Mimi pia nina tatizo hili. Ni mwaka wa pili tangu nifahamu kwamba Kila ninachomshirikisha mama kinafeli. Kwa sasa najikusanya nihame mkoa kwa siri na kamwe sirudi hata nikisikia amefariki siji kumzika.
Nimejaribu ku Link dots hata huu umaskini unaotuandama unasababishwa na yeye.
Alafu ana kesi nyingi za ardhi popote aendapoAisee!
Kweli una hasira.
Kuzimu teknoliji ni pana sanaMwanangu nataka nikwambie Kuna mtu kakutumia Kimavi mama yako kupitia mama yako Mimi Kuna Mbwa mmoja Tena mama yangu mkubwa dada yake kabisa na mama yangu alitaka kufanya ujinga huo Yani Kila akija kunifanyia uchawi namnasa ila anakuwa kaongozana. A mama yangu nawafokea mbaya
Baadae nikaanAza is mama anausika uwezi amini nilimwita mama nikamchana akalia sana nikaamini hajui lolote ila dada yake ni mwanga kweli ila hakuamini kama dada yake ananiloga Sasa changamoto mama mkubwa anaenda kwa ndugu anasema anaona Mimi kama nimerogwa hao ndugu wanachama kama karogwa nenda kamlague weee SI mama yake mkubwa anakaa kimnya.
Yote kwa yote mwamba uchawi upo na watu wanatumia picha na kvuri Cha mama yako maana ni very simpo
Kwa mambo zaidi namwalika ndugu Mshana Jr aje amwage undezi hapa.
TrueSomemtimes wazazi ukiwaonyesha mipango yako mizuri hawachelewi kwenda kuyatangaza kwa watu wengne eiza ndugu zak au mashoga zake ndo hapo wakati mwingine vipengele vinavyoanzia
Kaa tulia Andika tena , sijakuelewa kabisaMwanangu nataka nikwambie Kuna mtu kakutumia Kimavi mama yako kupitia mama yako Mimi Kuna Mbwa mmoja Tena mama yangu mkubwa dada yake kabisa na mama yangu alitaka kufanya ujinga huo Yani Kila akija kunifanyia uchawi namnasa ila anakuwa kaongozana. A mama yangu nawafokea mbaya
Baadae nikaanAza is mama anausika uwezi amini nilimwita mama nikamchana akalia sana nikaamini hajui lolote ila dada yake ni mwanga kweli ila hakuamini kama dada yake ananiloga Sasa changamoto mama mkubwa anaenda kwa ndugu anasema anaona Mimi kama nimerogwa hao ndugu wanachama kama karogwa nenda kamlague weee SI mama yake mkubwa anakaa kimnya.
Yote kwa yote mwamba uchawi upo na watu wanatumia picha na kvuri Cha mama yako maana ni very simpo
Kwa mambo zaidi namwalika ndugu Mshana Jr aje amwage undezi hapa.
Acha ujingaMimi pia nina tatizo hili. Ni mwaka wa pili tangu nifahamu kwamba Kila ninachomshirikisha mama kinafeli. Kwa sasa najikusanya nihame mkoa kwa siri na kamwe sirudi hata nikisikia amefariki siji kumzika.
Nimejaribu ku Link dots hata huu umaskini unaotuandama unasababishwa na yeye.
Huwenda ni kweli mimi ni mjingaAcha ujinga