lenie .
Za chini ya kapeti pia hapo kumbe Dada mmoja wa kimakonde aitwaye zuhura zingizi..ama maarufu apo shule kwao Joanah alianzisha tifu la.kufa mtu kisa hasa ni jamaa yake wa kuitwa Mikwara Ya Andunje kumzunguka na kutaka pisi ya kaka mkubwa mmoja wa kidato cha 6 aitwaye petro kipongo maarufu kama funzadume ..

Patia mbwa wewe..
Pisi yenyewe kumbe ndio alikuwa hiyo hiyo nnayoitafuta ..! Yeah hiyo hiyo..!

Kwakuwa wakulungwa huwa hatukwami,
Nikamcheki mwamba wa kuitwa niachiemimi ,na msukuma.mmoja mbavu Nene wa kuitwa Cast ..
I'll twende kumaliza ugomvi nimbebe pisi wangu nikambambie mie
That time.dj alikuwa wamoto mnoo kashtua kibao cha jamaa wa kuitwa DNA "banjuka juu"..

Japo huyo Joanah alikusudia kumtoa ngeu jamaake Mikwara Ya Andunje ,na kuunganisha na pisi yangu ile.kumbe nikaja kujua inaitwa Carleen ..!

Wakulungwa wenzangu wawili hao tukamchomoa Carleen wangu ,then tukawaachia msala.huyo Joanah na bwanake.. Week ijayo nilipata habari kuwa huyo jamaa alipigwa sana na pisi yake akashonwa nyuzi 6 usoni..

Mtoto yuko mikononi mwangu sasa ..nipewe nini Mimi ..
Kumbe nae Carleen alintafuta akachoka..!
" hakuna noma.tusakate mama" sauti moja niliotoa ila.yenye mamlaka mtoto akajaaa kifuani ...!

part 6 na ndo tumalizie punda vihongwe nyie
Lenie siku hiyo nakumbuka ulikuwa ukiukata utafikiri ulikuwa umeambiwa hutonipata tena..😂
 
Back
Top Bottom