Choice variable ni mnafiki sana. Mazuri yote ya awamu ya 5 utakuta Rais Samia anaingizwa na kusifiwa lkn mabaya eti hakushiriki

Mjane wa Marehemu Jiwe bado tu waomboleza kifo cha lile shetani lenu la Chato!?
 
Mjane wa Marehemu Jiwe bado tu waomboleza kifo cha lile shetani lenu la Chato!?
Hata babu yako ashakufa na hizi zilipendwa tumerudi kuikomboa Tanzania kutoka mikononi mwa machawa waongo wazushi na wachonganishi
 
Kushnei.
Achana na mawazo kuliwazia lile shetani lenu la Chattle.
Wenzio washamsahau umebaki ww tu
shetani ni nyie wasaliti wakubwa mmehongwa kusapoti Taifa kuingia gizani akili ni nywele wasio na nywele walipopewa kusimamia TANESCO Wameimaliza ni mashetani makubwa yanayopenda kula gizani
 
Yaani unatokwa na mapovu sababu ya nini hasa? Hapo Mweka hakuna Upanuzi wa Chuo? Yale noliyotaja pale Mwanzo hayafanyiki?

Mama hana mda wa siasa uchwara kwanza kwao ni Zanzibar aanze kuhangaika na siasa zenu za kipumbavu Ili kitokee nini?

View: https://www.instagram.com/p/CzvCJYnKOQx/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
 
Hao jamaa wanauzi kweli. Mpaka huwa nadhani ni mental case. Matatizo lukuki wao wapo tu kumpigia mama kampeni ya Urais 2025. Wanaboa Sana hao jamaa.
 
hivi wewe una akili kweli nyie watu wazima mnamsifia Rais kwa mradi wa mill200 au 400 tunapoongea mambo amefanya Rais tuambieni Mega projects zinazoivusha nchi kwenye matatizo sugu

..how about kuendeleza au kukamilisha mega projects?

..mega projects, jina linajieleza, hutumia fedha nyingi, na huchukua miaka mingi kukamilika.

..Sio ajabu mega projects kuhususisha Maraisi zaidi ya mmoja, na mawaziri kadhaa.

..Mimi simuungi mkono Samia lakini nadhani ni upumbavu kuanza kunyang'anyana naye miradi ya maendeleo.

..Kazi kubwa zaidi iko ktk uendeshaji wa miradi baada ya kukamilika.
 
point hujaielewa chawa wanataka kumuingiza Samia kwenye mazuri yote awamu ya 5 na kumtoa mabaya yote ya awamu ya 5 hoja zao zinakuwa invalid na hazina Tija yoyote na wanaonekana projects zao ni keyboard mercenaries
 
Samia sio blaa blaa Wala propaganda kama awamu ya 5,ni kazi tuu

View: https://www.instagram.com/reel/C1bwTo0sACD/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
 
point hujaielewa chawa wanataka kumuingiza Samia kwenye mazuri yote awamu ya 5 na kumtoa mabaya yote ya awamu ya 5 hoja zao zinakuwa invalid na hazina Tija yoyote na wanaonekana projects zao ni keyboard mercenaries

..mabaya ya awamu ya 5 yakiendelezwa yanapaswa kujulikana kama mabaya ya awamu ya 6.

..sasa ni mabaya yapi ya awamu ya 5 ambayo yameendelea ktk awamu ya 6 lakini wahusika wanajaribu kumkwepesha Rais Samia?

..vilevile tuna kawaida ya kumhusisha Rais na mabaya au mazuri yanayotokea ktk awamu yake. Yaani Rais ndio top, au kila kitu.
 
Acha kufikiri badala ya wengine! Kizuri kwako siyo lazima kiwe kwa wengine
 
Hapa ndo hua nashangaa..
Yaeza kua hawa watu wawili hawafahamiani kabisa, lakn wanaeza kugombana humu jukwaani na kuchukiana kabisa.
Lakn nyuma ya paziwa wote ni wachumia tumbo wa CCM.
ANYWAY, subiri tuone mtaishia wapi maana wote mnajuana
Mimi siwezi gombana na funza ,Ili kitokee nini?

Huyo ana mtindio wa ubongo nampuuza so Mimi Niko focused naendelea na kuelezea kazi nzuri za Mama .

Chato wenyewe wanamuelewa mama

View: https://www.instagram.com/p/C1T3P9IKupa/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…