Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Niambie wewe kikaragosi uliyepuuzwa mpaka na mfumo kila teuzi haumo mjinga wewe wanakuona hamnazo wanakuona Yuda Eskarioti Kuna wakati watu wanahoji jinsia yako na majukumu yako yaani mtu hujitambui huna mbele wala nyuma mpaka unaowasifia wanakuona bogus utalikuta linaaadika ndugu zangu watanzania hata haya hauna nyie mnafikiri mtapata chochote zaidi ya uomba omba umatonya
😀😀😀😀🙏🙏🙏Nacheka tu maana inaonyesha umefura kwa hasira .kibaya zaidi unapigana vita na mtu ambaye anakumaliza kwa vishindo tu Kabla hata ya kukutwanga moja kwa moja😀😀😀😀 .utakufa kwa presha mwaka huu. ila napenda kukwambia kuwa vita hutawezi kupambana na sisi maana tupo full kila idara tumekamilka. Kibaya zaidi unapambana na watu usio wafahamu wala kujuwa utashambuliwa kutoka upande upi.😀😀😀 Sisi ni jeshi imara lenye uwezo wote wa kivita kupambana na yeyote yule humu jukwaani na bado huwezi kutushinda wala huwezi kuturudisha nyuma hata hatua umoja. Narudia kukwambia kuwa huwezi ukapambana vita na sisi.maana sisi tupo imara na kamili.Niambie wewe kikaragosi uliyepuuzwa mpaka na mfumo kila teuzi haumo mjinga wewe wanakuona hamnazo wanakuona Yuda Eskarioti Kuna wakati watu wanahoji jinsia yako na majukumu yako yaani mtu hujitambui huna mbele wala nyuma mpaka unaowasifia wanakuona bogus utalikuta linaaadika ndugu zangu watanzania hata haya hauna nyie mnafikiri mtapata chochote zaidi ya uomba omba umatonya