Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Mama yako Hawezi kukuloga Sema anatumiwa tuHuwenda ni kweli mimi ni mjinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama yako Hawezi kukuloga Sema anatumiwa tuHuwenda ni kweli mimi ni mjinga
Sijawaza kwamba ananiloga. Ila kuna roho ya kutokufanikiwa ipo ndani yakeMama yako Hawezi kukuloga Sema anatumiwa tu
Kuna rafiki yangu nae ni hivyo hivyo nikamwambia mipango yangu tu lazima hiyo mipango ife, hata kama kesho yake ningekuwa na safari na tayari nshajiandaa halafu nikamwambia lazima hiyo safari ife,
Baada ya kugundua hilo Sahiv simwambii chochote
Mimi pia nina tatizo hili. Ni mwaka wa pili tangu nifahamu kwamba Kila ninachomshirikisha mama kinafeli. Kwa sasa najikusanya nihame mkoa kwa siri na kamwe sirudi hata nikisikia amefariki siji kumzika.
Nimejaribu ku Link dots hata huu umaskini unaotuandama unasababishwa na yeye.
Mamako ni mchawi na wewe unatumika kufanikisha mambo yake, kaa mbali atakuja kukuua
Ndo uchawi huoMama yako sio mchawi bali ana jicho la Husda kila anachoona kwako lazima kiharibike
Hilo jicho la husda lipo sana
Huu ndio ugomvi mkubwa na bi mkubwa wangu kila siku, wamama wa kiswahili ni shida sometimes, hawana vifua 😂Somemtimes wazazi ukiwaonyesha mipango yako mizuri hawachelewi kwenda kuyatangaza kwa watu wengne eiza ndugu zak au mashoga zake ndo hapo wakati mwingine vipengele vinavyoanzia
Mmmmhj
Mi sio mtoa mada mkuuMama yako mchawi 100% na a nakutumia na atakuja kukuua
Mi sio mtoa mada mkuu
😂😂😂 umejuaje wakati humjui jamaniNa wakwako ni mchawi pia
Ndo uchawi huo
Yaani nimefuatilia tangu kipindi nasoma, siku nikimuambia tarehe ya mitihani huwa ananiambia ataniaombea, huo mtihani hata kama ni mrahisi lazima nifeli. Siku nisipomuambia nitafauli hata kama huo mtihani ni mgumuUnaweza simulia kidogo tukushauri usijekuwa unamsingizia
Mhhhh,pamoja na hayo bado nakataa mama hana baya!Ebu uanze kusaliii sasa Mungu atakuonyesha ýoteYaani nimefuatilia tangu kipindi nasoma, siku nikimuambia tarehe ya mitihani huwa ananiambia ataniaombea, huo mtihani hata kama ni mrahisi lazima nifeli. Siku nisipomuambia nitafauli hata kama huo mtihani ni mgumu
Michongo mingi ya kitaa nikimshirikisha lazima iende tofauti.
Mwaka huu nimekuja kuhitimisha kwamba mawazo yangu ni sahihi baada ya kufanya jaribio hili; Nimemshirikisha kwamba nitaotesha alizeti ekari 2 kwenye shamba la nyumbani akaniunga mkono. Nikanunua mbegu ya alizeti inayotosha ekari 4 nikaotesha ekari mbili hapo nyumbani, then nikaotesha ekari 2 kwa siri kwenye shamba la kukodi hapo jirani na shamba letu. Cha ajabu ile ya shamba la nyumbani haikuota lakini ile niliyootesha kwa siri imeota yote na inaendeleanvizuri kabisa. Kumbuka haya mashamba yamekaribiana sana; jiografia ni moja na tabia ya nchi ni moja. Hapo ndipo ni kahakikisha kwamba mawazo yangu ya mda mrefu ni ya kweli.
Nilishawahi kulala mlimani kwaajili ya swala hili lakini sijapata ufumbuziMhhhh,pamoja na hayo bado nakataa mama hana baya!Ebu uanze kusaliii sasa Mungu atakuonyesha ýote