Chizika na JF members story

๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜ŽKunawajinga huku waitwa kenge na bado wanaendelea kusoma hii story, me imenishinda๐Ÿšถ๐Ÿšถ๐Ÿšถ๐Ÿšถ
 
Wakulungwa repry ni muhimu tujue tu tupo wangapi..

Si nj life tuu falaaa
 
Part 7\>>>
Nikiwa sasa na wanangu Mussa sambongo KENZY ,zacharia ndepanya troublemaker ,na bro muhuni mmoja kutoka hall 5 kidato cha 6 BAK ..

"Aaah ***** yaani Leo nitalala mtaroni ..,pisi yangu nimeibambia na kudinya nimedinya what a luck.."
Huyu alikuwa ni komamanga kenzy akijitapa kuwa amemdinya mrembo wa kuitwa Lenie that time disko ...

Na hiyo ni tabia yake ukute uyu fala na mzigo hajala maana ni domo zege..

Muda huu wote tulikuwa na sare za shule kasoro wa kishua troublemaker .
Yeye chini alikuwa na raba mtoni kama zangu ,tofauti yake zangu nilipewa na mjomba angu Baharia aliezamia kwa madiba ,,na kurudi na macheni,raba ,za kutosha. Wakati zake trouble maker zilikuwa mpya..

Mpka sasa sijakwambia tunaelekea wapi.
Kurudi shule kama wengine??, "golden chance never come twice"
Huu ni msemo alioupenda kuusema mwalimu wetu ndugu paschal mayala ..

Na sisi wahuni tuliuzingatia vizuri..
Hatukuelekea na ilikuwa inagonga saa 3 usiku..

Tunaelekea baa moja kwa mama mmoja mama mpangangala maarufu kama Jael
Bosi wetu trouble maker ana ela alitumiwa na baba ake majuzi kati alipopita kumsalimia before hajarudi kwa madiba.

Una haraka tulia mbwa wewe...!unawahi ndege?

Tunamkuta mwanetu mmoja mule baa anaitwa john mushi elisante tulimwita MLEVi Mmoja ...
Uyu hakwenda hata shule kule kwa pisi .aliingia baa hapo toka saa 4 asubuhi akipata faru johni kubwa..!

Tunalewa wenyeweeeeee.ila tu usimkorofishe ,hutokunywa tenaa.

"Haya jamani imeshafika saa 4 muda wa loko umepita ,maskini matako yangu yalaaa"
Kenzy alitukumbush apo ilikuwa saa 6 usiku na tumechelewa loko imepita
Kibaya zaidi anaehusika ni mwalimu Ushimen "mwalimu weka tako"

That time kila mtu aliyaonea huruma matako yake maana kilichofata tulikijua..

"Hey handsome u come upate zaidi ya moto"
Huyu alikuwa ni jimama mwenye baa Jael aliniita handsome..

Ndio mnabisha ama? Kunya tikiti basi.

Njian kuelekea shule akili zilianza kuturudi sawa baada ya kumkumbuka mwalimu weka tako Ushimen huyu mzee aliwahi mtandika jamaa wa pcm alieitwa steveni achiko maarufu steveachi ..
Jamaa aliteguka mshipa wa tako na kushindwa kukaa week nzima ..ila mzee wake na Steve alipotokea apo shule palitimka vumbi fisi wakasomee!

Well now alikuwa anaenda kutulalua sisi .
Kwa kuwa tulikuwa na kawaida ya kuruka fensj na mlinzi wa shuleni pale jamaa wa kuitwa wa stendi alitujua na hakuwa na soo kwani trouble maker huwa anamuachia ela ya sigara ...

Tulia basi naona unataka tukamatwe na mwalimu weka tako ..acha uchawi mbwa wewe..

Well naanza Mimi napanda kweny mti uliopo kwa nje then narukia ndani ya fence ,puuuh!, kishindo kinaskika najiweka sawa.

Anafata trouble maker kisha komamanga
Ghafla puuuh! Yalaaaa, kiuno changu nafwaaaa!
Alikuwa ni uyu boya MLEVi Mmoja kwani aliruka vibaya na kutulia kiuno ..
Uyu mbwa huwa anatukost mnoo.

"Arooo afazari nimewashika ,weka tako haraka tusicheleweshane"
Mama weeh alikuwa ni Ushimen mwalimu weka tako ..kumbe yowe alilokuwa anapiga uyu nyau MLEVi Mmoja ticha huyu mkurya alituskia maana bado alikuwa darasani na form 4 akiwajaza matereo ya math madogo walikuwa na necta mwezi huoo.

Guess what? Kumbe komamanga alishajikolea baada tu ya sauti ya mwalimu weka tako ..

Hapo ndo tuliwalaani akina Makiseo ,Lenie ,Khantwe ,japo Mimi sikumlaani asali wa moyo wangu Carleen ..

Nimlaani nini bhna akati uzembe wetu wenyewe??

Acha ninywe chai ama mnataka nife shenzy??
 
Sema wadau tunaangushana sana aseeh tunakosa kabisa molari ya Ku repry inanimaliza nguvu
 
Naimani unaweza kuandika bila matusi otherwise mods wawe wamelala..
Inawezekana kweli nimetukana ila ni katika kujaribu kuakisi life halisi la maisha ya shule lilivyokuwa najaribu tu kufikisha ujumbe kwa akili yangu ndogo
 
Inawezekana kweli nimetukana ila ni katika kujaribu kuakisi life halisi la maisha ya shule lilivyokuwa najaribu tu kufikisha ujumbe kwa akili yangu ndogo
Unajua kabisa ni kinyume cha sheria za humu.. mods wakiufuta unafikiri itakuwa si sawa..?
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ahsante sana kwa kubariki jioni yangu Pancho.. Nimecheka sana.! Na umejuaje nina ka-mwanya??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ