Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
Samahani, nini maana ya husda huwa nasikia sana hili nenoKuna watu wana husda,, ukiwaambia mambo yako yanagota,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani, nini maana ya husda huwa nasikia sana hili nenoKuna watu wana husda,, ukiwaambia mambo yako yanagota,
Basi usimshirikishe ,mshirikishe vichache vidogoo mnoYaani nimefuatilia tangu kipindi nasoma, siku nikimuambia tarehe ya mitihani huwa ananiambia ataniaombea, huo mtihani hata kama ni mrahisi lazima nifeli. Siku nisipomuambia nitafauli hata kama huo mtihani ni mgumu
Michongo mingi ya kitaa nikimshirikisha lazima iende tofauti.
Mwaka huu nimekuja kuhitimisha kwamba mawazo yangu ni sahihi baada ya kufanya jaribio hili; Nimemshirikisha kwamba nitaotesha alizeti ekari 2 kwenye shamba la nyumbani akaniunga mkono. Nikanunua mbegu ya alizeti inayotosha ekari 4 nikaotesha ekari mbili hapo nyumbani, then nikaotesha ekari 2 kwa siri kwenye shamba la kukodi hapo jirani na shamba letu. Cha ajabu ile ya shamba la nyumbani haikuota lakini ile niliyootesha kwa siri imeota yote na inaendeleanvizuri kabisa. Kumbuka haya mashamba yamekaribiana sana; jiografia ni moja na tabia ya nchi ni moja. Hapo ndipo ni kahakikisha kwamba mawazo yangu ya mda mrefu ni ya kweli.
Nataka kutorokaBasi usimshirikishe ,mshirikishe vichache vidogoo mno
Na umsamehe na umuambie kwa upole uone atasemaje kumbuka huyo ni mama ndugu huna mwingine
Aisee hii ni kiboko.Yaani nimefuatilia tangu kipindi nasoma, siku nikimuambia tarehe ya mitihani huwa ananiambia ataniaombea, huo mtihani hata kama ni mrahisi lazima nifeli. Siku nisipomuambia nitafauli hata kama huo mtihani ni mgumu
Michongo mingi ya kitaa nikimshirikisha lazima iende tofauti.
Mwaka huu nimekuja kuhitimisha kwamba mawazo yangu ni sahihi baada ya kufanya jaribio hili; Nimemshirikisha kwamba nitaotesha alizeti ekari 2 kwenye shamba la nyumbani akaniunga mkono. Nikanunua mbegu ya alizeti inayotosha ekari 4 nikaotesha ekari mbili hapo nyumbani, then nikaotesha ekari 2 kwa siri kwenye shamba la kukodi hapo jirani na shamba letu. Cha ajabu ile ya shamba la nyumbani haikuota lakini ile niliyootesha kwa siri imeota yote na inaendeleanvizuri kabisa. Kumbuka haya mashamba yamekaribiana sana; jiografia ni moja na tabia ya nchi ni moja. Hapo ndipo ni kahakikisha kwamba mawazo yangu ya mda mrefu ni ya kweli.
Nataka kutoroka
Ni kwereAisee hii ni kiboko.
Tunaishi pamoja. Baba alifariki kitambo sanaKwani mnaishi pamoja ?hana mume?
Ondoka lakin usiache kumtunza
Mama ni mama
Sasa utajuaje kama kafa 😂😂Em siku ya birthday yako mkaribishe tuone.....
Ukifa kesho yake ujue kweli ana kitu na ww
Kuna vingine vikubwa zaidi umegundua au hivyo tu ?Tunaishi pamoja. Baba alifariki kitambo sana
🤣🤣🤣 hata mie nishawahi kunotice hii kitu…Hata kitu ukiwaambia marafiki au ndugu huwa hakifanikiwi sijui kwanin
Yapo mengi sana sema tu leo nina uvivu wa kuandikaKuna vingine vikubwa zaidi umegundua au hivyo tu ?
Kabisa ndio maana tunaambiwa siri ya mafanikio ipo mdomoni mwako🤣🤣🤣 hata mie nishawahi kunotice hii kitu…
Wivu wenye mtizamo hasi, hapendi mazuri ya wengineSamahani, nini maana ya husda huwa nasikia sana hili neno
Oh! wellWivu wenye mtizamo hasi, hapendi mazuri ya wengine
Ni kwa baba.Mama yeye ni laana.Nilisikia baraka zetu zipo kwa mama zetu....pole
[emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]Na wakwako ni mchawi pia